Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,852
OKSi utakuwa uliamua kufuta convo kwa sababu unazozijua mwenyewe
Haya nipm upya,nimefungua.
OKSi utakuwa uliamua kufuta convo kwa sababu unazozijua mwenyewe
Haya nipm upya,nimefungua.
Hakika naunga hojaMara ya mwisho umewasiliana nae lini mkuu?
Kuna umuhimu kops tuwe tunapeana updates kuhusu hali za afya zetu, kama alivyofanya Baba Swalehe Siku kadhaa hapo nyuma wakati anaumwa.
We will get £150-200m next summer.
Clubs zaidi ya mbili kutoka Saudi, zitakuwa zinapigania his signature.
Its just his Agent, alikuwa anajaribu ku-force a deal now, kwaajili ya his last big payday, rules & caps za Agents zitakuwa regulated upya kuanzia next month nadhani au November.
Fees (%), za agents kutoka kwa players na Clubs zitakuwa stationed & established.
So pesa ambayo angepata Ramy now kama Salah angeenda Saudi ni kubwa sana, uzuri ni kuwa Salah stood firm, na siyo kama aliikataa proposal ya Saudi, alitoa green-light, but he was clear kuwa he wont force a move, so kama LFC waki-reject the bid, atabaki, and thats what happened.
Huwezi kuwa naive, kwa kutokuelewa kuwa, Saudi wasingebid £150m, bila kupata encouragment kutoka kwa Salah & especially his agent, tofauti ni kwamba Salah amegoma ku-force a move.
James Pearce, aliandika kwenye his latest article kuwa Saudi wame-turn Salah's head kwa offer ya £1.5m p/w, kwanza binadam yeyote angepagawa na hiyo offer, sembuse kwa mchezaji mwenye miaka 31 now ambaye ameshashinda kila kombe na kucheza kwa mafanikio kwenye his boyhood club? then kama Salah angekuwa amezuzuliwa na offer ya Saudi kama James anavyosema, lazima angezua tantrums kama za kina Countinho, Sterling, even Henderson, Henderson ambaye kutwa alikuwa anajifanya anapigania haki za Mashoga, kawekewa £700k p/w (without taxes), kawaacha gay scousers wote kwenye mataa, kwenda kucheza mpira kwenye nchi ambayo ina adhabu kali sana za mashoga na hazikubaliani kabisa na kile alichokuwa anajifanya kutetea kila siku.
Salah, wont force a move, though like any other human-being hapa duniani, hawezi kuifungia milango hiyo offer, the only way Salah anaweza kuondoka this summer (dirisha la saudi linafungwa tarehe 7), ni kama FSG watakubali kumuuza, na hii ni kama watamzunguka Klopp ambaye ameshaweka wazi kuwa HE IS NOT FOR SALE.
Sell Salah and then what?
Hiyo £200m utaifanyia nini now?
How can you sell your best player bila a direct replacement?
Can Diaz, Jota & Gakpo offer you more that 20 goals each kwenye PL?
Saudi wame-bid pesa nyingi kwenye deadline day, ukikubali hiyo pesa, itakusaidia nini now? Club gani itakuuzia its highly profiled RW/LW muda huu au hata January kwaajili ya Salah replacement?
Club ilishindwa kupata mbadala halisi wa Fabinho katika kipindi cha mwezi mzima, guts gani ulizonazo zinakufanya uone tungepata a Salah replacement few hours kabla dirisha kufungwa?
Unaelewa how football works? unaelewa umuhimu wa Salah now kwenye Club ambayo imebadilisha its whole MF, na bado some new attackers wakiendelea kutafuta form?
Unaelewa hasara inayopatikana kwa Club aina ya LFC ku-miss CL football back to back?
Luis Diaz was a Mane replacement.
We bought two different profiles (Nunez & Gakpo) to replace output ya Firmino.
You, think you can just replace Salah kwa few calls tu? our best attacking player in a decade.
Whats £200m if you cant use it?
and what makes you think Saudi people hawatarudi tena next. summer, kujaribu ku-secure signature ya the biggest Muslim & Arab player in the world?
Use your brain.
Hawa mashabiki wa LFC wanaosema Salah auzwe now, ndiyo watakuwa wa kwanza kumtukana Klopp, tukiwa tuna-struggle ku-create au kufunga goals, na mwisho kushindwa kumaliza kwenye UCL places.
Ni vey rare sana kwa Diaz/Jota/Gakpo kuku-offer pass aliyotoa Salah kwa Nunez kwenye goal la pili dhidi ya Newcastle.
Mchezaji ambaye anaweza ku-afford passes kama zile ni Thiago, ambaye kila siku yupo hospital.
Small details nyingi sana football fans huwa wanazi-ignore, na wakati football is just about these small details, na ndiyo ambazo zinabadilisha mchezo/game-state.
Ebu tuitazame hii kitaalamu zaidi (unarushiwa kuchangia maoni)
Kwa sababu hatuna proper DM pale anfield why tusiende na 4-2-3-1
Then kwny iyo 2 ya chini akasimama endo/bajcetic na grav/mac allister
Then iyo 3 ya juu katikati akasimama szobo/gakpo
Then ile 1 ya juu akasimama jota/darwin
Kwanza italeta ushindani mkubwa wa namba
Maana naona kama gakpo ni classic number ten acha achuane na szobo kupambania namba au sometimes acheze kama winga sehem ya diaz lakini kumchezesha kama namba tisa acheze kama firmino ni uongo
Na pia kumweka kwenye midfield yeye,mac na szobo timu inakuwa weak sana hasa inaposhambuliwa.
Dah
Aya yako ya juu imeniumiza Mkuu
Kusema Trent ni Liability
Kuhusu Gomez sijui labda kwa sababu sijui mpira
Ila mi sioni chochote kwa jamaa.
Kama nilivyosema, ule utatu wa hovyo Gakpo, Diaz, Salah umekufa rasmi
Sloz na Gapko hawapaswi kuwa pamoja uwanjani
Tumem miss aiseeBest of luck to Captain Marvelous wherever he is.

ila mtu akikosekana siku nyingi mashaka yanakuwepo aiseeDiaz alitoka wakati Gakpo alipoingia, well walicheza Gakpo na Slozo pamoja lakini sio ule utatu wa hovyo, kumbuka aliingia JOTAHaujafaa they had played together kwa zaidi ya dk 25. Gakpo aliingia dk ya 65 akakutana na Szoboszlai wakakipiga wote.
Waangalia vipi mpira mkuu?? Na hiyo ni sign kwamba watakuwepo even next match vs Wolves namuona tena Gakpo akianza.
Unaangalia mpira katika one dimensionSimu underate Gakpo, ila eti mechi ipo tyt unatafuta goli unamwingiza Gakpo, hutalipata kamwe, yule labda kama jana mnahitaji kuposses zaidi ila sio kuwa threat
Gakpo sawa alicheza na Domi, ila sio katika ile pattern ya yeye salah na Diaz, hiyo pattern imekufa rasmi, otherwise kuwe na injuries nk, ila watu wako fit, klopp hawezi anza na hiyo pattern as i predicted yesterday
Unaongelea timu ipate injury crisis ndo aingie?! Wakati Msimu wa kwanza kwake tumeshinda Mechi nyingi tukiwa nae Kama regular starter kule mbele. Angekuwa Hana threat yoyote angesugua benchi. The Fact is Klopp anafanya rotation katika start up 11 ili kuwa na kikosi hatari zaidi na kuendana na aina ya mpinzani anayekutana nae... hushangai Pale City Silva anakaa benchi mda mwingine kwani Hana threat kwa mpinzani?!.Simu underate Gakpo, ila eti mechi ipo tyt unatafuta goli unamwingiza Gakpo, hutalipata kamwe, yule labda kama jana mnahitaji kuposses zaidi ila sio kuwa threat
Gakpo sawa alicheza na Domi, ila sio katika ile pattern ya yeye salah na Diaz, hiyo pattern imekufa rasmi, otherwise kuwe na injuries nk, ila watu wako fit, klopp hawezi anza na hiyo pattern as i predicted yesterday