Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

at least
699483971.jpg
 
Sbozo. Griv. MacAlister
Sub ni Thiago,Endo na Bajcetic
Pia akina Jones na Elli
Team yyt na ije
 
Mwisho wa siku MAC ALLISTER, ENDO, SZOBOSZLAI And GRAVENBERCH ni Better Midfield option than Henderson ,Keita, OX, Milner and Fabinho.
Hio Gabechi mliyosajili mna uhakika kweli ni mchezaji wa footbal?
Msije kua mmesajili mcheza dhumna halafu mkaanza makasiriko mbele ya safari.
 
Hio Gabechi mliyosajili mna uhakika kweli ni mchezaji wa footbal?
Msije kua mmesajili mcheza dhumna halafu mkaanza makasiriko mbele ya safari.
Chief wewe ni mshabiki kweli wa mpira wa miguu au mbetiji wa mikeka yaani unaangaliaga hata mpira na kufwatilia nausimjue gravenberch pale buyern au wakt yuko ajax shuhuli aliyekuwa anaifanya. Huyu dogo ni germ kwa umri wake na uwezo aliyekuwa nao atakuwa balaa with time
 
Chief wewe ni mshabiki kweli wa mpira wa miguu au mbetiji wa mikeka yaani unaangaliaga hata mpira na kufwatilia nausimjue gravenberch pale buyern au wakt yuko ajax shuhuli aliyekuwa anaifanya. Huyu dogo ni germ kwa umri wake na uwezo aliyekuwa nao atakuwa balaa with time
Why hajawahi kuaminika pale Baryen ,ikafika hatua had Tuchel akasema baryen haina no.6

Wameenda had kutoa £60m kwa João Palhina

Huo Ni average player tu

Kama baryen walikuwa wanahaha kusaka a super DM , kwanini hawakumuamin huyo dogo
 
Why hajawahi kuaminika pale Baryen ,ikafika hatua had Tuchel akasema baryen haina no.6

Wameenda had kutoa £60m kwa João Palhina

Huo Ni average player tu

Kama baryen walikuwa wanahaha kusaka a super DM , kwanini hawakumuamin huyo dogo
We jamaa banah mchezaji akisajiliwa na Arsenal, mmepata mchezaji wakisajili wengine, wamepigwa.

Punguza mahaba, huo sio ushabiki.
 
Why hajawahi kuaminika pale Baryen ,ikafika hatua had Tuchel akasema baryen haina no.6

Wameenda had kutoa £60m kwa João Palhina

Huo Ni average player tu

Kama baryen walikuwa wanahaha kusaka a super DM , kwanini hawakumuamin huyo dogo
Sasa mchezaji mwenyewe anaitwa Gabechi hajulikani kama ni mboga au kachumbali unaanzaje anzaje kumuamini mchezaji huyo kwenye timu kubwa kama Baryen?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom