Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
😂 😂 😂 King ebu tupe dodoo za usajili maana sio kwa imani hii.Hili halina ubishi yani andaa Tiketi na Scarf yako mapema tu
YNWA
😂 😂 😂 King ebu tupe dodoo za usajili maana sio kwa imani hii.Hili halina ubishi yani andaa Tiketi na Scarf yako mapema tu
Usajili wao haukusaidia popote kwenye malengo zaidi ya wao kufaidika na wages.Melo na kabak sio buy mzee
Jude is white next season... Yaaani FSG watoe zaidi ya £120m kwa mchezaji mmoja wakati timu inahitaji wachezaji wanne hivi... Kwa huyu dogo nasimama na FSG 🙆🏿🙆🏿 hakuna haja ya usajili mmoja aafu tubaki na akina Milner, Keita, Ox nk.... Bora ku spread hio bei yake kwa kununua angalau MF wawili...Nimesikia Madrid wako tayari kumuachia Tchoumeni pia
😂 😂 😂 King ebu tupe dodoo za usajili maana sio kwa imani hii.
YNWA
FSG ubahiri wao na Klopp kutokua demanding anasusa tu kisa eti hua halii kwa kukosa jambo fulani...Moja ya mechi chungu sana kwa Liverpool ni ile.
Tungejua kupambana kuchukua ubingwa wa epl hii ni misimu we were very close to be crowned.
2008/2009
2013/2014
2018/2019
2021/2022
YNWA
Yeah hawa Waingereza bhana media hua zinawakuza sana kuliko na hio hua inapelekea bei zai kupanda mara dufu.... Kwa kua Klopp kakiri mwenyewe yupo sokoni kuimarisha kikosi dirisha hili basi tuwe na imani kwamba atapewa sapoti mapema bila tena kusubiri mpaka dakika za mwisho apewe Melo mwingine itajua aibu ya karne.Kuna Midfielder 1 au 2 za uhakika zinakuja na sio lazima awe Jude kwanza sijawahi kuwa na Imani na hawa British players siku zote huwa overhyped kama walivyokuwa kina Sancho, Madison, Maguire, Grealish halafu ukiwatazama ni wa kawaida tu.
Tutaleta Mido ya uhakika
Hatuingii top four.... Brighton akikaza anamalizia wa tano.....
Huu ni uongo
Nani humu yuko na 46 yrs kama mimi?


umelewa na ushindi sio bureKwa ushindi gani hasa tunaoupata?umelewa na ushindi sio bure
Watu wanambeza Sana Dogo Ila ukicheki movements zake wakati wa kushambulia Dogo ni hatari Sana kama atapewa muda wa kuadopt Mfumo.
Huyo Bellingham anayepeperushwa na press za England hata simwamini kama wa hadhi hiyo. Ngoja muda utaongea.Yeah hawa Waingereza bhana media hua zinawakuza sana kuliko na hio hua inapelekea bei zai kupanda mara dufu.... Kwa kua Klopp kakiri mwenyewe yupo sokoni kuimarisha kikosi dirisha hili basi tuwe na imani kwamba atapewa sapoti mapema bila tena kusubiri mpaka dakika za mwisho apewe Melo mwingine itajua aibu ya karne.
Tunahitaji all round MF ili pale Fabinho amepoa basi yupo like for like kumsaidia na pia tunahitaji dynamic 8 atengeze pasi kama za KDB ili kupata njia mpya za magoli tofauti na sasa ni LB na RB wanatoa sana assist na mpaka sasa hoi kwa kua tushajuliwa... Kingine VVD sio tena yuleee anahitaji msaada kwa kuletewa usajili mpya wa kucheza nae CBL. Na RB lazima Klopp aingie sokoni Trent hawezi kushambulia na ku defense kwa wakati mmoja amekua exposed sana msimu huu japo naona hili Klopp analifanyia majaribio kwa sasa.
Hayo yakifanyika tutakua salama.
YNWA
Hata Zambo Anguissa anaweza akawa Bora kuliko huyo Jude ni basi tuKuna Midfielder 1 au 2 za uhakika zinakuja na sio lazima awe Jude kwanza sijawahi kuwa na Imani na hawa British players siku zote huwa overhyped kama walivyokuwa kina Sancho, Madison, Maguire, Grealish halafu ukiwatazama ni wa kawaida tu.
Tutaleta Mido ya uhakika
Embu tuamkie uncle zako usipate radhi.Huu ni uongo😁
Nani humu yuko na 46 yrs kama mimi?
View attachment 2609566
Mambo yanaanza kimya kimya huko.
Awahiwe kabla ya bei haijachangamka.
Tukamchukue Rabiot & Tielemans as free agents. Rabiot (27 years) Tielemans (25 years). Both are Versatile MF.
YNWA