🤣🤣🤣Na nyinyi safari hii mnishangaza si kawaida yenu boss wenu sijui kanywa pombe ya aina gani but kinachonisikitisha bei ya kumnunua Hugo Ekitike kwangu ni mchezaji wa kawaida si ya kutoa hiyo hela Bora yule florian wirtz huyu mtu haswa ila sio huyo Hugo Ekitike ana Nini special ya kufanya mtoe hiyo hela sio striker tishio
Kwenye NBA Nuggets ndio chama langu na kwenye usajili wamefanya vizuri mnoooo kuanzia oktoba patachimbika
huyu hatakuja liver kwa bei hizi,
Tungebaki na Nenez na Ekitie tukasajili na Guehi basi pamoja na DM mmoja tu tukaanza msimu wetuhuyu hatakuja liver kwa bei hizi,
We hujui mpira nunez wa nini pale Sasa hivi miaka yote Kawa flop la kudumu epl we chezaji Gani Kila msimu alijirekebishl aje isak afanye kazi na ekitike huu sio mda wa kukaa na maflopTungebaki na Nenez na Ekitie tukasajili na Guehi basi pamoja na DM mmoja tu tukaanza msimu wetu
Advantage ya dogo ni versatilityView attachment 3416828
Hugo vs Isak in numbers.
Slot ana kibaraua kizito sana kwa huyu dogo aisee.
Shot conversion yupo chini sana ukitazama alipiga shoti 117 na kupata goli 15 ni kwamba haitoshi....
Kazi kwa jopo la makocha kuweka mkatati safiii ili aongeze bidii na tuone magoli
YNWA
Kwa namna nilivyosoma huyu mwamba ni dizaini kama Bobby Firmino Fulani hivi kwamba ni mchezeshaji na mfungaji....Kule Frankfurt alicheza na Mamosh vyema tu na sasa atakua na King Salah Sina wasi wasi tutegemee Nini.Advantage ya dogo ni versatility
He can move from no 9 to any of the four attacking positions
Inawezekana kabisa ikwa hivyo bado Nunez anaweza kuleta mafanikio kama msimu uliopita alisaidia parefu sana.Tungebaki na Nenez na Ekitie tukasajili na Guehi basi pamoja na DM mmoja tu tukaanza msimu wetu
Am old skol nafa na Chicago Bulls .... Unakumbuka era ya namba 23 ... Waaa bald baldest conquered.Kwenye NBA Nuggets ndio chama langu na kwenye usajili wamefanya vizuri mnoooo kuanzia oktoba patachimbika
Fentway wakiamua wanaweza huu usajili kwa kua sio keshi watawalipa Newcastle kwa awamu ya miaka 6 kulingana na mkataba wake Liverpool...
Hahahaha always kua na maneno ya akiba kwenye mpira maana kuna matukio Fulani Fulani hivi hua yanatokea.....
Hivi huyu Jones ndio mmiliki wa Tottenham ama.
Henry akaunti yake imedukuliwa SI bure aisee.Na nyinyi safari hii mnishangaza si kawaida yenu boss wenu sijui kanywa pombe ya aina gani but kinachonisikitisha bei ya kumnunua Hugo Ekitike kwangu ni mchezaji wa kawaida si ya kutoa hiyo hela Bora yule florian wirtz huyu mtu haswa ila sio huyo Hugo Ekitike ana Nini special ya kufanya mtoe hiyo hela sio striker tishio