MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
Dominik Szobozslai
Alexis Mac Allister
Wataru Endo
Ryan Gravenbech
I'd say we have managed to replace Henderson, Keita, Ox & Milner.
We havent replaced output ya Fabinho, but sometimes huwezi kupata kila kitu kwa wakati mmoja.
Swali ni je, tutajutia along the way (msimu huu), kutoziba/replace massive output ya Fabinho? i'd say yes, BUT kufanikiwa kufanya a huge upgrade kwa kina Henderson, Keita, Ox, Milner na hizi new signings kunaweza kukafanya tusione pengo kubwa la Fabinho at 6, we have signed good, strong, powerful and talented young MFs, so itakuwa ngumu kutokuwa excited. ukiachana na bodies kwenye MF, tume-sign players with good fitness records, which is a huge bonus.
I really, really, really wanted a 6 this season, and a CB (Left footed), but transfer window imepita, & hatuja-sign a DM na LCB, so nikianza ku-complain nitakuwa sitendei haki hizi new siginings, ambazo zina mengi ya ku-prove, so personally nita-support hizi new signings, na kikubwa zaidi, ni kuwa Klopp amefanikiwa kupata his first targets (Szo, Macca, Ryan), & pia amepata his utility player kama Milner (Endo).
.
Its actually pointless kulalamika now, wakati tayari dirisha lishafungwa, i'm. just happy Szo & Macca are at LFC, and at least the club have managed to replace our deadwoods with very good players.
Thiago Alcantara
Wataru Endo
Alexis Mac Allister
Dominik SzoboZslai
Ryan Gravenbech
Stefan Bajcetic
Curtis Jones
Harvey Elliott
Thats a good MF, only Thiago & Wataru are above 24, we have got a young & hingry MF, wakiwa na kitu cha ku-prove.
So, i'll put the Transfer window business behind me, and kuanza ku-enjoy msimu, i believe the coaching staff wana clear plan na jinsi watakavyo-structure the whole MF.
Alexis Mac Allister
Wataru Endo
Ryan Gravenbech
I'd say we have managed to replace Henderson, Keita, Ox & Milner.
We havent replaced output ya Fabinho, but sometimes huwezi kupata kila kitu kwa wakati mmoja.
Swali ni je, tutajutia along the way (msimu huu), kutoziba/replace massive output ya Fabinho? i'd say yes, BUT kufanikiwa kufanya a huge upgrade kwa kina Henderson, Keita, Ox, Milner na hizi new signings kunaweza kukafanya tusione pengo kubwa la Fabinho at 6, we have signed good, strong, powerful and talented young MFs, so itakuwa ngumu kutokuwa excited. ukiachana na bodies kwenye MF, tume-sign players with good fitness records, which is a huge bonus.
I really, really, really wanted a 6 this season, and a CB (Left footed), but transfer window imepita, & hatuja-sign a DM na LCB, so nikianza ku-complain nitakuwa sitendei haki hizi new siginings, ambazo zina mengi ya ku-prove, so personally nita-support hizi new signings, na kikubwa zaidi, ni kuwa Klopp amefanikiwa kupata his first targets (Szo, Macca, Ryan), & pia amepata his utility player kama Milner (Endo).
.
Its actually pointless kulalamika now, wakati tayari dirisha lishafungwa, i'm. just happy Szo & Macca are at LFC, and at least the club have managed to replace our deadwoods with very good players.
Thiago Alcantara
Wataru Endo
Alexis Mac Allister
Dominik SzoboZslai
Ryan Gravenbech
Stefan Bajcetic
Curtis Jones
Harvey Elliott
Thats a good MF, only Thiago & Wataru are above 24, we have got a young & hingry MF, wakiwa na kitu cha ku-prove.
So, i'll put the Transfer window business behind me, and kuanza ku-enjoy msimu, i believe the coaching staff wana clear plan na jinsi watakavyo-structure the whole MF.
. Na akimpanga Trent na Gomez upande mmoja Ndo Kibanda kitaungua mapema tu. Football ni mchezo wa makosa na hizi wiki takriban 3 ambazo tutaongozwa na mchomeshaji is the worst moment ever.