Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Red Indian numbers at Real Madrid
YNWA
Hiyo mitindo🤣🤣🤣🤣Chini ya Slot kitaeleweka.
YNWA
UnatusengenyaChelsea hua siwaelewi wanataka Nini sokoni aisee yaani Kila mchezaji kipaji wamoooo.
YNWA
As per Pearce bado rungu la FFP lipo mbali sana na sisi... Slot anapenda kikosi kipana kilicho na quality.I stand with Slot sio muumini wa kubana mkwaja kama Klopp...yeye anajua mazima na uzuri klabu ipo mahala pazuri pia ki kanuni za usajili EPL hivyo anaweza kujiachia mazima na bado akawa compliant 🔥🔥🔥
YNWA
Sasa ukutane na Stoke City ya kina Delap, Shawcross, Glen Whelan na Kocha wao Tony Pulis... Walisifika kwa defensive football ...Kuyt alikua approached kama kocha msaidizi Liverpool na Slot lakini naona haikua riziki.
Aaaa enzi hizo hapakua na mipango mingi ilikua full physical game yaani.
YNWA
We really need a beast in the middle of the park. Natural Anchor, Gravern will suit better as a Deep -lying playmaker.Someni wenyewe maoni ya key board worriors kuhusu ujio wa Isak Liverpool
View attachment 3418602
Maoni yangu ni wanunue kwanza CB beki na DM, naona tunatajwa kwa Douglas Luiz wa Juventus zamani akicheza Aston Villa kama msaidizi wa Grav...pale kwa sasa tuna Morton, Bajetic na Samurai ambao kwangu naona tunahutaji upgrade bado eneo Hilo.
YNWA
😂😂 kweli aiseeeeView attachment 3418445
Huyu Wirtz kafanana na Jamie Vardy 😂😂😂
Suala la Isak nahisi Camp yake ndio wanawapush New Castle waongeze mshahara kupitia Liverpool, Sina hakika kama kweli bado tunamtafuta tena msimu huu baada ya kumpata HugoSomeni wenyewe maoni ya key board worriors kuhusu ujio wa Isak Liverpool
View attachment 3418602
Maoni yangu ni wanunue kwanza CB beki na DM, naona tunatajwa kwa Douglas Luiz wa Juventus zamani akicheza Aston Villa kama msaidizi wa Grav...pale kwa sasa tuna Morton, Bajetic na Samurai ambao kwangu naona tunahutaji upgrade bado eneo Hilo.
YNWA
We uko dunia Gani Liverpool wanamuhitaji isak na isak anaitaka Liverpool we unasema camp yake inatakwa kuongezewa mshahara utaongezewaje mshahara wakati hujasainishwa mkataba mpyaSuala la Isak nahisi Camp yake ndio wanawapush New Castle waongeze mshahara kupitia Liverpool, Sina hakika kama kweli bado tunamtafuta tena msimu huu baada ya kumpata Hugo
Aaaa mna hela nyingi sana nyie jamaa dirisha hili msipokua contenders basi mrudisheni Mourinho.Unatusengenya
Yote yanawezekana ndugu. Dirisha bado lipo wazi tuwe na subira.Suala la Isak nahisi Camp yake ndio wanawapush New Castle waongeze mshahara kupitia Liverpool, Sina hakika kama kweli bado tunamtafuta tena msimu huu baada ya kumpata Hugo
Naona mnawapa stress mijusi milia.Newcastle: Let's try Ekitike and Isak up front
Liverpool: That's a fantastic idea.
Cash bado ipo na offloads bado hivyo ngoja tuone Nini kimepangwa eneo hilo Mkuu.We really need a beast in the middle of the park. Natural Anchor, Gravern will suit better as a Deep -lying playmaker.
CB is an area that has to be highly prioritized aisee kuna upungufu eneo hilo.
Ynwa
Epic man that was when football was football,boys couldn't miss big games hata kwa sidano ilikua lazima kucheza.Sasa ukutane na Stoke City ya kina Delap, Shawcross, Glen Whelan na Kocha wao Tony Pulis... Walisifika kwa defensive football ...
Yalinifurahisha magoli ya kipindi kile, they were truly skillful goals, back in the days,...
Ynwa
Na nyinyi safari hii mnishangaza si kawaida yenu boss wenu sijui kanywa pombe ya aina gani but kinachonisikitisha bei ya kumnunua Hugo Ekitike kwangu ni mchezaji wa kawaida si ya kutoa hiyo hela Bora yule florian wirtz huyu mtu haswa ila sio huyo Hugo Ekitike ana Nini special ya kufanya mtoe hiyo hela sio striker tishioAaaa mna hela nyingi sana nyie jamaa dirisha hili msipokua contenders basi mrudisheni Mourinho.
YNWA