Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nadhani anakukumbusha tu kuwa kwa kuwa wewe ulikuwa Arsenal kabla hujahamia City, anakurudisha tu kwenye timu yako halisi.
Loh! πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

Sasa mimi na u yanki huu ningeanzaje kushabikia arsenal kaka mkubwa?

Nmekuja duniani nakuta timu inaburuzwa ningeanzaje kushabikia timu nuksi kama hiyo?
 
1000021259.jpg

One season wonder boy so they called him🀣🀣🀣🀣🀣🀣....
He who wins get the last laugh πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚

YNWA
 
View attachment 3318986
One season wonder boy so they called him🀣🀣🀣🀣🀣🀣....
He who wins get the last laugh πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚

YNWA
Sikuoni ukimpost mdogo wako pendwa kipenzi cha wengi
Srtrika la Dunia
darwin Nunez
 
Loh! πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

Sasa mimi na u yanki huu ningeanzaje kushabikia arsenal kaka mkubwa?

Nmekuja duniani nakuta timu inaburuzwa ningeanzaje kushabikia timu nuksi kama hiyo?
Watoto wa elfu 2 na kumi
Hawana wajuacho zaidi ya mpira wa hela za mafuta.
Akina Davet .

Hawajui mpira halisi hawa watoto wa ulimwengu wa smartphone.
 
Mtatafiti mpaka ball boys na kutafuta records. Sasa hivi tu tutaona post inasema 'first Somalian ball boy to shake hands with Mo Salah after Liverpool win their 20th league title...' na mambo mengine kama hayo...
πŸ˜‚πŸ˜‚

Captain Marvelous ananiambia Van Dijk kawa Captain wa kwanza asiye mwingereza kuchukua taji la EPL wakati A Belgian defender, Vincent kompany alifanya hivyo way back in 2012.

Wewe Cap, kwanini unatulisha matangopori πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚

Captain Marvelous ananiambia Van Dijk kawa Captain wa kwanza asiye mwingereza kuchukua taji la EPL wakati A Belgian defender, Vincent kompany alifanya hivyo way back in 2012.

Wewe Cap, kwanini unatulisha matangopori πŸ˜‚πŸ˜‚
Lazima wajipambe wajikuze mpaka wajidanganye na wadanganye umma. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Ukishaijua hiyo timu niliyokua nashabikia kabla ya City ndio uje uniambie nirudi, au unamaanisha soka la chandimu la simba na yanga πŸ˜‚πŸ˜‚
Mkimbizi unahaha baada ya kugundua timu uliyokimbilia inahemea mipira hata nafasi ya ushiriki UEFA Iko matatani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom