Sema na hiyo red kwanza acha perepecheMan City ameangusha gari leo! Kapigwa asipotegemea.
Alikuwa na On Target 9, while Wolves alikuwa na On Target 1 tu lakini amepata matokeo kwa hiyo On Target 1 iliyozaa goli huku akifaidika na goli la OG.
Leo napata hisia kuwa ni game ngumu sana! VVD na Matip wawe makini sana na Son.
Huyu jamaa ni very experienced player wa EPL na ni expert kwa hizi big match hivyo anaingia uwanjani bila ya Woga wowote.
Kuna na huyu mpumbavu Richarlison anaongea sana shit dhidi yetu na kujifanya anatuchukia mno, hivyo anaweza kukamia game ili approve kitu dhidi yetu! Anapaswa kuchungwa vyema.
mpumbavu Sana huyu dogoKiukweli Kiukweli Sijui Kwanini Simkubali Jones Sijui.
Amefanya tukio gani, duuhmpumbavu Sana huyu dogo
Kila Akiwa kwenye Lineup Hua Naangali sabbu ndo timu yangu ila kiukweli.mpumbavu Sana huyu dogo
Leo ni tumuombee Alisson tu.Leo tusitegemee miujiza kama ya Newcastle![]()



LosersSafi Sana ,Spurs come on![]()
Tunawatoboa 2nd half na kuongeza bao jingine moja.Man City ameangusha gari leo! Kapigwa asipotegemea.
Alikuwa na On Target 9, while Wolves alikuwa na On Target 1 tu lakini amepata matokeo kwa hiyo On Target 1 iliyozaa goli huku akifaidika na goli la OG.
Leo napata hisia kuwa ni game ngumu sana! VVD na Matip wawe makini sana na Son.
Huyu jamaa ni very experienced player wa EPL na ni expert kwa hizi big match hivyo anaingia uwanjani bila ya Woga wowote.
Kuna na huyu mpumbavu Richarlison anaongea sana shit dhidi yetu na kujifanya anatuchukia mno, hivyo anaweza kukamia game ili approve kitu dhidi yetu! Anapaswa kuchungwa vyema.
LosersFull Time Wolves 2-1 Man City
Haya matokeo ni mazuri kwetu sisi Liverpool tukishinda Leo tunanza kutengeneza Gap


Nadhani huwa anatumia bangi huyu baba.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Klopp hua anakupa furaha na muda huo huo utanuna aisee imagine Thiago apewe new contract ya nini sasa wakati ligi yenyewe ameshindwa kwendana na mikiki ya ligi....
Au Klopp ni dalali wa mikataba
YNWA
Afadhali wakaze aisee huyu mgonjwa aondoke.View attachment 2767605
Baadhi ya senior staff pale Liverpool hawakumbaliana na Klopp kutaka kuwapa mikataba mipya kwa Thiago na Matip... Klopp atakua ana makengeza hivi kipi cha ziada hawa jamaa wanaleta kiasi wabakie klabuni beyond thier current deals.... Wasepe hizo nafasi tupate mbadala sio bla bla za Klopp...
YNWA
Huyu dogo ni hatari na nusu

Maneno ya LoserKipara bhana anasema treble inatosha hataki quadruple....
YNWA


😂 😂 😂 😂 Huyu ndio Klopp ninaemjua mimi yaaani like serious Thiago na Matip yaaani huyu Matip wa leo ama mwingine...Nadhani huwa anatumia bangi huyu baba.