Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Trent wetu
Nyie huyu mtoto anajua

Magoli ya design hii anayapatia sana
Goli la kunywea chai hili
 
Kwanini Salah akifanyiwa sub ananuna?

Slaha hanuni yupo hivo hivo tu..!!! Katazame mechi anazotolewa hasa z msimu huu. Ndivyo alivyo japo alikuwa na hali ya kununa. Hii ni kawaida kwa mastaa wengi hasa akiona ana uwezo wa kufanya zaidi. Kamuangalie vs City utaoana.

Facial expression yake mostly huaa hivyo. Tusimuhukumu saaaana
Our EGYPTIAN KING.

Timi mbovu ndio ila number za Salah kwa timu mbovu hii zinatisha.

YNWA
 
Slaha hanuni yupo hivo hivo tu..!!! Katazame mechi anazotolewa hasa z msimu huu. Ndivyo alivyo japo alikuwa na hali ya kununa. Hii ni kawaida kwa mastaa wengi hasa akiona ana uwezo wa kufanya zaidi. Kamuangalie vs City utaoana.

Facial expression yake mostly huaa hivyo. Tusimuhukumu saaaana
Our EGYPTIAN KING.

Timi mbovu ndio ila number za Salah kwa timu mbovu hii zinatisha.

YNWA
Hata kama namba zinatisha bado siyo sababu ya yeye kununa.

Ndiyo anafanya vizuri lakini asijione yeye ni special kuliko wengine wote.
 
Game ya Brentford na game ya Fulham yeye ndio kaiokoa Liver, vinginevyo hata hiyo miujiza ya Top 4 mgekuwa mmeshaacha kuifkiria.
 
#MICHEZO Kocha wa Aston Villa Unai Emery amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi April wa EPL. Unai amewashinda Pep Guardiola wa Man city, Roy Hodgson wa Crystal Palace, Eddie Howe wa Newcastle United na Gary O’Neil wa FC Bournemouth.

#EPL #UnaiEmery #AstonVilla


Unai apewe pongezi aisee
 
Yani FSG wamearibu Mpaka akili za mashabiki wanaona kutoa na hela ni nyingi kama wanatoa wao

Kweli FSG out.
😂 😂 😂 😂 😂 Mtuache yaaani Kipara kapata sana mteremko kisa tu uwekezaji mahususi hauji wakati sahihi...
Hua namtaja Kipara kwa kua he is the real deal hapa EPL aisee wale ndio mark up.. Tazama usajili wao ulivyo wa kimkakati wakati huku tunajazana kutoa mikataba kwa wazee yaaani...

FSG hawana pa kujificha tena aidha watoe pesa ama Klopp atimkie zake Real Madrid...

YNWA
 
#MICHEZO Kocha wa Aston Villa Unai Emery amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi April wa EPL. Unai amewashinda Pep Guardiola wa Man city, Roy Hodgson wa Crystal Palace, Eddie Howe wa Newcastle United na Gary O’Neil wa FC Bournemouth.

#EPL #UnaiEmery #AstonVilla


Unai apewe pongezi aisee
Ndio Jumamosi wapo Anfield 🤓🤓🤓.

Kazi ipo.


YNWA
 
Naiona top 4 Liverpool

Kuna mechi hizi 2 zitaamua nan aende

Newcastle vs Brighton

Manchester United vs Chelsea

Hapo kuna mbulula mmoja kat ya man u au Newcastle lazma apoteze point 3 au 2 wakat huohuo sisi tukishinda game ZOTE 2
Chelsea ipi hii hii kikosi anapanga Todd Boehly au ipi.

Nwa ngoja tuone EPL hua haishi msisismko.

Japo binafsi sina kabisa hope ya Big 4.

YNWA
 
😂 😂 😂 😂 😂 Mtuache yaaani Kipara kapata sana mteremko kisa tu uwekezaji mahususi hauji wakati sahihi...
Hua namtaja Kipara kwa kua he is the real deal hapa EPL aisee wale ndio mark up.. Tazama usajili wao ulivyo wa kimkakati wakati huku tunajazana kutoa mikataba kwa wazee yaaani...

FSG hawana pa kujificha tena aidha watoe pesa ama Klopp atimkie zake Real Madrid...

YNWA
Kipara ana ishi luxury life pale kwenye ligi ya EPL hakuna kocha yoyote anaishi luxury life kama Kipara, kwa sababu ana resources zote yaani asipocheza De Bruyne ataingia Gundogan, na aAsipocheza Mahrez atacheza Foden/ Grealish sasa hebu njoo kwetu hivi Klopp anaweza kumuweka Salah nje tu bila sababu? au Pale Spurs Harry Kane anaweza akawekwa benchi bila sababu?? Yes Kipara ana luxury life kuliko Manager yeyote pale EPL 🤣 🤣 🤣 🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom