King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
Huyu kichwa nazi atatushuaha daraja
Mmetumia vibaya hela za usajili inawezekana vipi mmetumia paund mill 300+ kwa wachezaji watatu tu no defender kwenye moja ya tatizoHuyu kichwa nazi atatushuaha daraja aondoke
🤣🤣🤣Kichwa geloni anatuharibia timu
Kocha hana mbinu tu huyu, hata wampe prime Sergio Ramos hang'oki na point. We timu back pass na kuvizia tu counter uchwala 🤣🤣🤣🤣 na wamesha mjua mbinu zake.Mmetumia vibaya hela za usajili inawezekana vipi mmetumia paund mill 300+ kwa wachezaji watatu tu no defender kwenye moja ya tatizo
Niliwaambia mapema kabisa. ..kuku kishingo nyieSiku hizi humu ndani hamna vingereza tena, hakuna ushindi.... ngoja mshinde mechi mbili mfululizo wote watatoka mapangoni huko kuweka mapambio humu......
Mpira hauna adabu, unashangaa Amorim na timu yake mbovu anawalaza na viatu !
huyu na ndugu zakeView attachment 3490869
Mtamtukana sana kichwa ndonga, ila tatizo linaanzia hapa, kwa huu uchochoro.
Shida ni poor coaching mkuu, ukubari ukatae, huyu kocha hamna kitu.huyu na ndugu zake
frimpong na Connor Bradley ndo chanzo cha matatizo yetu
mimi siwez kumlaumu kocha bado hata tukifungwa mechi 10 mfululizo
we have to find a way to build up our play from the center maana sasa hivi mashambulizi kuanzia kwa gravenberg timu pinzani zimeshstuka zinapiga pini....ukipeleka mpira pemben kwa Bradley au Kerkez they can't even pass +they're very predictable so wanakabika kirahis
Kerkez anatakiwa arudishwe Academy akajifunze kupiga pass na utulivunilisema hapa kwenye mechi ya kwanza kabla ya tsimikas hajaondoka kuwa aachwe cause Kerkez is "not him" na Robertson amechoka
KIUFUPI root ya matatizo yetu ni wing backs zetu kushindwa kufanya build ups na hatuwez kufanya build up from the center
Frimpong ni mshambuliaji kumbeMmetumia vibaya hela za usajili inawezekana vipi mmetumia paund mill 300+ kwa wachezaji watatu tu no defender kwenye moja ya tatizo
Nazungumzia central defenderFrimpong ni mshambuliaji kumbe
Kweli beki za pembeni tumeshidwa kuleta mbadala, Mo akase bench mbele waanze Isac, Hugho na Gapco. Frimpong kulia na Robo kushotoKutoka kwa Robertson na Anorld kwenda kwa Kerkez na Bradley/frimpong....mmepoteana sana majirani ! Bora hata frimpong offensively anajitahidi....... huyo kerkez hajui kukaba, kukros yani kwa kifupi mmepigwa...
Hugho anatakiwa aanze over Isak....
Wirtz huyu sidhani kama atabadilika, akienda huko italy/Spain atashine sana ....
Ni furaha kwetu mkiteseka
Aje kumtoa nani pale?? VVD ama KonateNazungumzia central defender
VVD amechoka anahitajika mtu ambaye atamfanya awe anapumsishwa baadhi ya game Kama hili hulioniAje kumtoa nani pale?? VVD ama Konate