Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Taito Kotenda
tapatalk_1691986398906.jpeg
 
Chelsea kiungo mkabaji ni Nan ,hata wao kiuhalisia hawana kiungo mkabaji,
Ko na yule gallagher ni nani ilikua ni halali kwa cheic kumili kiungo ila sio kujisifia kwamba umemiliki mchenzo akati unacheza na time haina MD ata mmoja
 
Ko na yule gallagher ni nani ilikua ni halali kwa cheic kumili kiungo ila sio kujisifia kwamba umemiliki mchenzo akati unacheza na time haina MD ata mmoja
Gallagher hajawai kuwa DM asee ,Umeanza kuangalia Mpira lini, Gallagher ni attacking Midfielder
 
Gallagher hajawai kuwa DM asee ,Umeanza kuangalia Mpira lini, Gallagher ni attacking Midfielder
Nimeanza kuangalia mpira kabla yako mana huwezi ukawa unajua mpira ukaja kusema Gallagher ni AM afu kwenye game 35 alicheza msim ulio pita ana goli 3 na asist 1
 
Mlikuwa mnapiga kelele sana tulipomsajili Enzo vipi sasa mbona kimya?
Sio ushabiki Caicedo ni DM mzuri labda mambo yaende tofauti ila jana hamuwezi anza kumsifia enzo kwamba kafanya frxh akati amekutana na liver amabyo haina Dm mbn msim ulio pita alikuepo aliweza kutamba mbele ya fabinho au mnajisahaulisha kidogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom