Mi nadhani he is just being proffesional, kuna makala moja nilikuwa nasoma leo inadai privately amechoshwa na lack of signings na atafikiria his options ikiwa FSG hawatompa support kwenye usajili msimu huu, inaonekana kama ana-consider post ya Germany national team .
Binafsi naamini kunaweza kuwa na ukweli coz jamaa alisema mwisho wa msimu uliopita kuwa anataka kufanya overhaoul ya midfield mapema ili apate muda wa kutosha kufanya nao kazi pre season kitu ambacho hakujatokea zaidi ya wachezaji wawili tuliosajili.