The MoNA
JF-Expert Member
- Sep 19, 2014
- 4,264
- 10,503
Mimi sitaki tena Salah auzwe, Hamna tena replacement yake hata tutoe £150m hatutapata, jamaa ananguvu, sio injury prone anadibble, ball control na huwa hapotezi hovyo. Hakuna mchezaji wa hvyo kwa sasa dah! Anamiaka 31.
Karibu sasa kwenye mtazamo chanya juu ya Salah.!!!
Kumpata like to like Salah replacement ni sawa na hakuna. Mifupa migumu huyu mmisri. Timu ikiwa vibaya hakosi 20+ goals. Assits atleast 15+ across all competition.
Salah mchezaji muhimu mno tena msimu huu tungepoteana kama FSG wangeingia tamaa kumuuza.

wapo kwenye mazungumzo kumuongezea mkataba