Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,103
- 6,698
Captain awe Gomez na jotaaaWe si ndo ulikuwa unampigia chapuo humu eti awe Captain !
Ukashirikiana na wenzio..
Tukisema jamaa hafai kuwa hata monitor,mnatuona haters.
Captain awe Gomez na jotaaaWe si ndo ulikuwa unampigia chapuo humu eti awe Captain !
Ukashirikiana na wenzio..
Tukisema jamaa hafai kuwa hata monitor,mnatuona haters.
Yeah! Hapa nikwel kabisa nikuuza huyo Salah tu.Vunjeni timu muanze upya kama sisi
Piga Salah bei Uarabuni kabla hajashuka bei
VVD naye uza.
Kama connection na waarabu hamna mumuone Boehly atawasaidia
Uzo wote bakiza wazalendo wawili au watatu tu
I'm missing youUnaenda league Huna Dm
Unategemea nini
Sina tumaini lolote
Ana kiburiHamna kitu mle kumbe, hata uongozi haumfai
Ana kiburi
Anajionaga special
Sawa ana kipaji,lakini lazima akue yeye ni mchezaji kama walivyo wengine,na hana uexceptional kwamba yeye hatakiwi kufanyiwa sub
Hajaanza leo kununa
Mi nilikuwa nawaangalia tu mnavyosema eti Salah awe Captain.
Heri timu ibaki bila Captain.
Sent using Jamii Forums mobile app




Kaja kwenye jukwaa letu katutukana Wapumbavu kabla ya mechi kisha kapotea. Kumbe naye anatukanaga au simu yake imehakiwaCaptain Marvelous yuko wapi siku hizi? Kopite number uno
I miss you too darling


Yule jamaa mstaarabu sana. Yeye ni soka mwanzo mwisho.Kaja kwenye jukwaa letu katutukana Wapumbavu kabla ya mechi kisha kapotea. Kumbe naye anatukanaga au simu yake imehakiwa
❣️I miss you too darling![]()
Hebu niachieni Bobby wangu🤣Kaja kwenye jukwaa letu katutukana Wapumbavu kabla ya mechi kisha kapotea. Kumbe naye anatukanaga au simu yake imehakiwa
Taito contenderHizi si dharau sasa
View attachment 2716520
Na Lukaku mlijitapa mno kabla hajaja sijui iliishiaga wapiAise nyie matakataka muna baati kinoma. Sema timu etu bado inatafutana yani tukimleta yule Caisedo naona kabisa tutamaliza ligi mapema sana.![]()