King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
Mmetumia vibaya hela za usajili inawezekana vipi mmetumia paund mill 300+ kwa wachezaji watatu tu no defender kwenye moja ya tatizo
Hapana! Hatujatumia vibaya pesa.
Sajili tulizofanya kwa asilimia kubwa ni sahihi isipokuwa Kerkez tu ndiyo sajili pekee tuliyokosea.
Tatizo ni la huyu Kichwa Box ndiyo ameshindwa kupata kilichobora kutoka kwa Wachezaji.
Kiufupi kocha hana uwezo wa kutumia Wachezaji alionao lakini sio kwamba ni wabaya.
Mchezaji kama Witz na Isack walishaprove ubora wao hivyo hatujakosea kuwasajili.
Ni Wachezaji wazuri sana wakipata kocha anayeweza kuwatumia.
Ila kichwa Balungi amefanha waonekane kama Kibu Dennis.