Yule tulitoa pound 80m sio 100 na issue yake inajulikanaHehehehehe mudryk yupo wapi ?
Yule tulitoa pound 80m sio 100 na issue yake inajulikanaHehehehehe mudryk yupo wapi ?
Unajaribu sana kulitetea lile garasa lako mkuu....Mudryk mlipigwa mchana kweupe kabisa.....yule bwana mdgo fani yake ni kukimbiza upepo sio kucheza boluYule tulitoa pound 80m sio 100 na issue yake inajulikana
Najua watu wa Arsenal lazima Mudryk awaume maana tuliwapiga kwenye mshonoUnajaribu sana kulitetea lile garasa lako mkuu....Mudryk mlipigwa mchana kweupe kabisa.....yule bwana mdgo fani yake ni kukimbiza upepo sio kucheza bolu
Sasa hivi yuko wapi?Najua watu wa Arsenal lazima Mudryk awaume maana tuliwapiga kwenye mshono
Nashangaa namna mnavyoumia kuliko nyinyiSasa hivi yuko wapi?
Acha dharau kijana... Bichwa ndonga kawapa kombe mwaka jana....na atawatoa kapa msimu huu....mpeni muda ajenge timu mpk magalasa yake aloyasajili yakisha click ndo mumtimue....mnataka aondoke sasahivi hlfu timu amuachie nani🤠🤠🤠Ni bora tungemchukua Nuno Espirito santo kuliko huyu kichwa mviringo.
Mnashinda, em tulizeniSlot ni useless. Mo Salah kwa sasa ni butu anapaswa kuanzia bench. Kerkez anapaswa kukaa center back yeye na VvD. Robbo arudi kushoto kupandisha mashambulizi. Bradley piga bench, ampange freempong. Jamaa ni mmoja wa wingback mzuri, kama mlimwona alivyokuwa wa moto kule liverkusen.
Salah, kwa sasa hamna kitu. Ameshindwa kuisaidia timu.
Isak bora angeendelea kule magpie. Huku anaonekana mzururaji. Tunapata tabu sana huku mabanda umiza.
Timu hata ikipata matokeo lakini wacheze vizuri. Umewaona bornemouth, Brighton, na fulham, hawa hata wasipopata matokeo, timu inaonyesha kucheza vizuri. Ila sisi, hata tushinde, mchezo mbovu.Mnashinda, em tulizeni