Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,103
- 6,698
Milner hajafunga??
Milner hajafunga??
Je Henderson hajafunga pia ??




Tukishinda mechi zote..?? Wakati umebakiza mechi moja tu eplLiverpool tukishinda mechi zote na MANCHESTER United wakafungwa zote tunafuzu

Nyie mpo UEFA?Matakataka mushakosa UEFA. Nyie munatofauti gani na sisi![]()
Khaa😂Matakataka mushakosa UEFA. Nyie munatofauti gani na sisi😂😂😂😂
Lakini hamuchezi UEFA😂😂😂😂😂Khaa😂
Litimu limetumbukia huko kwenye namba kumi naa na likesajili kila aina ya wachezaji na likafeli
Unalibganisha na timu yetu?
Ha Hahaha nimepata mrisi aise 😂😂🤣🤣🤣Liverpool tukishinda mechi zote na MANCHESTER United wakafungwa zote tunafuzu
Sisi tupo EPL tu 😂😂😂😂🤣🤣Nyie mpo UEFA?
Nsamehe nchumbaHaufananii kuwa na hizi hasira![]()
KwendaLakini hamuchezi UEFA
Ilo ndio la kuangalia

Mi nakupenda nchumba


I love you more kijana mzuriMi nakupenda nchumba![]()