Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ai kuku kishingoo ai we kishingooo ,we kuku kishingoo ai kuku kishingoo !
Mtaita maji mma leo .
 
Man City ameangusha gari leo! Kapigwa asipotegemea.

Alikuwa na On Target 9, while Wolves alikuwa na On Target 1 tu lakini amepata matokeo kwa hiyo On Target 1 iliyozaa goli huku akifaidika na goli la OG.

Leo napata hisia kuwa ni game ngumu sana! VVD na Matip wawe makini sana na Son.
Huyu jamaa ni very experienced player wa EPL na ni expert kwa hizi big match hivyo anaingia uwanjani bila ya Woga wowote.

Kuna na huyu mpumbavu Richarlison anaongea sana shit dhidi yetu na kujifanya anatuchukia mno, hivyo anaweza kukamia game ili approve kitu dhidi yetu! Anapaswa kuchungwa vyema.
I said this about Son
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom