Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nani kaona pengo la VvD? Gomez kacheza vizuri tu. Klopp nae aache kuwa mwoga.

Na ndiyo mpira ulivyo keshoyake Gomez huyuhuyu anaweza kufanya kituko ukaja kumkataa hapa.

Hivyo unaweza kusifia Performance ya Mchezaji bila ya kumhusisha na mwengine.
 
Kwa maoni yangu liverpool wangechukua mzigo wa pesa. Kikosini tusingeona mapungufu yake. Kwa kuwa dirisha kwa saudi ni mpaka tarehe 7 mwezi huu, chochote kinaweza kutokea.

Wamuuzee tu. 200mls sio kitu cha masihara.

Pengo la Salah hakuna wa kulificha lisionekane hebu rudi kwenye stats uangalie goal contribution ya Salah.
 
Mabadiliko ya Gapko na Jotta yaliyofanywa hayana positive impact.
Kiufupi baada ya kuingia wao tu game ikaisha.
 
Kwa maoni yangu liverpool wangechukua mzigo wa pesa. Kikosini tusingeona mapungufu yake. Kwa kuwa dirisha kwa saudi ni mpaka tarehe 7 mwezi huu, chochote kinaweza kutokea.

Wamuuzee tu. 200mls sio kitu cha masihara.
HALAFU unamnunua nani?Ili kuziba pengo lake mkuu?MAANA sioni na dirisha lishafungwa...Salah asiuzwe,ninajua waarabu watarud Tena next Summer,nawashauri waje mapema MNOO...wamchukue,wasisubir jioni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom