Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tuliza kinyeo hicho we nyumbu Dili na timu lako ambalo Kila msimu linafa'ya kazi ya kugombania kushuka daraja naona haulioni lilovyobovu mpaka unaanza kuona mapungufu ya timu zingine yaani unawasema wengine kwamba hawajavaa shati kumbe wewe umevaa suruali ila imetoboka makalio yote yapo nje halafu unajisifia umevaa
Idiot
 
1755001468043.jpg
 
1. Tactical Explanation – What Happened?

a) Defensive Shape vs. Palace’s Transitions

Slot alitumia mfumo wa 3-2-5 timu ikiwa na mpira, ambao ulionekana kuwa na mtiririko mzuri wakati wa kushambulia. Hata hivyo, wakati wa kupoteza mpira (defensive transition), mfumo huu ulianguka na kuwa 5-4-1 dhaifu.

When Palace bypassed the first press, the midfield pivot was often caught too high, leaving the CBs exposed to 1v1 or 2v2 situations.

This is especially dangerous against Palace’s pacey forward (Mateta ) who thrive in broken-play moments.

Tatizo lilionekana mpangilio wa mabeki wakati timu inashambulia) haukuwa imara.
Mabeki wa kati walilazimika kutoka nje ya nafasi zao kwenda kufunika pembeni, na hivyo kuacha mianya katikati ya safu ya ulinzi

B) Defensive middlefield Misalignment

Curtis Jones started as a single pivot in some phases, but:

His natural instinct is progressive play, not sitting deep.

His body positioning was often too open, which is risky for a lone DM in defensive transition.

This allowed Palace to attack through the middle after turnovers because the "screen" in front of the CBs wasn’t solid enough.

c) Pressing Triggers Not Synchronised

Slot’s pressing setup demands compactness and timing.

In multiple sequences, the front five pressed aggressively while the midfield and defence stayed deep this created pressing gaps Palace exploited.

2. Kuna tatizo la kimuundo na individuals error

Hata ukiwa na wachezaji wazuri, kama:

  • Double pivot (viungo wawili wa kati wa ulinzi) hawana nidhamu ya kiulinzi,
  • Mabeki wa kati hawana kasi au uwezo wa kutambua hatari mapema,

basi mfumo huu utazidi kuruhusu nafasi kwa wapinzani.

Kumbuka, timu ya Klopp ya 2018–2020 ilifanya kazi vizuri kwa sababu:

  • Fabinho alikuwa kama firewall ya ulinzi – akikatiza mashambulizi kabla hayajafika mbali.
  • Van Dijk pamoja na Gomez au Matip waliweza kufunika maeneo ya pembeni na kati kwa ufanisi mkubwa.

Hii inaonesha kuwa tatizo si wachezaji mmoja mmoja tu, bali jinsi mfumo unavyowekwa na kuchezwa.

3. Player Profiles Who Fit

Centre-Back (CB) Profile Needed

Fast over 10–20m to defend high line recoveries.

Strong in aerial duels (Palace scored from set pieces and crosses).

Comfortable stepping into midfield when the shape morphs to a 3-2-5.

Examples (Realistic & Dream):

Micky van de Ven (Spurs) – elite recovery speed, left-footed.

Antonio Silva (Benfica) – good positioning + anticipation.

Lutsharel Geertruida (Feyenoord) – Slot’s former player, can play CB/RB.

Marc Guéhi (Crystal Palace) – already proven in the PL, excellent on-the-ball.

Defensive Midfielder (DM) Profile Needed

Positionally disciplined in both single and double pivot setups.

Excellent scanning & awareness to block central passing lanes.

Quick in defensive transitions to close space after turnovers.

Must handle progressive passing under pressure to feed Wirtz, Szoboszlai, Salah.

The likes of
João Palhinha (Fulham) – elite ball-winner, PL-proven.

Manu Koné (Gladbach) – strong in duels, can carry the ball.

Florentino Luís (Benfica) – natural shield, interception specialist.

4. Mapendekezo ya Mwisho ya Kitaaluma (Tactical Prescription)

Slot lazima afanye maamuzi kati ya haya mawili:

1. Kubaki na mfumo wa 3-2-5 lakini kusajili DM wa kiwango cha juu na CB wenye kasi ili mfumo huo ufanye kazi ipasavyo.

2. Kubadilisha mfumo kwenda 4-3-3 au 4-2-3-1 kwa muda, hadi pale usajili mpya utakapoziba mapengo hayo.

Bila kuongeza wachezaji muhimu, Liverpool itabaki kuwa na ubora mkubwa wa kushambulia lakini udhaifu wa ulinzi timu itakayoburudisha mashabiki kwa soka safi lakini ikipata tabu kushinda michezo mikubwa.
We were not serious enough kuutaka mchezo.

Kuna kitu watu wengi hawajakielewa hasa kwa mchezo ule vs Palace. We were too much offensive team than even defensive team, credit ziende kwa Palace kwa kuliona hilo na ku switch kwenye long balls with quick transitions.

Position, Responsibility, and ability ndivyo vinaleta balance, na ndizo indicator za kumweka mchezaji sehemu sahihi na wakati sahihi. Yaani vipi Szobo na Jones wawe as anchor and deep lying MFs?? Hii combo hata a championship team hawawezi kuthubutu hilo, and have just taken it as a friendly game with less seriousness. Hope that will never happen again.

Wachezaji watatu tu atleast ndio walikuwa defensive minded players Vvd, Konate and Kerkez though Kerkez bado ni 50/50 player. Waliobaki wote akilini mwao pamejengwa na mbinu za ushambuliaji, zaidi ya uzuiaji hata talents zao zinaangukia humo naturally.
Jones & Szobo positions zilikua sahihi 100% ila ability ni 10%, kama uwezo ni mdogo maana hata jukumu lako litakua dogo tu kulitekeleza au utalitekeleza bila ufanisi.

Binafsi simuoni Szoboszlai as A world class player kama Mosdef alivyowahi kumuelezea huko nyuma. He has no that ability to click into world class group. Yes ni mchezaji mzuri, ila sio kwa level hizo.
My take inabidi acheze kwenye free role, mchezaji muongo muongo. Kwamba jukumu lakini ni kucheza na movement timu ikiwa na mpira acheze uwanja mzima asiwe na limitations especially kuanzia half of opponent. Unakumbuka his highest performance vs B'mouth alicheza hivyo kama kiungo huru with less limitations.

Tusubiri mpaka 31/8 usiku hivi tujue nani ameingia nani ametoka, as it Stands tumeenda Parma kubisha hodi kwa Leoni. Guehi amekataa kuongeza mkataba wasipomuuza msimu huu basi next summer ni free agent, hawa wote initial bids were rejected.

Ynwa.
 
🚨 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄: Liverpool are working on both Giovanni Leoni and Marc Guehi as CB options 👀

Parma defender Leoni’s seen as top talent for future… with his name included on shortlist already since July.

Marc Guehi won’t sign new deal at Palace and remains opportunity for final three weeks as talks are ongoing.

Club assessing options internally ahead of decision being made very soon for the centre back position.
 
🚨 | Alexander Isak has insisted he will not play for Newcastle United again, even if the transfer window closes without him leaving the club.

Isak feels his time at Newcastle is over and does not want to return to the squad.

Newcastle maintain that Isak is not for sale, but they are exploring options in the market, while Liverpool have shown interest in signing hi and Isak himself only wants Liverpool.
[Source: @davidornstein – @theathleticfc]

This is the life aisee.

Yaani mtu anaweza kuweka mgomo kwenye ajira ya mamilioni ya pauni, kazi kuu ni kufanya mazoezi, kucheza mpira na majukumu kadhaa ya kibiashara kama mahojiano, matangazo, nk.

Nilishangaa Gyökeres alivyoweka mgomo ili aje kwetu (tumenufaika, sawa, ila si sahihi sana, japo yeye alionekana kuwa sahihi kwa sababu aliahidiwa kitu na muajiri wake halafu muajiri akamgeuka) na sikutegemea kitu kama hicho kitatokea tena hivi karibuni, achievable mbali ndani ya dirisha hili hili.

Sasa tuone tu hili suala litaishia wapi. Je Newcastle watakubali kumlipa mshahara bure mchezaji asiyeitumikia timu?

Je watakubali kuacha mahela ya Liverpool yapotee hivi hivi tu kwa mchezaji anayetaka kwenda? Dalili zinaonyesha Liverpool watampata tu mchezaji wao.
 
🚨 Liverpool have agreed personal terms with Marc Guehi! Giovanni Leoni is also keen on the move.

Negotiations underway with Palace for fee around £35m as total package, deal could be done soon.

Liverpool work on both Guehi and Leoni, NOT alternative as revealed today.

Fabrizio Romano
 
This is the life aisee.

Yaani mtu anaweza kuweka mgomo kwenye ajira ya mamilioni ya pauni, kazi kuu ni kufanya mazoezi, kucheza mpira na majukumu kadhaa ya kibiashara kama mahojiano, matangazo, nk.

Nilishangaa Gyökeres alivyoweka mgomo ili aje kwetu (tumenufaika, sawa, ila si sahihi sana, japo yeye alionekana kuwa sahihi kwa sababu aliahidiwa kitu na muajiri wake halafu muajiri akamgeuka) na sikutegemea kitu kama hicho kitatokea tena hivi karibuni, achievable mbali ndani ya dirisha hili hili.

Sasa tuone tu hili suala litaishia wapi. Je Newcastle watakubali kumlipa mshahara bure mchezaji asiyeitumikia timu?

Je watakubali kuacha mahela ya Liverpool yapotee hivi hivi tu kwa mchezaji anayetaka kwenda? Dalili zinaonyesha Liverpool watampata tu mchezaji wao.
Case study Surez alitaka kufosi namna hii ili atue Arsenal unakumbuka miaka Ile Mshua Henry anauliza mnavuta Nini Emirates 🤓🤓🤓? Sema tu Gerrard alikua ni Captain hodari sana.
Tena ikaja kwa Coutinho huyu mpaka alitoa pesa yake mwenyewe ili uhamisho usikwame nk nk haya matukio yapo tu ndugu hua sio fea lakini ndio hali ilivyo.
Isak alishatoa taarifa atasepa dirisha hili tangu Machi huko hivyo wao mapema tu wangepambana kuhakikisa wananua namba 9 sio hizi drama wanazofanya sasa.

YNWA
 
Case study Surez alitaka kufosi namna hii ili atue Arsenal unakumbuka miaka Ile Mshua Henry anauliza mnavuta Nini Emirates 🤓🤓🤓? Sema tu Gerrard alikua ni Captain hodari sana.
Tena ikaja kwa Coutinho huyu mpaka alitoa pesa yake mwenyewe ili uhamisho usikwame nk nk haya matukio yapo tu ndugu hua sio fea lakini ndio hali ilivyo.
Isak alishatoa taarifa atasepa dirisha hili tangu Machi huko hivyo wao mapema tu wangepambana kuhakikisa wananua namba 9 sio hizi drama wanazofanya sasa.

YNWA
Haya ni yale aina ya mambo ambayo waswahili wanasema 'yasikie kwa jirani' ila yakikukuta ni noma. Sisi Fabregas naye alileta haya mambo mpaka akatumia pesa zake mwenyewe. Barcelona kulimshinda mpaka hata kurudi England aliona aibu kurudi Arsenal na akaenda Chelsea. Uzuri ni story ya Fabregas iliisha vizuri kwake maana mafanikio aliyopata Chelsea, asingepata kwetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom