Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hauna hoja yyt zaidi ya kioja!
Jamani kocha wa Liverpool ana uwezo mkubwa sana wa maarifa ya soka,wewe kumkosoa ni kichekesho tu
Sishangai ndio uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo

Nyie ndio mnaokaa mkiamini mtu mzima akosei unasahau kwamba kuna wajinga pia wanazeeka.

Kloop wakati anabid deal ya caicedo tena kwa kufunja rekodi ya EPL ni dhahiri kwamba ilo eneo lina weakness sasa wewe mfia timu unachokataa ni kipi?
 
Huyu ni wakuuza tu
Screenshot_20230828-224622.jpg
 
Point 3 za kimazabe, nyie wenyewe mpaka sasa hamuelew hizo point 3 imekuwaje mkazibeba kiufupi mmeokota embe chini ya mnazi.
Kucheza karibia dakika 60 tukiwa pungufu na bado tukashinda kwa gemu ngumu vile sio kazi ya kitoto
 
hivi swala la usajili ndo tumemaliza au tusubiri surprise siku ya mwisho


siku zimeisha halafu tuko kimya kama siyo sisi tunaohitaji namba 6
 
hivi swala la usajili ndo tumemaliza au tusubiri surprise siku ya mwisho


siku zimeisha halafu tuko kimya kama siyo sisi tunaohitaji namba 6
Hiyo sio kazi Yako mzee viongozi wanajua wanalofanya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom