Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wanadai ni technical foul as a last man haijalishi umecontact na mpinzani kwa kiwango gani

Unapokuwa unamblock mpinzani alaf wewe ni last man lazima iwe red card

But ngoja tuone kama watakata rufaa
Kwa msaada Nenda YouTube cheki Mo Salah vs Kompany ....Kompany alikuwa beki wa mwisho na alimrukia Salah mguuni na beki akapewa yellow ... Sometimes ni marefa kukamia timu flani na huu mchezo umerudi.
 
Hivi ni kwanini kwenye hizi mechi mbili, after red cards ndio timu imeonekana kucheza vizuri kuliko tunavokua kamili

Mimi naona mfumo wa kuwaweka mbele

Salah, Gapko, Diaz, umefeli yani huoni ile threats kwa lango la mpinzani haipo, Klopp anajaribu kulazimisha ile ya Salah, Boby Mane,

Anasahau Gakpo sio Boby ( ni mbingu na Ardhi) na Diaz sio Mane.

Gakpo arudi kwenye kiungo, mbele awe Jota au Nunez

Gakpo apokezane na Slozobl kwenye kiungo, Hawa watu wawili hawapaswi kuwa uwanjani kwa pamoja

No, we just look lost kwenye 3223.

Watu wengi ambacho hawajui, flexibility ya 3223, inahitaji a strong & Complete rounded DM, especially a good lone oriented DM, maana at LFC, tukiwa tuna-mpira/creating, Trent ana invert, na kutengenzea a pivot (2 man MF), but tukipoteza possession/tukiwa tunashambuliwa Trent anarudi at RB au anaenda mbele/nyumba ku-press/kupora mipira (it depends anakuwa wapi tukiwa tumepoteza mpira, na anaanza ku-press kutokea wapi), it takes seconds kupoteza mpira, na it takes seconds opponents ku-open countering angles/rooms, so DM & RCB should react, kwetu inakuwa ngumu sana kwa Robertson ku-react, as siyo LCB, so positional play yake ni ile ile ya LB, sasa kama huwa a pace, duel monster, retainer & ball winning DM, inakuwa tabu sana ku-cover the ground au ku-read counters.

At Chelsea & against Bournemouth, we played Macca at 6, a good holder but not a DM, not a ball winner, not a duel monster etc, hence we struggled ku-sustain pressure/possession, katika hatua zote (Trent akiwa ana-invert na akiwa at RB)

But, once red card zilivyotoka, tunarudi kwenye basic formation, flat back 4, with 2-3 man MF, defending deep & creating counter attacking rooms/channels, na inasaidia ku-sustain pressure, because inakuwa easy kutumia engine room ya Szo anavyorudi ku-sit in deeper areas na ku-structure our narrow attacking movements.
 
Kwa msaada Nenda YouTube cheki Mo Salah vs Kompany ....Kompany alikuwa beki wa mwisho na alimrukia Salah mguuni na beki akapewa yellow ... Sometimes ni marefa kukamia timu flani na huu mchezo umerudi.
Sema tuna bahati mbaya sana na marefa yani mpaka leo sisahau ile handball ya rodri vs everton alafu ikawa no penalty lile tukio pengine lingebadili story ya wakati ule
 
Agreed

My concern haiusiani kabisa na game ya leo maana vs Newcastle tena away lazima upewe master class game performance maana ni timu iliyojengeka vizuri

My concern ipo hapa kwenye usajili apo kwa namba sita na center back mmoja nazani wanatosha sana kutufikisha mbali kuliko ninavyoona timu ilivyo kwasasa

Ndiyo kitu ambacho kila shabiki wa LFC mwenye sense, anasubiria now.

Naweza nikasamehe kuhusu suala la. CB, but kwenye a starting 6, hakutakiwi kuwa na excuses.

We need a DEFENSIVE MIDFIELDER.
 
NO, Mkuu.

We adjusted well mchezoni after ile card ya VVD, because Klopp went back to compact 433 & attack with 4231.

We had balance kwenye MF, hence hata Endo alianza kuwa involved more, kwenye settled shape, ambayo tulikuwa tuna-defend deep.

Hata game ya Bournemouth, we controlled the game well, baada ya ku-abandon 3223, its just hatuna required profile ya kucheza hii formation kwasasa.
Klopp huwa kama kenge kuelewa mpaka damu zitoke
 
Klopp huwa kama kenge kuelewa mpaka damu zitoke
Last season, kwenye last 10 games, 3223 ilifanya kazi to an extent, kwasababu ya Fabinho presence, japokuwa Fabinho alikuwa kaisha sana, but ubora wake katika kuread games/counters/passing angles etc, uwezo wake wa ku-anticipate/ku-block second balls, ulisaidia sana.

Kikubwa ni kuwa, kama angewahi 2-3 games before ku-switch to 3223 with fabinho at DM and Trent inverting, tungemaliza top 4.

Sasa now, na-reserve my judgement mpaka tu-land a DM, watching it closely mpaka Thursday night.
 
Last season, kwenye last 10 games, 3223 ilifanya kazi to an extent, kwasababu ya Fabinho presence, japokuwa Fabinho alikuwa kaisha sana, but ubora wake katika kuread games/counters/passing angles etc, uwezo wake wa ku-anticipate/ku-block second balls, ulisaidia sana.

Kikubwa ni kuwa, kama angewahi 2-3 games before ku-switch to 3223 with fabinho at DM and Trent inverting, tungemaliza top 4.

Sasa now, na-reserve my judgement mpaka tu-land a DM, watching it closely mpaka Thursday night.
Tumchukue amrabat

Tu kazi iishe
 
Laiti ungejua ubahili wa klabu yenu ya Liverkuku hata aje Pep Kipara hapo Anfield kuwa Head Coach mtamkataa kuwa ni Tapeli usingemshusha hadhi J. Klopp hata kwa nukta tu.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mnatetea tu kinacho muangusha Klopp ni mahaba kwa wachezaji ukweli ndio huo hata kama tukishinda na watu wasijifanye kutetea kisa leo tumeponea kwenye tundu la sindano.
 
Mnatetea tu kinacho muangusha Klopp ni mahaba kwa wachezaji ukweli ndio huo hata kama tukishinda na watu wasijifanye kutetea kisa leo tumeponea kwenye tundu la sindano.
Muulize Pep Kipara alikuwa anakutana na kichapo kipi Germany akiwa Buyern Munich FC na Klopp akiwa na Dortmund FC ndipo utajua hujui.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom