Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mlio kuwa mnasema Klopp out mara End of an era bdo mpo? Au basi hata akina OllaChuga Oc na lembu wasinge mfukuza Tuchel naimani saiv wangekuwa vzur sana.
Klopp anazingua as a person anataka kumfurahisha kila "mtu" wakati mwingine inaonyesha kabisa inamcost balaa tazama Lallana, Lovren, Karius, Simon, Milner, Thiago, Henderson nk nk... Sasa eti wanaanza mazungumzo na Matip na Thiago 😳😳🙄🙄like seriously wapewe mikataba mipya hawa ni kutolewa bure ama kwa ela waachie nafasi waje wengine wenye uchu wa ushindi na injury trend isiyokua kama ya hawa wawili.

Klopp angekua brutal kwa under performers uwanjani regardless ya them as human beings basi angekua mbali sana kima kombe.

Klopp is weak n too loyal.

YNWA
 
Screenshot_20230930_155234.jpg


🤣🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Klopp saying yajayo yanafurahisha. Haya tukae mkao wa kula

YNWA
 
Screenshot_20230928_212252_com.android.chrome~2.jpg


🤣 🤣 🤣 🤣 FSG bhana lini watauza share Liverpool na waseme hii pesa sasa apewe Klopp awekeze kikosini akimtaka Mbappe au Viniscious rukhsa...

Hawa wamiliki wetu wapo very mean n short sighted on players acquisition....

YNWA
 
Screenshot_20230929_103035_com.android.chrome~2.jpg

Baadhi ya senior staff pale Liverpool hawakumbaliana na Klopp kutaka kuwapa mikataba mipya kwa Thiago na Matip... Klopp atakua ana makengeza hivi kipi cha ziada hawa jamaa wanaleta kiasi wabakie klabuni beyond thier current deals.... Wasepe hizo nafasi tupate mbadala sio bla bla za Klopp...

YNWA
 
Klopp anazingua as a person anataka kumfurahisha kila "mtu" wakati mwingine inaonyesha kabisa inamcost balaa tazama Lallana, Lovren, Karius, Simon, Milner, Thiago, Henderson nk nk... Sasa eti wanaanza mazungumzo na Matip na Thiago like seriously wapewe mikataba mipya hawa ni kutolewa bure ama kwa ela waachie nafasi waje wengine wenye uchu wa ushindi na injury trend isiyokua kama ya hawa wawili.

Klopp angekua brutal kwa under performers uwanjani regardless ya them as human beings basi angekua mbali sana kima kombe.

Klopp is weak n too loyal.

YNWA
Hapo ndio anapo feli mikataba yann kwa wazee?
 
MOTM wataru endo..
Elliot bado anautoto mwingi
Jones bado anautoto mwingi
Konate mzito sana auzwe mapema
Haya ni maoni yangu
Konate ni kama dogo Sebastian Coates Captain wa Sporting Lisbon pale Ureno alikua mchezaji wetu miaka hioooooo... Wakati anasajiliwa alikua anatajwa kama kinda mwenye kipaji adimu kutoka Uruguay lakini mahitaji ya EPL hakuweza kutoboa na kuishia kuuzwa na sasa ni kisiki pale Sporting...
Huyu Konate minus majeruhi yake ni beki mzuri tu kwa sababu bado anasukwa hajawa finished article..
Tumeuza Suso, Alberto Luis, Sebastian Coates nk nk wote hawa walikua na vipaji lakini hawakupata nafasi na subira kuonyesha vipaji vyao.. kwa Konate nasema abakie kwa sasa.

YNWA
 
Hapo ndio anapo feli mikataba yann kwa wazee?
😂 😂 😂 😂 😂 😂 Klopp hua anakupa furaha na muda huo huo utanuna aisee imagine Thiago apewe new contract ya nini sasa wakati ligi yenyewe ameshindwa kwendana na mikiki ya ligi....

Au Klopp ni dalali wa mikataba 😊😊😊

YNWA
 
Mimi sitaki tena Salah auzwe , Hamna tena replacement yake hata tutoe £150m hatutapata, jamaa ananguvu, sio injury prone anadibble, ball control na huwa hapotezi hovyo. Hakuna mchezaji wa hvyo kwa sasa dah! Anamiaka 31.
Ngoja ofa ije kwa ma Yankees utaona kama atabakia mpaka sasa naamini ma scout wapo mzigoni kusaka mbadala....
Nionavyo mimi Salah kilichombakisha Liverpool ni purely business side of him rather than football on th owners side... Salah is the most marketable player pale Liverpool, jezi tu anachangia zaidi ya asilimia 25 ya mauzo ya jezi zote peke yake so who would sell such a asset wiki ya mwisho ya dirisha la usajili..

Good he remained n he is adapting win for the team is great that personal accolades..

YNWA
 
Man City ameangusha gari leo! Kapigwa asipotegemea.

Alikuwa na On Target 9, while Wolves alikuwa na On Target 1 tu lakini amepata matokeo kwa hiyo On Target 1 iliyozaa goli huku akifaidika na goli la OG.

Leo napata hisia kuwa ni game ngumu sana! VVD na Matip wawe makini sana na Son.
Huyu jamaa ni very experienced player wa EPL na ni expert kwa hizi big match hivyo anaingia uwanjani bila ya Woga wowote.

Kuna na huyu mpumbavu Richarlison anaongea sana shit dhidi yetu na kujifanya anatuchukia mno, hivyo anaweza kukamia game ili approve kitu dhidi yetu! Anapaswa kuchungwa vyema.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom