Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa ushindi gani hasa tunaoupata?

Kweli hauoni zuri lolote??
Kawaulize chesiii kufungwa kunafananaje.!!

Mara ya mwisho tumefungwa na city 1/4 . Unaitedi wana msimu bora toka 2012/2013 kwa mujibu wa mashabiki wao, je unajua wametuacha points ngapi ? Ambao tuna msimu mbovu toka Klopp aje?

Its four beibi wakiwa na kiporo chao. Kuna dalili ile 7-0 ikaleta mantiki sasa. Wakizuba sisi waleeeee
 
Watu wanambeza Sana Dogo Ila ukicheki movements zake wakati wa kushambulia Dogo ni hatari Sana kama atapewa muda wa kuadopt Mfumo.

Kwanza anatakiwa afanyie kazi first touches zake na 1v1 na golie vinamtesa.

Kuna kipindi Salah alikuwa na poor first touch even 1v1 vs golie baada ya ile injury yake. Msimu juzi, jana na huu amebadilika sana. Kwanza hawazi kufunga tu mwepesi wa kujua wapi pa pasi wapi nipige.
Hata Nunez under Klopp najua atang’aa sana. Tusubiri next season tupate usajili wa maana kwanza

YNWA
 
Screenshot_20230504_231536.jpg


Duuu Milner mzee wa rekodi😃😃haijalishi pale Brighton panamfaa.

YNWA
 
Screenshot_20230504_230929.jpg


Klopp new Bellingham aisee kumbe tulikua nae muda tu lakini Klopp hakutaka kufuata ushauri wa Gareth Southgate ambae hili aliliona mapema sana na kutoa ushauri kwamba dogo huyu panamfaa zaidi MF kama kawaida Klopp hapangiwi aliruka mita 100 kukataa huo ushauri akasubiri tusahau na huyu sasa anamtumia kati kati zaidi...

YNWA
 
View attachment 2610441

Klopp new Bellingham aisee kumbe tulikua nae muda tu lakini Klopp hakutaka kufuata ushauri wa Gareth Southgate ambae hili aliliona mapema sana na kutoa ushauri kwamba dogo huyu panamfaa zaidi MF kama kawaida Klopp hapangiwi aliruka mita 100 kukataa huo ushauri akasubiri tusahau na huyu sasa anamtumia kati kati zaidi...

YNWA
Juzi thidi ya Fulham kanipigia kajichenga fulani hivi nkaangalia vizuri kama ni yeye au Firminho?
 
View attachment 2610441

Klopp new Bellingham aisee kumbe tulikua nae muda tu lakini Klopp hakutaka kufuata ushauri wa Gareth Southgate ambae hili aliliona mapema sana na kutoa ushauri kwamba dogo huyu panamfaa zaidi MF kama kawaida Klopp hapangiwi aliruka mita 100 kukataa huo ushauri akasubiri tusahau na huyu sasa anamtumia kati kati zaidi...

YNWA

What i like from Jurgen hafanyi maamuzi kusikiliza raia wema mnasemaje.

Mwamba alibishana na dunia ya mpira haitaji usajili anaamini katika mazoezi. Akapasuka
FA final
Akapasuka
Europa final
Akapasuka
CL final 2016-2018. Akaona eh.! Kwani kula maneno yangu shingapi bana.!? Argh kwanza wameshasahau. Akaingia sokoni akafanakiwa.

Ikaja kipindi ya injury crisis dunia ya mpira inamuambia Jurgen baba una natural CB’s Rhys William na Nath Philips watumie hao watakuvusha, ili uongeze idadi ya viungo ambao unawachezaji CB’s warudi MF,

Mjerumani yule akakomaa Hendo & Fabi as CB’s huku viungo hana. Zimebaki mechi tano hivi ligi kumalizika akayatii maneno ya wakulungwa, then BOOM akapata top four spot kwa mbiiiiiiiinde mwishoni kabisa.

Bwana Germany Nazi haishiwi misimamo inayomtafuna. Back days dunia ya mpira ikamwambia TAA is no more a defensive player. Unampanga tu ila kimajukumu waaaala unamuonea mjukuu wa malkia. Mwamba akaendelea alipoishia 2021.

Wamemkoboa weeee hatimaye amekubali yaishe. Scouser embu njoo kichafue Central MF tuone. Naona anamvua nguo karibu kila mechi.

Huyo ndio Klopp na maamuzi yake. Hapangiwi. Akiamua anampa Keita na Ox new contract na hafanywi ng’we na mtu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom