Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Next season tunajenga timu ya maana.
Mambo gani haya mpaka sasa hata points 70 hatujafikisha?
Nyie kila siku mnajenga tu timu
Halafu makombe hamchukui
Afu utasikia
Ooh Liverpool wabovu.

Sisi tumefocus na kombe moja la maana na tumebeba.

Arse8 fungu la kukosa tunasubiri mtushangaze na UEFA 😂😂
 
Historia inaonyesha makocha viherehere wanaoshinda ligi kwenye misimu yao ya kwanza hua hawana maisha marefu pale uingereza.

Mourinho
Ancelotti
Pellegrini
Conte

Greatest managers pale uingereza ni wazee wa slow but sure.

Ferggie
Pep
Wenger
Bill Shankly
Bob Paisley
George Ramsey
Kenny Daglish

Haya tukutane msimu ujao.
 
Historia inaonyesha makocha viherehere wanaoshinda ligi kwenye misimu yao ya kwanza hua hawana maisha marefu pale uingereza.

Mourinho
Ancelotti
Pellegrini
Conte

Greatest managers pale uingereza ni wazee wa slow but sure.

Ferggie
Pep
Wenger
Bill Shankly
Bob Paisley
George Ramsey
Kenny Daglish

Haya tukutane msimu ujao.
1+1=2
2+0=2
4-2=2
3-1=2

Usikariri mkuu.
 
Nyie kila siku mnajenga tu timu
Halafu makombe hamchukui
Afu utasikia
Ooh Liverpool wabovu.

Sisi tumefocus na kombe moja la maana na tumebeba.

Arse8 fungu la kukosa tunasubiri mtushangaze na UEFA 😂😂
Hamjafocus na kombe moja bhana. Hilo ndilo kombe pekee mliloweza kubeba kwa kuwa mlianza vizuri na kutembeza vichapo huku wengine wote wakisuasua na kukumbuka shuka alfajiri
 
Maneno ya wakosaji yameanza
Tulia dogo, kombe letu ndio kwanza ligi.

Alianza mechi ya kwanza, mkasema amebahatisha
Kawaacha mbali zaidi ya points 10
Mmeanza kusema kiherehere.
 
Nimesikitika kocha kutoka ligi ya wakulima kubeba epl msimu wa kwanza 🙂 Ni bahati yake maana man city walipoteana mwaka huu.
 
Wewe furahia ubingwa wenu huko acha kutusumbua. Mbona mimi nimefurahi ni nyie mmebeba na si Man C115y?
Kaka kama City tukichukua huwa unaumia itabidi ujifunge mkanda kwelikweli maana city mpya inaenda kubeba makombe mengine 3 ya EPL
 
Captain Marvelous
Hivi FSG si wapite na KDB huyu mtu ale mkataba hata wa 1 yr.
🤓🤓🤓🤓 FSG hua ni wa kipekeee wao ni mahesabu kwanza makombe baadae....
KDB atakula si chini ya $350k na ni temporary solution kwetu hivyo risk ni kubwa kuelekea alipo Manchester United maana ndani ya miaka miwili inatakiwa ku plan bila Salah, VVD na KDB ambao watakua wanasepa itakua ishu ngumu sana Kaka kwa klabu ukizingatia soko limekaa hivyo sana wachezaji bei zinapanda Kila kukicha...

YNWA
 
Historia inaonyesha makocha viherehere wanaoshinda ligi kwenye misimu yao ya kwanza hua hawana maisha marefu pale uingereza.

Mourinho
Ancelotti
Pellegrini
Conte

Greatest managers pale uingereza ni wazee wa slow but sure.

Ferggie
Pep
Wenger
Bill Shankly
Bob Paisley
George Ramsey
Kenny Daglish

Haya tukutane msimu ujao.
In everything kuna mwanzo ndugu....
Slot ndio kocha wa kwanza Mholanzi kuchukua ubingwa wa EPL...
VVD ndio Captain wa kwanza Liverpool kuchukua Ubingwa EPL akiwa sio Muingereza🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾....
Hivyo sie tunafungua ukarasa mpya kwa klabu yetu yaani hii Liverpool endapo wamiliki wataacha kubeti na usajili basi amini msimu ujao tupo kwenye mbio za Ubingwa....

YNWA
 
Haitatokezea Kocha yeyote wa Kiholanzi kubeba kombe la EPL katika historia ya Soccer isipokuwa Slot.
Tumejifunza kutosema 'never'. Huyo Slot mwenyewe alivyokuja wote tulimuona kama mzushi fulani tu, hana lolote na akijitahidi saaana, atakuwa anapambania top 6. Mara paap, mchizi kabeba kombe msimu wake wa kwanza.
 
1000020361.jpg

Maisha bhana mfungaji wetu yupo kwenye dimbwi la mawazo mazito sana.
Je arudi Spain, arudi Ureno au asepe Urabuni au atimkie wapi au nibakie Liverpool nk nk nk.....

Chaos master japo hafanyi alichosajiliwa kufanya hakika mengine anajitahidi sanaa

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom