Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kipara ana ishi luxury life pale kwenye ligi ya EPL hakuna kocha yoyote anaishi luxury life kama Kipara, kwa sababu ana resources zote yaani asipocheza De Bruyne ataingia Gundogan, na aAsipocheza Mahrez atacheza Foden/ Grealish sasa hebu njoo kwetu hivi Klopp anaweza kumuweka Salah nje tu bila sababu? au Pale Spurs Harry Kane anaweza akawekwa benchi bila sababu?? Yes Kipara ana luxury life kuliko Manager yeyote pale EPL 🤣 🤣 🤣 🤣
Dirisha la 2020 na 2021 ilikua wakati mwafaka sana FSG kumpa sapoti ya nguvu sana Klopp kwa kua kipindi kile kwa sababu za corona hata bei ya wachezaji ilishuka ukilinganisha na sasa lakini hawa jamaa wakawa wanatoa mikataba left and right kwa wazee wao ikifika mahala Edwards akasema jamani data zinaonyesha hii itakuja kutu cost lakini hakusikilizwa ushauri wake ukatupwa huko jamaa akaona isiwe taabu akaachia ngazi June 2022 mkataba wake ulivyoisha hakutaka mengi...
Kipara pale yupo na guru wa kusajili special talent bwana Txiki Begiristain huyu bwana hua hapati kutajwa zaidi anaonekana Pep Guardiola kwa kua hawa ma director wanafanya kazi nyuma ya pazia akiwa na boss wake Ferran Soriano ki ukweli hawa jamaa wanaujua mpira na tangu watue pale Ethad hii klabu imekua sana sana kuanzia ki biashara mpaka uwanjani ni mafanikio tosha kwao aisee japo hua tunajificha kwenye kuvuli cha Kipara kupewa sapoti na oil money lakini oil money peke yake bila akili na mipango madhubuti nje na ndani ya uwanja lazima aisee na ndio maana leo Halaand anaweza kulipwa £500k ama zaidi na timu ikaweza kusajili...ukitazama smart purchases zao 2022 Julian Alvrez £15m, Halaand £60m, Akanji £17m hapo utaona ishu sio kua kiroba cha pesa mbali ni ku identity potential target na kufanya usajili kimya kimya... Mpaka Kipara anaodoka pale Manchester City naamini brand yao itakua ni zaidi ya Liverpool in market rate considering thier field and off field success..
Tazama hapa kutoka 2011 walivuokua kwa kasi ya 5 G
Screenshot_20230516_220656_com.android.chrome~2.jpg


Tupo nao jino kwa jino na bila Klopp factor naamini tungekua hukooo nafasi ya 10+
Screenshot_20230516_220438.jpg


Ni simpo ndugu yangu kikosi bora kinavuta mashabiki wengi, kinavuta wawekezaji wengi na pia mafanikio yanakua guaranteed hivyo wadhamini lazima walipe premium kwa kua wanagombania kua business partners... That the nature of this business man.

No proper signing means no bonus from sponsors actually they deduct kwa mfano kutoshiriki UCL utakua Nike wanapunguza asilimia kadhaa kwenye malipo yao kwa mwaka husika.. Haya mambo hayana B wala C mbali ni uwekezaji sahihi wakati sahihi na kuomba lady injuries apate hukoooooo

YNWA
 
Kwanini Salah akifanyiwa sub ananuna?
He is just selfish na kuona ana hati miliki ya namba hana kingine na hapo ndio utaona Bobby ni wa tofauti kabisa hata awe on fire kiasi gani akipewa sub ya kutoka boy is all on smiles hana kinyongo anajua target ni moja tu ni mafanikio ya timu ni bora kuliko mafanikio ya individuals accolades...

Salah ana njaa haswa ya kuvuja ma rekodi lakini na yeye akumbuke team harmony is really important, we appreciate him but boy has to appreciate others by showing proper sportmanship...

YNWA
 
Anakera sana huyu naye kila siku anataka kufunga magoli ya ku curve tu . bora Dogo Elliot na yeye awe anapewa hata dk 20 au 15.. 🤣🤣🤣
Tena msimu ujao akumbali tu lazima Klopp afanye proper management ya playing time yake maan he is on th other side of 30 thus managing his minutes to get th best out of him will be crucial.

YNWA
 
He is just selfish na kuona ana hati miliki ya namba hana kingine na hapo ndio utaona Bobby ni wa tofauti kabisa hata awe on fire kiasi gani akipewa sub ya kutoka boy is all on smiles hana kinyongo anajua target ni moja tu ni mafanikio ya timu ni bora kuliko mafanikio ya individuals accolades...

Salah ana njaa haswa ya kuvuja ma rekodi lakini na yeye akumbuke team harmony is really important, we appreciate him but boy has to appreciate others by showing proper sportmanship...

YNWA
Kabisa
Jamaa ni mbinafsi sana.

Amenikera,Nimeangalia marudio ya mechi hapa nikatamani nimuwashe mabao,,,
Anampa mkono mwenzie kishingo upande.

Ajirekebishe aisee, huu ubinafsi wake ndo kikwazo kwake.

Ajifunze kwa wenzie.,kwenye timu hayupo pekeyake.
 
Tena msimu ujao akumbali tu lazima Klopp afanye proper management ya playing time yake maan he is on th other side of 30 thus managing his minutes to get th best out of him will be crucial.

YNWA
Ikiwezekana aanzie benchi mfululizo akili imkae sawa.
Tuna damu changa,Akina Elliot ,Gakpo,mdogo wako pendwa, wote hawa wanahitaji kucheza.

Anataka acheze yeye tu mwanzo mwisho
Klopp naye amezidi kumuogopa hadi jamaa anaona namba ya kucheza mwanzo mwisho ni yake.
 
Ikiwezekana aanzie benchi mfululizo akili imkae sawa.
Tuna damu changa,Akina Elliot ,Gakpo,mdogo wako pendwa, wote hawa wanahitaji kucheza.

Anataka acheze yeye tu mwanzo mwisho
Klopp naye amezidi kumuogopa hadi jamaa anaona namba ya kucheza mwanzo mwisho ni yake.
Salah ana goli 19 ..
Kila mwaka anafunga goli kuanzia 20...
Zimebaki mechi 2..lazima anune ... anataka goli 20 Kwa season ...by minimum...
 
There's something that the kop wants you to know
The best in the world his name is
Bobby Firmino
Our number nine
Give him the ball and he'll score everytime
Si Señor
Pass the ball to Bobby and he'll score

Bobby will always live free rent in my head
 
There's something that the kop wants you to know
The best in the world his name is
Bobby Firmino
Our number nine
Give him the ball and he'll score everytime
Si Señor
Pass the ball to Bobby and he'll score

Bobby will always live free rent in my head

Juzi baada ya mechi vs leicester walimwimba bobby almost 15 min

Liverpool ni mashabiki kweli kweli, its a family
 
Real Madrid were so easy to be scored Uefa mwaka jana kilichotusumbua Ni kitu kimoja

How klopp reacted with losing to them

Alienda na same tactics over and over
Madrid kawagonga final mbili daaa ...

Pep tu baada ya ile semi final alirudi maabara akachanganya salphric acid +Carlo ancelotic acid plus litimus pepar akagundua yule Carlo alibahatisha ..

This time tumemkanda goli 4 ....

Sasa mnagongwa na Madrid back to back kama kuku ...klopp hana mbinu mbadala aisee
 
Madrid kawagonga final mbili daaa ...

Pep tu baada ya ile semi final alirudi maabara akachanganya salphric acid +Carlo ancelotic acid plus litimus pepar akagundua yule Carlo alibahatisha ..

This time tumemkanda goli 4 ....

Sasa mnagongwa na Madrid back to back kama kuku ...klopp hana mbinu mbadala aisee
ukweli mkuu klopp mbele ya real Madrid miaka ya hivi karibun amekua hapat matokeo mazurii kabisa wanapokutana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom