Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Gomez huwa mnamu-underrate sana kwenye recovery pace, thats his main strength, na ukiachana na VVD, ndiyo CB mwenye on-ball ability nzuri.

But i wont be suprised kama atakuwa scapegoat kwa makosa ya wazi ya TAA.

Hakutakuwa na VVD or Konate, but we wont lose kwa Aston Villa.
Kwahiyo TAA yeye ndo tumeshamuweka kwamba atafanya tu makosa?

Hata kama ni mbovu,ila GOMEZ ni mbovu jamani
 
Baada ya miaka kama Mitatu hivi kwa mara ya kwanza leo nimeamua kuchungulia kwenye Thread ya Chelsea kumbe kuna vijana wanajazana ujinga tu kule 🚮🚮
Mchambuzi wao Mkuu ni lembu
Wengine ni comedian tu🤣🤣🤣🤣

Huko Arse8 ni hivyohivyo, wapo wanajazana matumaini hewa.
Nyumbuni FC ndo Kuna akina Flano unategemea nini hapo 🤣🤣


LFC ndio thread pekee yenye watu wengi wanaojua mpira vizuri na kuuchambua kisomi.
 
Im sure Klopp kaweka Ngumu. Ila Salah bado atatoa msimu mzuri na pesa itakuwa nzuri tu coming summer. Tukichukua major trophies ataongezeka thamani.

My worry atakuwa amebakisha 1year kwenye mkataba wake huenda waarabu wakamsubiri wamchukue bure.

Hesabu zimechangwa fresh. Ile next summer ni must ataondoka.
Nilisema hapa tungeichukua hiyo £200m tu.
 
Boss hebu iweke kitaalamu/kimpira zaidi kuhusu weakness ya combo ya Diaz/Gapko/Salah na ubora wa combo ya Diaz/Nunez-Jota/Salah ili tuweze kuchangia kwenye facts zako.
Lakini ukiwacha kama ulivyoandika imekaa kihisia zaidi.
Na Mimi nipo kwenye mshangao yaani Gakpo isn't Dangerous?!!. Gakpo anakupa Kila kitu kuanzia offensively hadi Defensively bila kusahau anaficha mali vizuri hapotezi kizembe.
 
Na Mimi nipo kwenye mshangao yaani Gakpo isn't Dangerous?!!. Gakpo anakupa Kila kitu kuanzia offensively ana Defensively bila kusahau anaficha mali vizuri hapotezi kizembe.
Ni kweli, ila timu inakua ina posses tuu mpira ila kunakua hakuna mtu mbele wakuleta threats kwenye box la mpinzani maana Salah haingii sana kati wala Diaz

Jaribu kuangalia mechi zetu mbili baada ya Gakpo kutoka ndio magoli yanaanza kuflow

Utatu wa Salah, Gakpo, Nunez ni wa hovyo maana hapo hakuna typical 9 wala false 9, kuna mawinga wawili na mid mmoja. Klop akumbuke tuu Gakpo sio Firmino

Kwa utabiri wangu leo hawezi kuanza na huo utatu, atakua ameshaona kitu

Akianza nao utaona mabeki wa villa wa kati watakavyo relux
 
Ni kweli, ila timu inakua ina posses tuu mpira ila kunakua hakuna mtu mbele wakuleta threats kwenye box la mpinzani maana Salah haingii sana kati wala Diaz

Jaribu kuangalia mechi zetu mbili baada ya Gakpo kutoka ndio magoli yanaanza kuflow

Utatu wa Salah, Gakpo, Nunez ni wa hovyo maana hapo hakuna typical 9 wala false 9, kuna mawinga wawili na mid mmoja. Klop akumbuke tuu Gakpo sio Firmino

Kwa utabiri wangu leo hawezi kuanza na huo utatu, atakua ameshaona kitu

Akianza nao utaona mabeki wa villa wa kati watakavyo relux
Yeah nafurahi Nunez Leo anaanza kulingana na watabiri wengi. Game hii ya Leo inahitaji Pace sana na kusiwe na makosa mengi kule CB's
 
Im sure Klopp kaweka Ngumu. Ila Salah bado atatoa msimu mzuri na pesa itakuwa nzuri tu coming summer. Tukichukua major trophies ataongezeka thamani.

My worry atakuwa amebakisha 1year kwenye mkataba wake huenda waarabu wakamsubiri wamchukue bure.

Hesabu zimechangwa fresh. Ile next summer ni must ataondoka.

We will get £150-200m next summer.

Clubs zaidi ya mbili kutoka Saudi, zitakuwa zinapigania his signature.

Its just his Agent, alikuwa anajaribu ku-force a deal now, kwaajili ya his last big payday, rules & caps za Agents zitakuwa regulated upya kuanzia next month nadhani au November.

Fees (%), za agents kutoka kwa players na Clubs zitakuwa stationed & established.

So pesa ambayo angepata Ramy now kama Salah angeenda Saudi ni kubwa sana, uzuri ni kuwa Salah stood firm, na siyo kama aliikataa proposal ya Saudi, alitoa green-light, but he was clear kuwa he wont force a move, so kama LFC waki-reject the bid, atabaki, and thats what happened.

Huwezi kuwa naive, kwa kutokuelewa kuwa, Saudi wasingebid £150m, bila kupata encouragment kutoka kwa Salah & especially his agent, tofauti ni kwamba Salah amegoma ku-force a move.

James Pearce, aliandika kwenye his latest article kuwa Saudi wame-turn Salah's head kwa offer ya £1.5m p/w, kwanza binadam yeyote angepagawa na hiyo offer, sembuse kwa mchezaji mwenye miaka 31 now ambaye ameshashinda kila kombe na kucheza kwa mafanikio kwenye his boyhood club? then kama Salah angekuwa amezuzuliwa na offer ya Saudi kama James anavyosema, lazima angezua tantrums kama za kina Countinho, Sterling, even Henderson, Henderson ambaye kutwa alikuwa anajifanya anapigania haki za Mashoga, kawekewa £700k p/w (without taxes), kawaacha gay scousers wote kwenye mataa, kwenda kucheza mpira kwenye nchi ambayo ina adhabu kali sana za mashoga na hazikubaliani kabisa na kile alichokuwa anajifanya kutetea kila siku.

Salah, wont force a move, though like any other human-being hapa duniani, hawezi kuifungia milango hiyo offer, the only way Salah anaweza kuondoka this summer (dirisha la saudi linafungwa tarehe 7), ni kama FSG watakubali kumuuza, na hii ni kama watamzunguka Klopp ambaye ameshaweka wazi kuwa HE IS NOT FOR SALE.
 
Kwahiyo TAA yeye ndo tumeshamuweka kwamba atafanya tu makosa?

Hata kama ni mbovu,ila GOMEZ ni mbovu jamani
TAA is a liability.

He's a very talented football player, but first and foremost he's a defender, anatakiwa a-develop zaidi upande wake wa defensive game kuliko offensive game, amekuwa akicheza at right back kwa muda sasa, na weaknesses zake bado ni zile zile, hajisumbui hata kujipa muda wa ku-work on his weaknesses, and you cant blame the coaches for these, it starts with him.

Ukiachana na matatizo yake ya injuries, Gomez is a very good defender, his spells kuanzia 2017-2020 at LFC, proved that, kama akifanikiwa ku-overcome his injury worries bado ni asset kubwa sana at the Club.

Yes, he's been struggling a lot, but injuries zime-play part kubwa sana kwenye kudumaza his progress.

Huwezi kumuita, CB ambaye ali-cement his starting place kwenye UCL and PL winning team at 22, alongside a world class CB (VVD) na kwenye kipindi ambacho Club ilikuwa on top of the world, M-BOVU.

He's 26 now, ameshaonesha ubora wake at the top level, ni suala la kumpa support, his recent interview inaonesha wazi kuwa he just needs support.
 
Nilisema hapa tungeichukua hiyo £200m tu.

Sell Salah and then what?

Hiyo £200m utaifanyia nini now?

How can you sell your best player bila a direct replacement?

Can Diaz, Jota & Gakpo offer you more that 20 goals each kwenye PL?

Saudi wame-bid pesa nyingi kwenye deadline day, ukikubali hiyo pesa, itakusaidia nini now? Club gani itakuuzia its highly profiled RW/LW muda huu au hata January kwaajili ya Salah replacement?

Club ilishindwa kupata mbadala halisi wa Fabinho katika kipindi cha mwezi mzima, guts gani ulizonazo zinakufanya uone tungepata a Salah replacement few hours kabla dirisha kufungwa?

Unaelewa how football works? unaelewa umuhimu wa Salah now kwenye Club ambayo imebadilisha its whole MF, na bado some new attackers wakiendelea kutafuta form?

Unaelewa hasara inayopatikana kwa Club aina ya LFC ku-miss CL football back to back?

Luis Diaz was a Mane replacement.

We bought two different profiles (Nunez & Gakpo) to replace output ya Firmino.

You, think you can just replace Salah kwa few calls tu? our best attacking player in a decade.

Whats £200m if you cant use it?

and what makes you think Saudi people hawatarudi tena next. summer, kujaribu ku-secure signature ya the biggest Muslim & Arab player in the world?

Use your brain.
 
Ni vey rare sana kwa Diaz/Jota/Gakpo kuku-offer pass aliyotoa Salah kwa Nunez kwenye goal la pili dhidi ya Newcastle.

Mchezaji ambaye anaweza ku-afford passes kama zile ni Thiago, ambaye kila siku yupo hospital.

Small details nyingi sana football fans huwa wanazi-ignore, na wakati football is just about these small details, na ndiyo ambazo zinabadilisha mchezo/game-state.
 
Mchambuzi wao Mkuu ni lembu
Wengine ni comedian tu🤣🤣🤣🤣

Huko Arse8 ni hivyohivyo, wapo wanajazana matumaini hewa.
Nyumbuni FC ndo Kuna akina Flano unategemea nini hapo 🤣🤣


LFC ndio thread pekee yenye watu wengi wanaojua mpira vizuri na kuuchambua kisomi.

Lembu hachambui mpira ni msomaji mzuri wa makala za pro-chelsea na kuzibeba kama zilivyo then anwa-pestia Rent boys wenzake wajijaze ujinga.
 
Ebu tuitazame hii kitaalamu zaidi (unarushiwa kuchangia maoni)

Kwa sababu hatuna proper DM pale anfield why tusiende na 4-2-3-1

Then kwny iyo 2 ya chini akasimama endo/bajcetic na grav/mac allister

Then iyo 3 ya juu katikati akasimama szobo/gakpo

Then ile 1 ya juu akasimama jota/darwin

Kwanza italeta ushindani mkubwa wa namba

Maana naona kama gakpo ni classic number ten acha achuane na szobo kupambania namba au sometimes acheze kama winga sehem ya diaz lakini kumchezesha kama namba tisa acheze kama firmino ni uongo

Na pia kumweka kwenye midfield yeye,mac na szobo timu inakuwa weak sana hasa inaposhambuliwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom