Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

😋😋😋
 

Attachments

  • 1693579209883.png
    1693579209883.png
    85.3 KB · Views: 8
BREAKING: Liverpool have rejected a £150m bid from Al Ittihad for Mo Salah.

Liverpool tuchukue hii hela lasi hivyo Salah atatembea as free agent.
 
Chief wewe ni mshabiki kweli wa mpira wa miguu au mbetiji wa mikeka yaani unaangaliaga hata mpira na kufwatilia nausimjue gravenberch pale buyern au wakt yuko ajax shuhuli aliyekuwa anaifanya. Huyu dogo ni germ kwa umri wake na uwezo aliyekuwa nao atakuwa balaa with time
Manjesta hao wamempata amrabat wanaona wamemaliza.. timu imejaa majokeli
 
Why hajawahi kuaminika pale Baryen ,ikafika hatua had Tuchel akasema baryen haina no.6

Wameenda had kutoa £60m kwa João Palhina

Huo Ni average player tu

Kama baryen walikuwa wanahaha kusaka a super DM , kwanini hawakumuamin huyo dogo
Unafatilia vizuri? Bayern walikuwa wamezuia kuingia sokoni kwa palhina Mpaka wapate $ kutoka Liverpool (Ryan) bila hivyo wasingeenda kwa palhina. Je Arsenal Kuna Top players wangapi? Au Rice nae ni Top player?!!! Smh
 
Why hajawahi kuaminika pale Baryen ,ikafika hatua had Tuchel akasema baryen haina no.6

Wameenda had kutoa £60m kwa João Palhina

Huo Ni average player tu

Kama baryen walikuwa wanahaha kusaka a super DM , kwanini hawakumuamin huyo dogo
Kama Salah alienda Chelsea akatolewa kwa mkopo fiorentina na Roma sababu hakuaminika Leo hii kafanya mangapi alipo na kwanini alishindwa kuyafanya akiwa Chelsea?!!! Kweli Kuna ushabiki mwingine jau sana.
 
Why hajawahi kuaminika pale Baryen ,ikafika hatua had Tuchel akasema baryen haina no.6

Wameenda had kutoa £60m kwa João Palhina

Huo Ni average player tu

Kama baryen walikuwa wanahaha kusaka a super DM , kwanini hawakumuamin huyo dogo
makasiriko ya Nini?subiri akiwa lfc ndio uanze makasiriko Yako...
 
Kama Salah alienda Chelsea akatolewa kwa mkopo fiorentina na Roma sababu hakuaminika Leo hii kafanya mangapi alipo na kwanini alishindwa kuyafanya akiwa Chelsea?!!! Kweli Kuna ushabiki mwingine jau sana.
Huyo jamaa ni aseno asiyejitambua,yaan ana mahaba yaliyopitiliza...kwake yeye tomiyasu ni bonge la mchezaji DUNIA HAKUNA KAMA YEYE
 
Kufanya maamuzi haya unatakiwa uwe Mental healthy.....umejiuliza tukipokea hiyo 100+ na mda huu tutapata mtu yupi na wapi wa kuziba gap lake?!! Akili mwanetu.
Tunae Doak na Elliott hapo faster faster tunambeba Cheik na faster tunachukua CB kama magoli yatapatikana tu
 
Tunae Doak na Elliott hapo faster faster tunambeba Cheik na faster tunachukua CB kama magoli yatapatikana tu
Doak na Elliott wakuletee magoli 20+ wataweza? Hata wajikusanye wote wawili hamna kitu huyo Doak Bado anahitaji mda kukomaa.
 
Doak na Elliott wakuletee magoli 20+ wataweza? Hata wajikusanye wote wawili hamna kitu huyo Doak Bado anahitaji mda kukomaa.
Mda atakao pewa ataendelea kukomaa hivyo hivyo kwani akina Salah walianzaje sikwa gametime?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom