Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hivi hapa VVD alikuwa anafanya nini?
Au nndio staili yake ya kizee ya kumkaba Caicedo:AYOOO:

 
Nafahamu tumepoteza mechi chache, lakini tukizingatia historia ya timu na kiwango cha mashindano, bado tuna nafasi ya kurekebisha mambo. Hakuna timu inayoshinda kila mechi

Tunajitaji kuangalia pia mabadiliko ya wachezaji na form. Wachezaji wengi muhimu kama Salah, McCallister, Konate hawapo in form kwenye mechi za hivi karibuni na ile Chemistry iliyokuwepo ya Salah, Diaz na Jota haipo. Wakati wao utarudi na ushindi utarudi tu
Kama mashabiki, jukumu letu ni kushangilia na kuunga mkono timu. Kila timu inakutana na changamoto, lakini kwa mshikamano tunaweza kuonekana nguvu ya Liverpool.

Kocha ana mpango wa muda mrefu. Labda utendaji si mzuri sasa, lakini lazima tumpe muda kuona mkakati unavyofanya kazi, hata Messi na Ronaldo wanapoteza magoli sasa na tena.
Tuwe na subira na timu yetu ya Liverpool!

Watu wa Chelsea mna jukwaa lenu mbona hamuendi huko kujadili team yenu? Liverpool imefungwa mechi 2 na bado tupo nafasi ya 2, na ligi ni marathon sio sprint.
May ni mbali sana na mengi yatatokea hapo kati, team ita click kama kawaida. Ni bora kukosea sasa na kupata nafasi ya kurekebisha kuliko kukosea mwishoni
 
Nafahamu tumepoteza mechi chache, lakini tukizingatia historia ya timu na kiwango cha mashindano, bado tuna nafasi ya kurekebisha mambo. Hakuna timu inayoshinda kila mechi

Tunajitaji kuangalia pia mabadiliko ya wachezaji na form. Wachezaji wengi muhimu kama Salah, McCallister, Konate hawapo in form kwenye mechi za hivi karibuni na ile Chemistry iliyokuwepo ya Salah, Diaz na Jota haipo. Wakati wao utarudi na ushindi utarudi tu
Kama mashabiki, jukumu letu ni kushangilia na kuunga mkono timu. Kila timu inakutana na changamoto, lakini kwa mshikamano tunaweza kuonekana nguvu ya Liverpool.

Kocha ana mpango wa muda mrefu. Labda utendaji si mzuri sasa, lakini lazima tumpe muda kuona mkakati unavyofanya kazi, hata Messi na Ronaldo wanapoteza magoli sasa na tena.
Tuwe na subira na timu yetu ya Liverpool!

Watu wa Chelsea mna jukwaa lenu mbona hamuendi huko kujadili team yenu? Liverpool imefungwa mechi 2 na bado tupo nafasi ya 2, na ligi ni marathon sio sprint.
May ni mbali sana na mengi yatatokea hapo kati, team ita click kama kawaida. Ni bora kukosea sasa na kupata nafasi ya kurekebisha kuliko kukosea mwishoni
Kweli wachezaji wazuri mnao ila ninamna kutafuta muundo mzuri utakaofanya ubora wa kila mchezaji huonekane mechi yetu na nyie kocha tulimwashia moto mpaka akajirekebisha kupitia mechi yenu kila kitu alifanya sahihi tofauti na mechi za nyuma na kama angepoteza angekuwa kwenye Hali ngumu sana na nyinyi mnapaswa muwe hivi
 
Kweli wachezaji wazuri mnao ila ninamna kutafuta muundo mzuri utakaofanya ubora wa kila mchezaji huonekane mechi yetu na nyie kocha tulimwashia moto mpaka akajirekebisha kupitia mechi yenu kila kitu alifanya sahihi tofauti na mechi za nyuma na kama angepoteza angekuwa kwenye Hali ngumu sana na nyinyi mnapaswa muwe hivi
Coach ana plan zake, unafikiri maoni yenu huku anayasoma😂
Ni suala la timing tu, Isak hayuko kwenye form, Salah , Macca ana injury , chemistry itarudi tu.
Liverpool ilikuwa mbovu miaka ya nyuma na wala watu hawakulalamika hii baada ya watu kuiona standard za Klopp watu wanabadilika.
On average kwa EPL kuna mechi 2-5 unajua utafungwa na za droo kama 5 ndio uwe bingwa.
Safari bado sana na mwisho wa msimu ndio tutafanya analysis vizuri
 
Coach ana plan zake, unafikiri maoni yenu huku anayasoma😂
Ni suala la timing tu, Isak hayuko kwenye form, Salah , Macca ana injury , chemistry itarudi tu.
Liverpool ilikuwa mbovu miaka ya nyuma na wala watu hawakulalamika hii baada ya watu kuiona standard za Klopp watu wanabadilika.
On average kwa EPL kuna mechi 2-5 unajua utafungwa na za droo kama 5 ndio uwe bingwa.
Safari bado sana na mwisho wa msimu ndio tutafanya analysis vizuri
Ingekuwa makocha hawasomi maoni ya mashabiki wasingekuwa wanajirekebisha katika maamuzi yao kumbuka Kuna watangazaji, wachambuazi na watu wao wa karibu unadhani ujumbe umfikii labda usiwe kwenye social media au usiwe unaifuatilia television. Liverpool ninayo ijua Mimi huwa hawana Mambo ya possession na hata ukiangalia aina ya wachezaji mnao sio watu wapossession ni WA counter attack
 
Ingekuwa makocha hawasomi maoni ya mashabiki wasingekuwa wanajirekebisha katika maamuzi yao kumbuka Kuna watangazaji, wachambuazi na watu wao wa karibu unadhani ujumbe umfikii labda usiwe kwenye social media au usiwe unaifuatilia television. Liverpool ninayo ijua Mimi huwa hawana Mambo ya possession na hata ukiangalia aina ya wachezaji mnao sio watu wapossession ni WA counter attack
Liverpool unayoijua wewe ya mwaka gani?
Msipende kujipa umuhimu, kuna makocha kama kina Mourinho au Guardiola utamshauri nini na philosophy zao kwenye football?
Klopp ni Mjerumani, falsafa yao inajulikana
Arne Slot ni mdutch, hao ndio waanzilishi wa possession football
La Masia academy walifundishwa na mdutch Johan Cruyff, ndio chimbuko la possession au total football ya kina Guardiola ambaye amepitia hapo akiwa mtoto mpaka kuwa kocha wa Barcelona
Hiyo possession football unayoisema leo kwa Liverpool ndipo ilipotokea kupitia mdutch Arne Slot, ni process, sio maoni yenu watu wa Jamii Forum
Liverpool nimeanza kuifuatilia tangu enzi za giza za kina John Barnes, Bruce Globbeaar na Keegan
 
Mmetumia pesa nyingi kwa wachezaji wa average isak, wirtz au Ekitike sio wa thamani yakutoa 120 huwa hiyo pesa inatoka kwa mchezaji exceptional ( Extra factor) Kama Mbappe au Lamine Jamal mlikuwa mnapesa nyingi mmeshindwa kutumia kwa wachezaji sahihi
Cheltako hamtakiwi kuongelea bei za wachezaji nyie ndio mnaongoza kwa kupigwa
 
Ingekuwa makocha hawasomi maoni ya mashabiki wasingekuwa wanajirekebisha katika maamuzi yao kumbuka Kuna watangazaji, wachambuazi na watu wao wa karibu unadhani ujumbe umfikii labda usiwe kwenye social media au usiwe unaifuatilia television. Liverpool ninayo ijua Mimi huwa hawana Mambo ya possession na hata ukiangalia aina ya wachezaji mnao sio watu wapossession ni WA counter attack
Na counter attack nazo zimegoma 🤣🤣🤣
 
Kufungwa mechi 2/7 mwaka huu na mechi 3 msimu wote 24/25 bado ikachukua ubingwa haifanyi team ikawa mbovu.
Arsenal na Chelsea mara ya mwisho ubingwa wamechukua lini?
Bado naamini coach akiweza kuwapanga vizuri team yake na wachezaji wakaelewana kila kitu kitakaa sawa tu, hata isipochukua ubingwa ni phase ya kujenga upya team.
Na counter attack nazo zimegoma 🤣🤣🤣

Direct football ‘ butua butua’ au hiyo mnayoita counter attacking ni system ya waingereza. Liverpool inacheza na wakati lakini muda mwingi ni possession na hakuna team isiyocheza counter attacking football bali inategemeana na phase kwenye transition.
Hata lile goli la pili la Chelsea ni matokeo ya counter attack
Aliyebadilisha hiyo kwenye premier league ni Arsene Wenger alipoingia Arsenal baada ya George Grahams. Arsenal ya miaka ile ilikuwa ni ushindi wa goli 1-0 na huchomoi mpira ni butua kwenda mbele huku nyuma kuna mabeki Martin Keown na Tony Adams na David Seaman golikipa
Alipoingia ndio akaingiza wachezaji wa Ufaransa kina Pires, Viera na Henry ndio kidogo kukaanza kuwa na flair ya pass na pissession na direct football kwa mbali
Hata Man U mchezo wao ndivyo ulivyokuwa mpira unaanza golini kwa Schmeichel unapita kulia kwa Gary Neville, mbele kwa Beckam cross inamkuta Andy Cole goli au kushoto Phil Neville kwa Giggs cross kwa Dwight Yorke goli, katikati utapambana na Keane na Scholes angalau Cantona ndiye aliifanya ikawa tofauti kidogo
Mourinho alipoingia Chelsea akaja na wa kwake wa matokeo tu bila kujali type lakini zaidi akisisitizia system ya wataliano kina Zola, Vialli akitumia defence discipline, game control na quick attack ya kina Drogba i.e. cattenaccio.
Benitez naye akaibadilisha Liverpool kwa kuleta waspaniola kina Alonso na wabrazil kina Lueva ikaanza nayo kucheza possession na direct football
Guradiola alipoingia PL ndiyo akabadilisha system ya makocha wengi na wafuasi wake kina Arteta ndiyo maana magolikipa wengi wanaanzisha mpira na mpaka sasa ukiangalia wachezaji wanoongoza kwa pass ni golikipa na beki kama sio wa Arsenal, Man City au Liverpool
Kwa mara ya kwanza katika historia Guardiola alipark bus Emirates
 
Cheltako hamtakiwi kuongelea bei za wachezaji nyie ndio mnaongoza kwa kupigwa
Sisi hatujawahi kutoa zaidi ya pound 100m kwa single player na tukapigwa angalia Caicedo na Enzo Fernandez wanachokifanya nyinyi mnatoa more than ya pound 100m Tena kwa mchezaji mmoja Tena ni average
 
Yaani ninyi kufunga mechi 2 tu mmebabaika hivi, vipi kama mngekuwa mashabiki wa United, si tungeishazika kitambo sana? Nawashauri kitu kimoja, angalieni mpira kama burudani sio kuangalia mmefungwa au kusuluhu. Mtanishukuru baadae mkienda na huu mtizamo wangu.
 
Firmino, Fabinho na Robertson walionekana wabovu wakati wanaingia, baada ya msimu 1 gari iliwaka
Yaani ninyi kufunga mechi 2 tu mmebabaika hivi, vipi kama mngekuwa mashabiki wa United, si tungeishazika kitambo sana? Nawashauri kitu kimoja, angalieni mpira kama burudani sio kuangalia mmefungwa au kusuluhu. Mtanishukuru baadae mkienda na huu mtizamo wangu.
hao walioanza kushabikia Liverpool enzi za Klopp 2015. Liverpool ilipitia kipindi kama hiki cha Man U , 1990-2015. mashabiki wengi wakakimbia wakahamia Chelsea na Man City baadae.
Tulobaki wapenzi wa team na tulipata furaha au karaha ya kumshinda au kufungwa na Man Utd tu kila tukikutana nao baada ya hapo tunaangalia tu mechi nyengine kwa mapenzi ya soka tu
 
Sisi hatujawahi kutoa zaidi ya pound 100m kwa single player na tukapigwa angalia Caicedo na Enzo Fernandez wanachokifanya nyinyi mnatoa more than ya pound 100m Tena kwa mchezaji mmoja Tena ni average
Hehehehehe mudryk yupo wapi ?
 
Kuna wakati sio kila mechi inachambulika, Wakati msimu unaanza humu tuliwauliza kama mnaendelea na Gravenberch kama DM wenu, sikuona mtu wa kuliongelea humu. Slot bado sijashawishika naye, na sio sababu ya mechi ya mechi jana, tujipe muda zaidi.
Unfortunately Gravern is neither playing as an anchor/seater. He is playing offensively with much freedom not like last season.

Ynwa
 
Team will be back in a good shape only if Slot go back to basics or hug himself just by building his system through Gravern, Isak, Ekitike and Wirtz, play with your strength, play many balls through your spine.
Give more wide balls to either Gakpo/ Salah is to kill Wirtz and Isak abilities. So far Wirtz created more chances in RPL than any player (stand to be corrected).

Liverpool has all qualities to play good football with good results, its on Slot's hand.

Ynwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom