Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,852
Sisi gari limewakaKuna wachezaji wazuri tu wapo
Tulikua tunahangaika mara Bellingham,sijui Caicedo ovyo kabisa
Hawa hawa hakuna majina makubwa wanafanya wonders
Ni thiago arudi tu
Sisi gari limewakaKuna wachezaji wazuri tu wapo
Tulikua tunahangaika mara Bellingham,sijui Caicedo ovyo kabisa
Hawa hawa hakuna majina makubwa wanafanya wonders
Haya bhanaJibu lako ni hii kauli yako "KWANINI LEO".
Mpira ni mchezo wa kila siku sio leo tu.
Mimi tena?Umeona u ignore dm zangu mzee
Haya bwana
Not seen any of your textMimi tena?
Si wewe ndiye umekaa kimya naongea pekeyangu huko PM
Kweli?Not seen any of your text
Kweli?
Labda kama umefuta.
Nikaona upo kimya,basi nikaacha ongea pekeyangu.
Hata mimi napata mashakaCaptain fantastic yupo hai kweli?
Hakuna anaejua why Yuko kimyaa?
Hata mimi napata mashaka
Last time niliwasiliana naye alinambia yupo mbali kidogo
Ndio hajaonekana tena humu.
Hope he's doing well.
Kiukweli nimemmiss sana,hili jukwaa kuingia bila kumuona Bobby yaani sijui hata najisikiaje.
Mmh kumbe watu wanaenda mpk dm?Mimi tena?
Si wewe ndiye umekaa kimya naongea pekeyangu huko PM
Ndiyo MkuuMmh kumbe watu wanaenda mpk dm?
Liverpool rahaaa 😝😀
Private messageNdiyo Mkuu
Kwani PM ni kitu cha ajabu kwako?
Si ni private message.
YeahPrivate message
Jamani jamani😂Au wewe umemkimbiza?😆
Tuma tena I have not seen any text I am not lyingKweli?
Labda kama umefuta.
Nikaona upo kimya,basi nikaacha ongea pekeyangu.
Ah wapiBobby si Ana I'd mbili
Jf ina mambo mengi sana ndugu yangu
Usikute mimi ni bob
Au bob ndo mosdef au mosdef ndo mm na bob
HayaAh wapi
Bobby sidhani kama ana ID ingine.
Na MosDef sidhani
Watu wawili tofauti hao.
Def yupo, Bobby hayupo.
Wengine mliobaki mnaweza mkawa nazo 2 2 ila hao wawili hapana kwa kweli
Si utakuwa uliamua kufuta convo kwa sababu unazozijua mwenyewe 😂Tuma tena I have not seen any text I am not lying
I am failing to text you sijui ulichofanya on your dm
Find me Asap