Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 19,152
- 43,109
Analainisha sana kiungo na anapiga pasi zilizonyooka. Na Jezi yake ndio inaongoza kwa mauzo sasa hiviFundii huyu
Analainisha sana kiungo na anapiga pasi zilizonyooka. Na Jezi yake ndio inaongoza kwa mauzo sasa hiviFundii huyu
![]()
![]()
![]()
That boy is a time bomb waiting kulipuka muda wowote akiwa kwenye presha.
YNWA
Presha za ubingwa ni noma sana aisee tetesi ni kwamba hata Arteta baada ya kukosa ubingwa last season he almost quit Arsenal maana aliunusa baadae majeruhi yakawa cost kuukosa ubingwa...
Kipara sio mtu powa imagine sasa anatoka Grealish anaingia Jeremy haha moto ule ule, key to win EPL ni kua na kikosi kipana na kukwepa pepo la majeruhi as much...
YNWA
Mi moyo wangu mwepesi😂Doh.! Pole.
Inauma kukosa kuangalia mechi ya LIVERPOOL ya msimu huu. Inaleta utamu na ladha adhiiiiiiiiiiimu ya kuitazama LFC
Pia UEFA fainali na Madrid Goli pekee la ushindi na ubingwa wa R.Madrid lilitokea kwa TAA pale Klopp angetakiwa kushtuka Dogo akiwa RB mda mwingine anakuwa kama chambo. Wahuni wakiwa wanatafutaga magoli ya Comeback Huwa hawachagui upande mwingine, wanasarandia upande uleule wa TAA.
Acha ujinga team ikizingua lazima mashabiki waongee yaani wanaongea mashabiki waliopo Jiji la Liverpool sembuse wewe mshamba mmoja wa Tanzania ndio ukataze watu kuongea timu ikifanya vibaya
Usitupangie
Team siyo yako pekeyako.
Tutaisema tu kwa kadiri tunavyoweza,
Wanaoimiliki timu wapo zao huko duniani,
Mimi na wewe ni mashabiki tu kutoka
Mabondekuinama.
Feki utakuwa wewe kutoka Tukuyu.
Waweza kuwa uko sahihi, Ila binafsi huwa unaniacha hoi unaposema Liverpool fans mzidi KUSHIKAMANA ili timu yenu ishinde, huwa najiuliza Liverpool fan wa jamiiforums anashikamanaje kusaidia matokeo ya timu. Ni kama mchezo wa kitoto fulani hivi...

huku hata membership card hauna, mnashikamana nini sasa???Haijalishi ulianza shabikia mwaka gani, aliye anza shabikia 1880 na aliye anza shabikia 2020 wote ni mashabiki mkuu acha kujifanya kuwa Liverpool niyawalio anza kushabikia miaka ya zamani tu. Acha izo
Hili jukwaa letu pendwa ni zuri sana tuache kusigana na kushambuliana, mtu akionekana msumbufu ni kumnyamazia tu aongee mwenyewe hoja zake binafsi
Humu ndani inaonesha wengi ni Wageni yani hawamjui Malafyale
Acha ujinga wewe tumjue anatusaidia nini hili ni link ya mwanaliverpool yeyote duniani unaleta. Habari za ugeni jamii forum yako
Wewe nae unazungumza nini sikusomi ujueFeel bro to you. Ila haujaelewa concept behind ya King Ngwaba umetumia hisiaa zaidi ya akili kusoma na kuelewa.
![]()
![]()
Wahuni sio watu wazuri ujue..
Wakati mwingine Klopp hua namwelewa kwamba hio luxury ya kua na RB wawili 1st starters huku pengine akiwa hajawa convinced na output ya dogo RB anachokitaka Klopp...
Shinda tuna wamiliki wanaongalia kipato cha klabu kibiashara kuliko mafanikio uwanjani hawana kiu kabisa cha mataji kwa sababu tazama baada ya Klopp kuchukua Uefa na EPL ilitakiwa pale pale apewe mpunga azame sokoni kuimarisha kikosi lakini wenyewe ndio kwanza wakawa wanategemea miujiza ya Klopp....
YNWA
Mi moyo wangu mwepesi
Huwa naangalia marudio
Liverpool ya sasa hata uwe na moyo mwepesi inatazamika tofauti na ile ya msimu jana.Wewe nae unazungumza nini sikusomi ujue
Okay sawaHaukumuelewa King Ngwaba aliposema wageni humu JF hawamjui Jamaa,
Wewe ukaja ukamshushia maneno jamaa najua haukumuelewa alichomaanisha.
Kabisa jamaa ni mtu haswaAnalainisha sana kiungo na anapiga pasi zilizonyooka. Na Jezi yake ndio inaongoza kwa mauzo sasa hivi
Karudi kwa kasi 😄Tunakukabidhi huyu kama ulivyofanya kwa Milner, Keita na Hendo deal naye.
Anatuchosha na tumempuuza… season iliyopita alipotea nafikri wajua sababu