Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

  • Ushambuliaji ulikuwa butu kabisa alipotoka Ekitike
  • Midfield Szobo alicheza vizuri kipindi cha kwanza tu, second half akapotea.
  • Salah inaonesha msimu uliopita alikuwa na performance ya kutafutia mkataba, baada ya kupata Mkataba mechi 7 za mwisho alipotea mpaka jana.
  • Kerkez mpaka jana sijaona kuwa ni upgrade ya Robertson, hivyo labda tumsubirie tu.
  • Florian and Frimpong they were OK
  • VVD alikuwa pazia kwa dakika zote 90
  • Konate ndiyo yeye alikuwa nyavu kabisa
  • Allison was in his best yaani kazi za Konate na VVD alikuwa akizifanya yeye jana kucheza mipira nje ya boksi.
  • Johnes ni new version ya Henderson yaani pale DM ni sawa na kuwa tulichomeka nguzo tu.
  • Performance ya Timu kiujumla ilikuwa mbovu sana yaani hata kucheza 5 complete passes ilikuwa ni changamoto.
  • Timu haikuwa na Identity of playing hivyo Slot atengeneze Identity tujue tunacheza style gani kama alivyokuwa Klopp.
upo sahihi mtaalam
Ila Kerkez na Robbo

Robertson bado ni mtaalamu wa kupitisha mpira (pass-master), mwenye uzoefu mkubwa na ufanisi wa juu katika kusimamia mpira ndani ya Liverpool na mwenye experience na mfumo wa Slot
Anajua nini afanye akiwa na mpira na kwa wakati gani asimame eneo husika akiwa hana mpira

Kuhusu VVD Jana kafeli kila kitu interception dribbling tackling exception high ball tu ndo ka'won
JONES bishoo uwezo mdogo sn kwny defensive labda offensive

Kiujumla Slot anaforce double pivot uku akiexchanges with back three system km nd mpra wa ksasa lakini ukuta ni dhaifu mno hzi system zinahitaj strength blocking structure.
 
1754914459978.jpg
 
Nitakupa references

Tangu mwanzo wa zama za Premier League (1992–93), timu 8 kati ya 33 zilizoshinda Community Shield zimethibitisha pia ushindi wa Ligi Kuu msimu huo huo — ni chini ya robo ya timu zote.

Pia, katika misimu 13 uliopita, tu moja kati ya timu zilizoshinda Community Shield imefanikiwa kushinda Ligi — hiyo ilikuwa Manchester City mwaka 2018–19.

Kwa kifupi: ushindi wa kwenye Community Shield si kiashirio cha mafanikio msimu mzima wa Ligi Kuu. Ni idadi ndogo sana ya timu zinazoweza kufanya double (Community Shield + Premier League) msimu huo huo.

NITAKUPA SABABU TANO WHY this is possible and afterall this is what we call real coincidence
Ni rahisi kuona hili ukizingatia kuwa Community Shield huwa ni kati ya mshindi wa ligi kuu na mshindi wa FA Cup. Ikitokea kuwa mshindi wa ligi kuu pia alishinda FA Cup basi anashindanishwa na mshindi wa pili wa ligi. Mechi hii ni ya kirafiki zaidi na pia ni mechi moja tu ya kufa kupona, lazima bingwa apatikane, hivyo lolote laweza kutokea kama mshindi kupatikana kwa penati.

Chukua mfano wa Crystal Palace ambaye alimaliza nafasi ya 12 msimu uliopita. Unaonaje kuhusu uwezekano wake kuchukua kombe la ligi kuu msimu huu mbele ya Liverpool?
 
Shida ya mashabiki wa Livapuli wao hua wanafikiria kila siku ni ijumaa, mmebahatisha msimu uliopita baada ya kipara msimu mzima kua bize mahakamani na kesi ya talaka ya mkewe, mnajiaminisha msimu huu pia ni wenu.
Mimi nawahakikishia mwisho wa msimu huu hio kichwa mviringo Slot Machine inatimuliwa hapo Anfield.
images-35.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom