Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Haibadilishi ukweli

Scoring ability ya liverpool haijawahi kutiliwa mashaka

Shida ni pale nyuma na leo namshukuru sana Alison alikuwa na berter game ususani kipindi cha kwanza

Game state ilikuwa ruined na refa, baada ya kumpa card Trent, ambayo hakustahili, then it went to shit baada ya kushindwa kumpa kadi tena Trent kwa clear foul aliyomfanyia Gordon.

I mean, Kadi aliyopewa Trent alitakiwa apewe Gordon, na kadi ambayo alipata Trent, alitakiwa apewe seconds later baada ya kumchezea foul Gordon.

These 2 incidents set the tone ya game nzima, refa aliushidwa mchezo dakika kumi tu tangu uanze.

And, ile yellow card ya mwanzo kabisa wa mchezo na newcastle fans noises got to Trent head, hence he started poorly and that mistake, but kabla ya goal we were defending very well.

Then, red card ya VVD, ilikuwa ni stupid decision.

Pia, tulienda ST James Park (moja ya Stadium ngumu sana kwenye league), with a new MF, na full away debut kwa Endo at 6, na tulikuwa tunacheza against Newcastle, a very good & strong team, so kuna vitu vya kulalamika. sometimes, lakini siyo game-state ya leo.

Na tumecheza with 10 men for more than 60 minutes.

Yes, Klopp anazingua kwenye Transfer Window, but kama mshabiki, kuna namna ya kutenganisha off-pitch and on-pitch activities.

Then, hii ni game week 3, as a fan atleast reserve malalamiko ya on-pitch activities mpaka December/January na anza ku-evaluate, give time ya New signings ku-bed in, give time kwa players wote ku-bed in, give time kwa coaching staff kuhusiana na flexibilty ya shapes/formations etc, mfano tu, kwenye game 3 tulizocheza, unaona tumecheza vizuri sana nje ya 3223 formation.

I have maintained here, kuwa Klopp is a world class coach, ana flaws zake ambazo ni lazima ziwe called-out, bacause club huwa inakuja kwanza kabla ya mtu yeyote, but isitufanye tum-take for granted, maana akifukuzwa leo, atapata kazi kwenye club nyingine kubwa siku hiyo hiyo.

He is a stubborn prick, anaudhi, anaboa, anahitaji KUKOSOLEWA HASWA, but tusisahau kuwa he couldve picked Bayern, Man Utd or waited for Madrid, but he chose unrecognizable LFC, and we have won everything chini yake.

DONT TAKE HIM FOR GRANTED.

But, he's still a prick, na if we dont get a DM, atakuwa ni zaidi ya prick.


Just dont take him for granted.
 
Kifupi Bado sijabadili kauli, hata Origi alishawahi kutupa ushindi kwenye mazingira kama haya mara nyingi tuu

Leo kila alichogusa kimekua dhahabu, conglats to him kwa point 3

Bado nahitaji nimuone zaidi kwa consistency hii ndio nibadili kauli
Endelea kukaza fuvu
Mimi nimebadili kauli

Nunez ni mwamba🙌
 
NO, Mkuu.

We adjusted well mchezoni after ile card ya VVD, because Klopp went back to compact 433 & attack with 4231.

We had balance kwenye MF, hence hata Endo alianza kuwa involved more, kwenye settled shape, ambayo tulikuwa tuna-defend deep.

Hata game ya Bournemouth, we controlled the game well, baada ya ku-abandon 3223, its just hatuna required profile ya kucheza hii formation kwasasa.
Hivi ni kwanini kwenye hizi mechi mbili, after red cards ndio timu imeonekana kucheza vizuri kuliko tunavokua kamili

Mimi naona mfumo wa kuwaweka mbele

Salah, Gapko, Diaz, umefeli yani huoni ile threats kwa lango la mpinzani haipo, Klopp anajaribu kulazimisha ile ya Salah, Boby Mane,

Anasahau Gakpo sio Boby ( ni mbingu na Ardhi) na Diaz sio Mane.

Gakpo arudi kwenye kiungo, mbele awe Jota au Nunez

Gakpo apokezane na Slozobl kwenye kiungo, Hawa watu wawili hawapaswi kuwa uwanjani kwa pamoja
 
Ukocha ni kazi ya kitaalam sana ndiyo wanalipwa mamilion ya dola kwa mwezi.
Sio kila ukishiba makande ukikaa kwenye TV yako hapo Kisarawe unadhani unaweza ukawa kocha tena wa team kama Liverpool
Malafyale ktk ubora WAKO
 
Game state ilikuwa ruined na refa, baada ya kumpa card Trent, ambayo hakustahili, then it went to shit baada ya kushindwa kumpa kadi tena Trent kwa clear foul aliyomfanyia Gordon.

I mean, Kadi aliyopewa Trent alitakiwa apewe Gordon, na kadi ambayo alipata Trent, alitakiwa apewe seconds later baada ya kumchezea foul Gordon.

These 2 incidents set the tone ya game nzima, refa aliushidwa mchezo dakika kumi tu tangu uanze.

And, ile yellow card ya mwanzo kabisa wa mchezo na newcastle fans noises got to Trent head, hence he started poorly and that mistake, but kabla ya goal we were defending very well.

Then, red card ya VVD, ilikuwa ni stupid decision.

Pia, tulienda ST James Park (moja ya Stadium ngumu sana kwenye league), with a new MF, na full away debut kwa Endo at 6, na tulikuwa tunacheza against Newcastle, a very good & strong team, so kuna vitu vya kulalamika. sometimes, lakini siyo game-state ya leo.

Na tumecheza with 10 men for more than 60 minutes.

Yes, Klopp anazingua kwenye Transfer Window, but kama mshabiki, kuna namna ya kutenganisha off-pitch and on-pitch activities.

Then, hii ni game week 3, as a fan atleast reserve malalamiko ya on-pitch activities mpaka December/January na anza ku-evaluate, give time ya New signings ku-bed in, give time kwa players wote ku-bed in, give time kwa coaching staff kuhusiana na flexibilty ya shapes/formations etc, mfano tu, kwenye game 3 tulizocheza, unaona tumecheza vizuri sana nje ya 3223 formation.

I have maintained here, kuwa Klopp is a world class coach, ana flaws zake ambazo ni lazima ziwe called-out, bacause club huwa inakuja kwanza kabla ya mtu yeyote, but isitufanye tum-take for granted, maana akifukuzwa leo, atapata kazi kwenye club nyingine kubwa siku hiyo hiyo.

He is a stubborn prick, anaudhi, anaboa, anahitaji KUKOSOLEWA HASWA, but tusisahau kuwa he couldve picked Bayern, Man Utd or waited for Madrid, but he chose unrecognizable LFC, and we have won everything chini yake.

DONT TAKE HIM FOR GRANTED.

But, he's still a prick, na if we dont get a DM, atakuwa ni zaidi ya prick.


Just dont take him for granted.
Agreed

My concern haiusiani kabisa na game ya leo maana vs Newcastle tena away lazima upewe master class game performance maana ni timu iliyojengeka vizuri

My concern ipo hapa kwenye usajili apo kwa namba sita na center back mmoja nazani wanatosha sana kutufikisha mbali kuliko ninavyoona timu ilivyo kwasasa
 
Kocha ni msenge analea ujinga ili Salah asiondoke huu ni upuuzi wa lami.

Huna sifa za kuwa Mshabiki wa LiverpoolFC
Sisi hatupo hivi kabisa, huwezi kukuta Mshabiki wa Liverpool, Arsenal au Manchester United akawa na tabia kama hivi.

Tabia hizi zinapatikana kwa Washabiki wa Chelsea na Genge la Watoto kama nyinyi mulioanza kushabikia Mpira wakati wa Janga la Korona 🚮🚮
 
Huna sifa za kuwa Mshabiki wa LiverpoolFC
Sisi hatupo hivi kabisa, huwezi kukuta Mshabiki wa Liverpool, Arsenal au Manchester United akawa na tabia kama hivi.

Tabia hizi zinapatikana kwa Washabiki wa Chelsea na Genge la Watoto kama nyinyi mulioanza kushabikia Mpira wakati wa Janga la Korona
Wakati timu inacheza haukuwepo lakin baada ya kushinda umetokea, sijui tungepigwa napo ungesemaje acha kejeli bro.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom