Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
😂😂😂😂😂Hivi pale kwa Madueke mmeona nini aisee je atakua upgrade ya waliopo maana hua naona hana maajabu ki vilee ....Style yao mpya ni kunyakua kila mchezaji mzuri wanaoweza kumpata. Mambo ya kupanga kikosi yanafuata baada ya hapo.
Halafu baadae wanatupiga kwa kutupa kina Sterling na Madueke na kutupooza kwa kutupa Kepa kwa bei ya vitunguu.
Sterling anapambana kwenda Napoli hana tena nafasi pale...Felix nae huyoo Benfica ameshindwa kabisa ku justify Ile vibe wakati anatua kwa El Cholo...
Hongera kwa Zubemdi pale mchezaji umepata...
YNWA
