Anaboa sanaAnaku chora tu ujue Nunez.. Msimu tazama xg zake soon atakuzima huo mdomo au unadhani huyu ni Henderson aliechangamka 1 game wonders aafu anapotea msimu mzima
YNWA

Ni akili ya bangi hiyo,![]()
![]()
![]()
Huyu ndio Klopp ninaemjua mimi yaaani like serious Thiago na Matip yaaani huyu Matip wa leo ama mwingine...
YNWA
Miss Liverpool naona ramli zako kama kawa zinaedelea eeeManeno ya Loser
Treble ya nani?
Waipatie wapi?
Msimu huu wasipoangalia hawapati hata moja.
Liva kuku tulia dawa ikuingie ,leo mnakula za kutosha ,subiri Son awanyooshe mpaka akili iwakae vizuri .Anaboa sana
Akifika golini miguu yake inapinda![]()
Sitaki hata kuangaliaMiss Liverpool naona ramli zako kama kawa zinaedelea eee
Tupo pungufu goal down na here we are 1 1 hahaha
YNWA














Nadhani ungetafuta watu wa Calibre yakoSema na hiyo red kwanza acha perepeche
I said this about SonMan City ameangusha gari leo! Kapigwa asipotegemea.
Alikuwa na On Target 9, while Wolves alikuwa na On Target 1 tu lakini amepata matokeo kwa hiyo On Target 1 iliyozaa goli huku akifaidika na goli la OG.
Leo napata hisia kuwa ni game ngumu sana! VVD na Matip wawe makini sana na Son.
Huyu jamaa ni very experienced player wa EPL na ni expert kwa hizi big match hivyo anaingia uwanjani bila ya Woga wowote.
Kuna na huyu mpumbavu Richarlison anaongea sana shit dhidi yetu na kujifanya anatuchukia mno, hivyo anaweza kukamia game ili approve kitu dhidi yetu! Anapaswa kuchungwa vyema.

Samahani sana nilikua sijui upo serious kiasi gani na maisha ya onlineNadhani ungetafuta watu wa Calibre yako
Mpira sio miujiza! Hata against Newcastle haikuwa miujiza bali ulikuwa ni Uwezo wetu.Leo tusitegemee miujiza kama ya Newcastle![]()



Hamtaamini!Liverpool halisi tunaenda sasa kukiwasha 2nd half![]()