Leo ubingwa wa 20,sisi sio wa mchezo mchezo barani ulayaMara paaap liva anakandwa, mechi ijayo akutane na chelsea anasaka top 5 akandwe tena, akutane na arsenal akandwe 😂😂
Duh! Hapo shida anayemfukuzia ni Arsenal. Hata liver akifungwa zote, Arsenal atapata walau suluhu.Mara paaap liva anakandwa, mechi ijayo akutane na chelsea anasaka top 5 akandwe tena, akutane na arsenal akandwe 😂😂
18:30hrs kwa East Africa Time.Game inatarajiwa kuwa saa ngapi
🤣🤣Mshindwe kutudaka mechi 30+ ndio mtudake sasa...dhubutu wewe edelea na ramli zako kombe lishachorwa Bingwa wa Uingereza msimu wa 2024 2025 ni Liverpool.Mara paaap liva anakandwa, mechi ijayo akutane na chelsea anasaka top 5 akandwe tena, akutane na arsenal akandwe 😂😂
Sisi kuwadaka haiwezekani, naongelea scenario ubingwa ukaamuliwa siku ya mwisho kabisa.🤣🤣Mshindwe kutudaka mechi 30+ ndio mtudake sasa...dhubutu wewe edelea na ramli zako kombe lishachorwa Bingwa wa Uingereza msimu wa 2024 2025 ni Liverpool.
Weka kambi humu Mkuu ni furaha saanaaa....
YNWA
Sasa sisi tulimwambia awe mchovu?Sisi kuwadaka haiwezekani, naongelea scenario ubingwa ukaamuliwa siku ya mwisho kabisa.
By the way anayewakimbiza naye mchovu tu ndio tatizo.
Next season tunajenga timu ya maana.Sasa sisi tulimwambia awe mchovu?
😂😂 Kabisa mkuu ila Tunawaombea UEFA mchukue, ila mkichukua msije kutupigia kelele sisi tupo kwenye maombo mbebe hilo kombe.Next season tunajenga timu ya maana.
Mambo gani haya mpaka sasa hata points 70 hatujafikisha?
Lile kombe letu lile 😀😀😂😂 Kabisa mkuu ila Tunawaombea UEFA mchukue, ila mkichukua msije kutupigia kelele sisi tupo kwenye maombo mbebe hilo kombe.
Kabisa 🤣🤣Lile kombe letu lile 😀😀