nyangelekene
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 498
- 382
Champion
Kwanini mkuu?Haitatokezea Kocha yeyote wa Kiholanzi kubeba kombe la EPL katika historia ya Soccer isipokuwa Slot.
Lfc needs some serious investmentHongereni majogoo Kwa ubingwa ,tuendelee kukaza maana kipara pep ameanza kufufuka na anakuja kama kimbunga mwakani miziki ni uleule .
Upo sahihi ndugu....a wounded lion is extra dangerous.....Hongereni majogoo Kwa ubingwa ,tuendelee kukaza maana kipara pep ameanza kufufuka na anakuja kama kimbunga mwakani miziki ni uleule .
Mkuu FSG somo pekee wanalilitaka ni mapato yao😃😃.Upo sahihi ndugu....a wounded lion is extra dangerous.....
Wamiliki wetu Wana nafasi ya kusajili vipaji sasa kwani ukiwa bingwa mvuto unaongezeka sana kwa wachezaji kuja kucheza Liverpool hivyo hapa hatuhitaji bla bla.....
Alivyoshinda Klopp ubingwa wa EPL msimu wa 2020 wamiliki walikula Kona sokoni hakupewa sapoti ya maana matokeo Kipara akasepa na kombe hopefully wakati huu FSG wameshapata somo ni mpira pesa smart buying..
YNWA
Hizi ni hisia tu.Haitatokezea Kocha yeyote wa Kiholanzi kubeba kombe la EPL katika historia ya Soccer isipokuwa Slot.
Mungu aendelee kumbariki Mohamed SalahAnastahili dogo yeye peke yake ana win percentage zaidi asilimia 45 peke yake kwa magoli na assist hakika ni wa kipekeee.
YNWA
Jamaa anaupiga Mwingi
Siyo mnasubiri ninunue ndio mnaanza kunipa ofa😂😂😂🔥🔥🔥🔥Jamani mwenye ofa kwa Miss Liverpool wetu dirisha lipo wazii🤓🤓🤓🤓
YNWA
DahNaogopa what if Klopp anapewa kweli R. Madrid, jamaa atasumbua ulaya sana .
Zaidi ya ngomaTumewapiga spurs kama Ngoma
Aiseee
Hawa mafala walitutesa ule msimu, mechi yao ikampa Joel Matip jeraha la maisha.
Unaipenda timu yetu sanaUnasikia wewe Saint Anne msitutishe na hicho ki EPL tittle chenu cha pili nasisi tumetangaza ubingwa wetu kule dimba la taifa.
Nilikuwa na hasira nao hawa jamaa.Zaidi ya ngoma
Wamechenyentwa