Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,103
- 6,698
VVD mitano tena kisiki chetu
Jota ni kama Mwalimu wa Mathe tunamuelewa vipanga JOTAAA PIGA KAZI BABA






Football knowledge bado ni ndogo Sana hapa ndani.....yaani Liverpool iliyocheza bila kiungo mkabaji ndo unakuja kusema umeioutplay???Mna timu nzuri mmekuwa outplayed na Chelsea wanaojijenga ,Kama kwa performance ile unaona mnatimu nzuri kazi mnayo
Chelsea kiungo mkabaji ni Nan ,hata wao kiuhalisia hawana kiungo mkabaji,Football knowledge bado ni ndogo Sana hapa ndani.....yaani Liverpool iliyocheza bila kiungo mkabaji ndo unakuja kusema umeioutplay???
Ko na yule gallagher ni nani ilikua ni halali kwa cheic kumili kiungo ila sio kujisifia kwamba umemiliki mchenzo akati unacheza na time haina MD ata mmojaChelsea kiungo mkabaji ni Nan ,hata wao kiuhalisia hawana kiungo mkabaji,
Oya kaambieni haka kajamaa kapunguze ujuaji aise.Chelsea kiungo mkabaji ni Nan ,hata wao kiuhalisia hawana kiungo mkabaji,
Mbona uzungumzii Enzo?Na Lukaku mlijitapa mno kabla hajaja sijui iliishiaga wapi
Gallagher hajawai kuwa DM asee ,Umeanza kuangalia Mpira lini, Gallagher ni attacking MidfielderKo na yule gallagher ni nani ilikua ni halali kwa cheic kumili kiungo ila sio kujisifia kwamba umemiliki mchenzo akati unacheza na time haina MD ata mmoja
Moises Caicedo will have his Chelsea medical this morning ahead of completing his British transfer record £115m move from BrightonOya kaambieni haka kajamaa kapunguze ujuaji aise.

Nimeanza kuangalia mpira kabla yako mana huwezi ukawa unajua mpira ukaja kusema Gallagher ni AM afu kwenye game 35 alicheza msim ulio pita ana goli 3 na asist 1Gallagher hajawai kuwa DM asee ,Umeanza kuangalia Mpira lini, Gallagher ni attacking Midfielder
Mlikuwa mnapiga kelele sana tulipomsajili Enzo vipi sasa mbona kimya?Sasa angalia kwa Caicedo msije lamba lolopamoja na kutoa hela nyingi yakawa kama ya Lukaku
![]()
Sio ushabiki Caicedo ni DM mzuri labda mambo yaende tofauti ila jana hamuwezi anza kumsifia enzo kwamba kafanya frxh akati amekutana na liver amabyo haina Dm mbn msim ulio pita alikuepo aliweza kutamba mbele ya fabinho au mnajisahaulisha kidogoMlikuwa mnapiga kelele sana tulipomsajili Enzo vipi sasa mbona kimya?
Gallagher sio kiungo mkabaji ni attacking midfielder mkuu unafuatilia mpira wa wapiKo na yule gallagher ni nani ilikua ni halali kwa cheic kumili kiungo ila sio kujisifia kwamba umemiliki mchenzo akati unacheza na time haina MD ata mmoja
Uzuri takwimu hazijawahi sema uongo blz fatilia takwimu ndo uje kutete hoja yako apaGallagher sio kiungo mkabaji ni attacking midfielder mkuu unafuatilia mpira wa wapi