Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Macca sio typical DM. Ni pure no. 8
Bado Klopp anamuamini yeye hapo plus Jones over Bajcetic & Endo, tusubiri Thiago akirudi tuone combo yke Macca na Szobozslai japo kwa dakika chache hizo hizo atakazocheza kabla ya kurudi kitandani. Ndio itamfumbua macho kuhusu talents za Macca & Szobozslai as No. 8 wakipata good DM
Tukipata Dm wa uhakika 2 no 8 za szobo na Macca boli litatembezwa hatar. Nahofia klop kutokupata pure talent ya macca kwa sababu anacheza out of position
 
Elliot ni mchezaji bro. Labda macho yetu (ya kimpira) ni tofauti ila yule mtoto ni mchezaji mzuri sana. Ana press, ana tackle (refer goli la 3) ana peleka team mbele, ana good decison making.


Nafasi aliyokosa kwa angle aliyokuwepo ukizingatia yeye ni left footer alichofanya pale ni sahihi kabisa maana ange shoot na mguu wa kulia kwa asilimia kubwa angekosa goli lakini akafanya maamuzi sahihi ya kutaka kutengeneza goli na si ku force kufunga.

Sipendi sana ku judge hawa wachezaji wadogo, as wanakuwa unaona kabisa kuna kitu in the making. Jones namkubali kwakuwa anajiamini akiwa na mpira. Hapotezi hovyo wala hapigi pass za hovyo akiwa under pressure (they call him 'cocky midfielder').

Good to see Bajcetic back.

Roll on Reds.

Yote tisa jambo la kumi to see Bajcetic played. Bajcetic ana pasi za uhakika haswa. Bad to him injury imemrefushia safari yake ya kikosi cha kwanza.

But the lad deserves mins.
 
Nililala
Nikaamka 2nd half.

Atleast.

I enjoyed few things kwenye mechi ya jana

We have atleast depth, unlike last few season.

Unaona whole team iliyoanza jana inacheza kwa kujiamini pressing ya kutosha energy na njaa ya kufika huko juu. Tuna gain momentum kwa kadiri siku ziendavyo.

Europe group stage FA and Carabao itatupa game time nzuri sana kwa vijina.
 
Tukipata Dm wa uhakika 2 no 8 za szobo na Macca boli litatembezwa hatar. Nahofia klop kutokupata pure talent ya macca kwa sababu anacheza out of position

Kabisa.
Tuende kwa Andre january kwa £19m what a talent we will have as a six.

If i were Klopp ningejatibu double pivot ya Endo na Macca with the ball Macca anasogea mbele without the ball wanakuwa wawili.

Hapa tutapata output nzuri ya Macca.
 
Watu sijui huwa wanaangalia mpira vipi asee. Unaweza kujiuliza "hivi tumetoka kuangalia mechi moja au kila mtu kwake ana version yake ya hiyo mechi"?

Utofauti wa mtazamo juu ya kile mtu akitakacho.

Haukumbuki kuna watu walitaka Salah auzwe tuna Origi na Shaqiri???

Thats football, japo kuna muda huo mtazamo unavuka mipaka, kusema Konate mzito. Hizo recoveries za counter anazifanya upande wa TAA walau mbili hivi huwa haoni???
 
Kile tulichokiomba kwa muda mrefu tulichokitamani tukione tunakiona kwa sasa.

MF zetu zikihusika kwenye kupika magoli na kuyafunga pia.

Endo assisted
Gravenberch assisted
Szoboszlai Scored
Endo created two chances.

Last match Macca assisted

Past few matches Szoboszlai was in a scores and assists book, Elliot and Gravenberch too.

Atleast tunajiandaa kutawanya magoli.

Last 2-5 seasons was about Mane Bobby and Salah, Robbo and TAA were assisters.

Good season ahead.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom