Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Madrid ya sasa haina ukali. City ndio timu bora kwa sasa duniani. Na wataendelea kudominate kwa miaka mingi. Haswa pale england. Watapiga back to back mpaka pep atakapo ondoka.

City ni nyoko....
Kipara anachukua makombe na haridhiki anaendelea kusajili tuu
 
Huyu caicedo Ndo tunamtaka kafanya blunder moja hapa mechi nyukasto

Sitaki hata kumsikia tena

Aende huko sitaki mid players mimi with average mindset
 
Sijambo kabisa
Nafurahia mimadrid ilivyochapwa Jana 😂😂😂

Wakati sisi tunahangaika kuwaondoa akina Milner, Kipara huyoo anaenda kunyanyua kwapa.
Kipara unaweza kushangaa akaharibu fainali na over thinking zake wakati keeping things simple inasaidia sanaaaa.

Milner bado anabebelezwa na Klopp abakie 😂😂ila mzee wako anaboa sana.

YNWA
 
Kipara ana ishi luxury life pale kwenye ligi ya EPL hakuna kocha yoyote anaishi luxury life kama Kipara, kwa sababu ana resources zote yaani asipocheza De Bruyne ataingia Gundogan, na aAsipocheza Mahrez atacheza Foden/ Grealish sasa hebu njoo kwetu hivi Klopp anaweza kumuweka Salah nje tu bila sababu? au Pale Spurs Harry Kane anaweza akawekwa benchi bila sababu?? Yes Kipara ana luxury life kuliko Manager yeyote pale EPL 🤣 🤣 🤣 🤣
Kipara hata akiamua ampe binti yake wa miaka 7 apange kikosi lazima washinde...
 
Siku nyingi sijapita humu naona mmepona kideri.

Hivi wale ndugu zenu mliokuwa mnawatakia ubingwa mmeshafikia wapi?

Halafu kile kikombe mlichokua mnaturingishia miaka nenda rudi hatimae tunaenda kukibeba sasa.
Tunawaalika Istanbul mje mshuhudie soka la kibingwa.
 
Siku nyingi sijapita humu naona mmepona kideri.

Hivi wale ndugu zenu mliokuwa mnawatakia ubingwa mmeshafikia wapi?

Halafu kile kikombe mlichokua mnaturingishia miaka nenda rudi hatimae tunaenda kukibeba sasa.
Tunawaalika Istanbul mje mshuhudie soka la kibingwa.

Hakika mnaenda kulibeba.
Hata mimi nawaombea mlibebe pia. Kuliko lile Kubwa jinga Lukaku kulibeba
 
Siku nyingi sijapita humu naona mmepona kideri.

Hivi wale ndugu zenu mliokuwa mnawatakia ubingwa mmeshafikia wapi?

Halafu kile kikombe mlichokua mnaturingishia miaka nenda rudi hatimae tunaenda kukibeba sasa.
Tunawaalika Istanbul mje mshuhudie soka la kibingwa.
Usitukane Mamba kabla hamjavuka mto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom