Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mjinga sana huyu mtoto
Mkataa pema pabaya humwita
Kamati ya roho mbaya tunasubiri lolote limkute.
Madrid mfumo utamkataa mapema sana
Klopp amekafundisha mpira,kanajiona kastar sana siku hizi wakati ni mchezaji wa kawaida sana.
Mfumo gani wakati anakuja Alonso na 343, atakuwa wing back na ni mfumo unaomfit haswa.
Madrid wanajua wanataka nini na hawajabahatisha kumsajili
 
Halafu kanafiki
Kajaongea kipole
Eti I love this team
Team unayoipenda huwezi kuifanyia huu utapeli.
Anashindwa kuondoka fair kwa timu iliyomkuza toka akiwa mtoto mdogo anapenga kamasi.

Hata hivyo hatukataki hata sisi.
Daah we nae una utoto sana mtoto wa 2000...acha kijana aende, frimpong anakuja hapo Liverpool football is business ma'am
 
Kaondoka kitapeli
Acheni kumpamba
 
Atatufaa huyu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…