Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ama kweli ushindi uleta nguvu.

Naona wana liver hata wale walikua mapangoni wametoka na kufurah kweli kweli.

Na had wengne kwenda mbali kusema bado game 35 wapewe kombe lao.. Tunaheshimu mawazo yenu wakuu mda utaongea.

Hongereni pia kwa comeback ya kibabe tena mkiwa pungufu zidi ya Newcastle kwao.
 
Wanadai ni technical foul as a last man haijalishi umecontact na mpinzani kwa kiwango gani

Unapokuwa unamblock mpinzani alaf wewe ni last man lazima iwe red card

But ngoja tuone kama watakata rufaa
Liverpool wakiendelea Na mchezo wao wa kukata rufaa wanapopewa Red card itawacost,, referees wa uingereza Wana umoja kila mechi Tutakandamizwa kmya kmya.
 
Nunez ni explosive ST, siyo ST kama Firmino, Benzema, Kane, Toney, Gakpo, Jota, Jesus etc, ni aina ya Drogba, Haaland, Diego Costa etc, link-up play/hold-up play siyo his cup of tea, main strengh ni pace/positional play/attacking the box.

Haaland ana-thrive at City, because his team ina uwezo wa ku-sustain possession/umiliki na pressure, so ni rahisi kumtengezea chances au kuwa na uwezo wa ku-receive mipira through different channels/phases.

At LFC, mpira tunaocheza sasa ni very passive, hatuna retainer/recycler kwenye MF, retaining possession au ku-control majority ya mchezo huwa inakuwa ngumu, hence inakuwa ngumu kwa Nunez ku-settle in, na inambidi ajitahidi kubadilisha his playing style, which ni ngumu, Klopp is trying to shape him taratibu, na ndiyo maana huwa anamchezesha sana as LW ili kujaribu kutengeza ability yake ya hold-up play/link-up play, and hakuna aibu yeyote, because the best striker in the league, Haaland, weakness yake ni hold-up play, huwa anajitahidi sana kwenye link-up, kama team anazocheza nazo zinakuwa open kwenye transition.

Now, Nunez kuanza ni ngumu, because tuna-play a very direct/passive football, hatuna holding MF, last 2 games Klopp started with Macca as a 6, Szo & Gakpo as 8s, lengo la kumuanzisha Gakpo as Left 8, ni uwezo wake wa ku-hold/possessional play, which inasaidia ku-retain mipira hata ka muda mfupi, na kwa mantiki hiyo unahitaji kuanza na STs ambae ni good at hold-up play, STs ambaye anaweza kukaa na mpira/ku-force possession high up the pitch ili kutoa breather kwa the whole team, kutengeneza shapes/rooms za kukabiliana na lack of sustanaible pressure-control & counters, so you cant start Nunez now, kwasababu ana glaring weakness kwenye suala la hold up/possessional play na hatuna a 6/holder ambaye anaweza kuziba his traits through the middle, Nunez akiwa anapoteza mipira mara kwa mara up the pitch itakuwa ngumu sana kwetu ku-sustain mashambulizi/counters, kwasababu hatuna mtu wa ku-retain au ku-win 2nd balls from the middle, ndiyo maana inakuwa ngumu sana kuanza na Nunez now, tunaanza na Jota up top because he's a good presser, though link-up play yake ni mbaya, but ni very good presser, tofauti na Nunez.

But, hizo weaknesses zipo kwa kila orthodox ST, Guardiola had to change his whole set-up ili ku-accomodate weaknesses za Haaland.

Nunez is a good goal scorer na he will get his time, pia ni signing ambayo Klopp mwenyewe aliitaka na kui-force, he's still 22 na kila siku anazidi ku-improve his playing style, give him time.

Nasema kila muda hili, but now we have 2 world class 8s ambao wana kila aina ya ubora, kuna vitu vichache sana ambavyo tunatakiwa tuviongeze kwenye team, ili ikae sawa and ready to compete again.
Bro, yaani hapa nilikuelewa sana. Nikasubiri mechi ya jana ili nione. Mungu alivyo mwema nikaona kile ulichokifungua hapa. Hakika jamaa ni positional player kama ulivyotufafanulia. Nimemuona akigusa mipira mitatu tu akiwa kwenye the same corner ya 18. Mpira wa kwanza- sikumbuki pasi ni ya nani- alishindwa kuudhibti beki akauwahi. Mipira mingine miwili at the same position anafanikiwa kuwatoroka mabeki anapiga palepale alipopiga kwa mara ya kwanza.
Ulichozungumza hapo juu kuwa Klopp anahitaji kum-accomoadate udhaifu wa Nunez kama Guardiola afanyavyo kwa Haaland ndiyo sahihi.
Jana Nunez kapenyezewa mipira mitatu kadiri ya alivyojipanga kutokana na ushurikiano mzuri wa Salaha na Sobo kati ya hiyo miwili tumepata magoli ambayo ni classic. Amenikumbusha foward mmoja wa Reli ya Morogoro enzi hizo akiitwa Elias Mwachura, alikuwa ni mtu wa kutafuta nafasi kisha akina Boniface Njohole au Juma Salum Msawila kumchungulia tu.......utasikia akiita NTILIE, NTILIE.

Mengi yanakuja kupitia kwa huyu mwamba.
 
Mnaponda team ikiwa nyuma uwanjani
Kwa matusi na kejeli
Mnasifia tukishinda.
Upuuzi na utoto kabisa
Watu wana haki ya kuponda kwakuwa kuna mapungufu ya wazi katika midfield na defense, na hilo linajulikana dunia nzima. Ila matokeo tuliyopata sote tumefurahi kwa ushindi na kikawaida furaha hukusahaulisha matatizo angalau kwa muda mchache kidogo. Jana tumeshinda kwa individual brilliance ya Nunez na Alisson (they made the difference), ila kama team bado tuna mapungufu mengi sana.

Midfield na defense overhaul is a must, tuache kutegemea individual players watufanyie mazingaombwe msimu mzima, hii ndo sababu tumekuwa tukishindwa kuwa-keep wachezaji wetu wazuri misimu ya nyuma i.e Suarez na Torres
 
Mfumo ulibadilika Diaz hawezi kucheza kiungo ya ndani Ukocha ni Professional.
Formula ya kwanza kabisa ni kwamba mnapopewa red card ni kutoa winger ili kuingiza specialist cover wa aliyepewa red card, unless you have the proper players in the same line up that can cover those positions but generally lazima uue winger moja.

Sasa anayesema Diaz kutolewa ni makosa tumsamehe tu coz in all major leagues hakuna tean itamtoa fit Salah wakati mnahitaji kufunga na mpo pungufu.
 
Game state ilikuwa ruined na refa, baada ya kumpa card Trent, ambayo hakustahili, then it went to shit baada ya kushindwa kumpa kadi tena Trent kwa clear foul aliyomfanyia Gordon.

I mean, Kadi aliyopewa Trent alitakiwa apewe Gordon, na kadi ambayo alipata Trent, alitakiwa apewe seconds later baada ya kumchezea foul Gordon.

These 2 incidents set the tone ya game nzima, refa aliushidwa mchezo dakika kumi tu tangu uanze.

And, ile yellow card ya mwanzo kabisa wa mchezo na newcastle fans noises got to Trent head, hence he started poorly and that mistake, but kabla ya goal we were defending very well.

Then, red card ya VVD, ilikuwa ni stupid decision.

Pia, tulienda ST James Park (moja ya Stadium ngumu sana kwenye league), with a new MF, na full away debut kwa Endo at 6, na tulikuwa tunacheza against Newcastle, a very good & strong team, so kuna vitu vya kulalamika. sometimes, lakini siyo game-state ya leo.

Na tumecheza with 10 men for more than 60 minutes.

Yes, Klopp anazingua kwenye Transfer Window, but kama mshabiki, kuna namna ya kutenganisha off-pitch and on-pitch activities.

Then, hii ni game week 3, as a fan atleast reserve malalamiko ya on-pitch activities mpaka December/January na anza ku-evaluate, give time ya New signings ku-bed in, give time kwa players wote ku-bed in, give time kwa coaching staff kuhusiana na flexibilty ya shapes/formations etc, mfano tu, kwenye game 3 tulizocheza, unaona tumecheza vizuri sana nje ya 3223 formation.

I have maintained here, kuwa Klopp is a world class coach, ana flaws zake ambazo ni lazima ziwe called-out, bacause club huwa inakuja kwanza kabla ya mtu yeyote, but isitufanye tum-take for granted, maana akifukuzwa leo, atapata kazi kwenye club nyingine kubwa siku hiyo hiyo.

He is a stubborn prick, anaudhi, anaboa, anahitaji KUKOSOLEWA HASWA, but tusisahau kuwa he couldve picked Bayern, Man Utd or waited for Madrid, but he chose unrecognizable LFC, and we have won everything chini yake.

DONT TAKE HIM FOR GRANTED.

But, he's still a prick, na if we dont get a DM, atakuwa ni zaidi ya prick.


Just dont take him for granted.
Umemaliza, mwenye kuelewa na aelewe
 
Kwa msaada Nenda YouTube cheki Mo Salah vs Kompany ....Kompany alikuwa beki wa mwisho na alimrukia Salah mguuni na beki akapewa yellow ... Sometimes ni marefa kukamia timu flani na huu mchezo umerudi.
Haya mambo mbona yanaelezwa sana na wachambuzi jamani.

First of all ni kuangalia je alichofanya beki ni foul?, la pili je alikuwa ni mtu wa mwisho in defence?, na la tatu je ilikuwa ni scoring opportunity kama asingemfanyia foul? kama majibu yote ni yes then it's a straight red card.

Club haito-appeal kwa kuwa ilikuwa ni red card ya halali kwa vigezo hivyo!
 
Haya mambo mbona yanaelezwa sana na wachambuzi jamani.

First of all ni kuangalia je alichofanya beki ni foul?, la pili je alikuwa ni mtu wa mwisho in defence?, na la tatu je ilikuwa ni scoring opportunity kama asingemfanyia foul? kama majibu yote ni yes then it's a straight red card.

Club haito-appeal kwa kuwa ilikuwa ni red card ya halali kwa vigezo hivyo!
Hizo scenario zinalingana na tukio lililotokea kwenye ulicho-niquote hapo tazama vizuri...mi naona marefa wa Uingereza Wahuni tu wameipania Liverpool nahisi hasa kutokana na appeal iliyopita. Ukiangalia vizuri V.a.r hasa Incidence za liver kupewa umeme Haihusiki hii mara ya pili sijui hiyo V.a.r imewekwa kwa ajili Gani ni upuuzi tu EPL.
 
Haya mambo mbona yanaelezwa sana na wachambuzi jamani.

First of all ni kuangalia je alichofanya beki ni foul?, la pili je alikuwa ni mtu wa mwisho in defence?, na la tatu je ilikuwa ni scoring opportunity kama asingemfanyia foul? kama majibu yote ni yes then it's a straight red card.

Club haito-appeal kwa kuwa ilikuwa ni red card ya halali kwa vigezo hivyo!
Cheki hiyo na hakuna V.a.r ilihusika kutoa au kujaribu kumsaidia mwamuzi afanye Decision Gani.
FB_IMG_1692523819033.jpg
 
Cheki hiyo na hakuna V.a.r ilihusika kutoa au kujaribu kumsaidia mwamuzi afanye Decision Gani.View attachment 2731150
Hii ilikuwa ni ndani au nje ya box?, kama ni nje ya box na refa aliita foul na akatoa yellow then VAR haitoingilia. Sasa je nakubaliana na VAR ama laa hilo ni jambo jengine kabisa.

VAR inahusika na offsides na maamuzi ndani ya 18, kwa matukia nje ya box hawahusiki unless it's a dangerous play and the ref has not spotted at all!. Hivi ndo mi ninavyojua ila kama ni tofauti ya hapo please tueleweshe.
 
Haya mambo mbona yanaelezwa sana na wachambuzi jamani.

First of all ni kuangalia je alichofanya beki ni foul?, la pili je alikuwa ni mtu wa mwisho in defence?, na la tatu je ilikuwa ni scoring opportunity kama asingemfanyia foul? kama majibu yote ni yes then it's a straight red card.

Club haito-appeal kwa kuwa ilikuwa ni red card ya halali kwa vigezo hivyo!
Mkuu kumbuka tukio limetokea katika mwendo wa kasi sana... Ndani ya sekunde moja...
Ukiangalia sio foul.. VVD aliwin mpira na hapo hapo katika mwendo kulitokea contact.. .

Soccer ni mchezo ambapo physical contact ni lazima...
img_1_1693200251232.jpg
 
Mkuu kumbuka tukio limetokea katika mwendo wa kasi sana... Ndani ya sekunde moja...
Ukiangalia sio foul.. VVD aliwin mpira na hapo hapo katika mwendo kulitokea contact.. .

Soccer ni mchezo ambapo physical contact ni lazima...
View attachment 2731221
Hii picha inaonesha vizuri kabisa, tayari Isak alikuwa anaenda chini na bado VVD hajagusa mpira! contact na Isack ilianza kabla ya yeye kugusa mpira which makes it a foul! reviews za VAR pia zimeonesha hivo kamanda!
 
Watu wana haki ya kuponda kwakuwa kuna mapungufu ya wazi katika midfield na defense, na hilo linajulikana dunia nzima. Ila matokeo tuliyopata sote tumefurahi kwa ushindi na kikawaida furaha hukusahaulisha matatizo angalau kwa muda mchache kidogo. Jana tumeshinda kwa individual brilliance ya Nunez na Alisson (they made the difference), ila kama team bado tuna mapungufu mengi sana.

Midfield na defense overhaul is a must, tuache kutegemea individual players watufanyie mazingaombwe msimu mzima, hii ndo sababu tumekuwa tukishindwa kuwa-keep wachezaji wetu wazuri misimu ya nyuma i.e Suarez na Torres
Huyo jamaa achana nae, mtu lazima aponde maana tangu mpira unaanza tulikuwa tunaangalia madhaifu et mtu anakurupuka baada ya kuingia Livescore huko na kuanza kutoa kibesi . Kunamashabiki wa Liverpool wengine wanakuelewesha kistaarabu yeye anakuja juu mara ooh nadhan umenielewa mara ww ni mtoto nawashangaa tu.
 
Game state ilikuwa ruined na refa, baada ya kumpa card Trent, ambayo hakustahili, then it went to shit baada ya kushindwa kumpa kadi tena Trent kwa clear foul aliyomfanyia Gordon.

I mean, Kadi aliyopewa Trent alitakiwa apewe Gordon, na kadi ambayo alipata Trent, alitakiwa apewe seconds later baada ya kumchezea foul Gordon.

These 2 incidents set the tone ya game nzima, refa aliushidwa mchezo dakika kumi tu tangu uanze.

And, ile yellow card ya mwanzo kabisa wa mchezo na newcastle fans noises got to Trent head, hence he started poorly and that mistake, but kabla ya goal we were defending very well.

Then, red card ya VVD, ilikuwa ni stupid decision.

Pia, tulienda ST James Park (moja ya Stadium ngumu sana kwenye league), with a new MF, na full away debut kwa Endo at 6, na tulikuwa tunacheza against Newcastle, a very good & strong team, so kuna vitu vya kulalamika. sometimes, lakini siyo game-state ya leo.

Na tumecheza with 10 men for more than 60 minutes.

Yes, Klopp anazingua kwenye Transfer Window, but kama mshabiki, kuna namna ya kutenganisha off-pitch and on-pitch activities.

Then, hii ni game week 3, as a fan atleast reserve malalamiko ya on-pitch activities mpaka December/January na anza ku-evaluate, give time ya New signings ku-bed in, give time kwa players wote ku-bed in, give time kwa coaching staff kuhusiana na flexibilty ya shapes/formations etc, mfano tu, kwenye game 3 tulizocheza, unaona tumecheza vizuri sana nje ya 3223 formation.

I have maintained here, kuwa Klopp is a world class coach, ana flaws zake ambazo ni lazima ziwe called-out, bacause club huwa inakuja kwanza kabla ya mtu yeyote, but isitufanye tum-take for granted, maana akifukuzwa leo, atapata kazi kwenye club nyingine kubwa siku hiyo hiyo.

He is a stubborn prick, anaudhi, anaboa, anahitaji KUKOSOLEWA HASWA, but tusisahau kuwa he couldve picked Bayern, Man Utd or waited for Madrid, but he chose unrecognizable LFC, and we have won everything chini yake.

DONT TAKE HIM FOR GRANTED.

But, he's still a prick, na if we dont get a DM, atakuwa ni zaidi ya prick.


Just dont take him for granted.
Unai Emery anakuja kutudhalilisha Gemu ijayo Kashaona wapi pa kutubana kupitia Gem ya St James Park. Na akimpanga Trent na Gomez upande mmoja Ndo Kibanda kitaungua mapema tu. Football ni mchezo wa makosa na hizi wiki takriban 3 ambazo tutaongozwa na mchomeshaji is the worst moment ever.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom