

Kuwaondoa hawa wa tatu ni big achievement kwetu.😂 😂 😂 😂 Milner hana mkataba mkuu ikifika 30th June 2023 yupo free kusepa pamoja na Firmino, Ox, Kieta na Philips.Mahesabu ya Brighton sijayaelewa...
Watuuzie Macalister...tuwauzie Milner??
Next level old school... Sijui Saint Anne wakati twavaa hizi checked troza ulikua hata shule umeanza kweli 😂😂😂😂Uzi next season View attachment 2610937
Kumpa Ox, Milner na Kieta mikataba mipya ni suicidal kwa Klopp kama kweli yeye kidume kweli cha huko kwao adhubutu kuwapa kama hajawa nafasi ya 18 mpaka January na huyooo atatemwa usidhani FSG wana kifua kuvumilia kua nje ya kutocheza Champions League misimu miwili mfululizo aisee... Klopp kinacombeba ni historia tu lakini sio haya ya sasa... He is lucky kuileta ile EPL trophy otherwise hatuna muda nae tena mwingine wa majaribu. We need changes.. Milner, Ox, Matip, Keita out out...What i like from Jurgen hafanyi maamuzi kusikiliza raia wema mnasemaje.
Mwamba alibishana na dunia ya mpira haitaji usajili anaamini katika mazoezi. Akapasuka
FA final
Akapasuka
Europa final
Akapasuka
CL final 2016-2018. Akaona eh.! Kwani kula maneno yangu shingapi bana.!? Argh kwanza wameshasahau. Akaingia sokoni akafanakiwa.
Ikaja kipindi ya injury crisis dunia ya mpira inamuambia Jurgen baba una natural CB’s Rhys William na Nath Philips watumie hao watakuvusha, ili uongeze idadi ya viungo ambao unawachezaji CB’s warudi MF,
Mjerumani yule akakomaa Hendo & Fabi as CB’s huku viungo hana. Zimebaki mechi tano hivi ligi kumalizika akayatii maneno ya wakulungwa, then BOOM akapata top four spot kwa mbiiiiiiiinde mwishoni kabisa.
Bwana Germany Nazi haishiwi misimamo inayomtafuna. Back days dunia ya mpira ikamwambia TAA is no more a defensive player. Unampanga tu ila kimajukumu waaaala unamuonea mjukuu wa malkia. Mwamba akaendelea alipoishia 2021.
Wamemkoboa weeee hatimaye amekubali yaishe. Scouser embu njoo kichafue Central MF tuone. Naona anamvua nguo karibu kila mechi.
Huyo ndio Klopp na maamuzi yake. Hapangiwi. Akiamua anampa Keita na Ox new contract na hafanywi ng’we na mtu.
Khaaa🤣🤣Next level old school... Sijui Saint Anne wakati twavaa hizi checked troza ulikua hata shule umeanza kweli 😂😂😂😂
YNWA
Kumpa Ox, Milner na Kieta mikataba mipya ni suicidal kwa Klopp kama kweli yeye kidume kweli cha huko kwao adhubutu kuwapa kama hajawa nafasi ya 18 mpaka January na huyooo atatemwa usidhani FSG wana kifua kuvumilia kua nje ya kutocheza Champions League misimu miwili mfululizo aisee... Klopp kinacombeba ni historia tu lakini sio haya ya sasa... He is lucky kuileta ile EPL trophy otherwise hatuna muda nae tena mwingine wa majaribu. We need changes.. Milner, Ox, Matip, Keita out out...
YNWA
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 CHEERS 🥂 KWA WARD KUTOKUMBALI HUYU BABU KAKAKE Saint Anne apewe mkataba mpyaaaaa...Milner tayari mkuuView attachment 2611130Ox na Keita nao bye bye hawana chao tena pale Anfield.
Milner ni vile injury free na utimamu wake wa akili umempatia dili huko Brighton.
Ox atabaki kwao England but Keita namuona akienda Italy
Rebuild imeanza mapema sana.
Klopp ametupa taulo
YNWA.
😂 😂 😂 😂 Kushindwa kumjua record scorer wa Kop End nilijua wewe ni wale wa kupimwa kwenye mzani ebu tuliaaa🤓🤓🤓🤓🤓Khaaa🤣🤣
Hebu kuwa na adabu, age yangu imeenda sana
Enzi hizo nilikuwa binti wa mid 20😂
Kwa mbali naiona dinner 😋😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 CHEERS 🥂 KWA WARD KUTOKUMBALI HUYU BABU KAKAKE Saint Anne apewe mkataba mpyaaaaa...
Hii ishu ilitakiwa awe ameshasepa tangu 2020 sijui wamechelewa wapeee maana angesepa 2020 basi hii 2023 angesepa dogo Henderson lakini duh naona bado tunae.
Am happy at least sitamuona huyu babu tena na uzi wa Real Reds next season...
Klopp shame on you kwa kung'ang'ania ma dead woods.
Ila Brighton bhana wakamchukua Lallana, Welbeck na sasa Milner, je hii ni home grown players ishu ama namna gani.
YNWA
Hebu niache🤣😂 😂 😂 😂 Kushindwa kumjua record scorer wa Kop End nilijua wewe ni wale wa kupimwa kwenye mzani ebu tuliaaa🤓🤓🤓🤓🤓
YNWA
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Lol haya. Angalau ulichagua timu sahihi ya kushabikia kuja kwa Majogoo Wakali wa Jiji.Hebu niache🤣
Miaka ya 70 kule kwetu hata umeme wa solar haukuwepo,
Magazeti yanakuja kwa tabu
Ila nilikuwa tayari kijana mkubwa damu inachemka😁
Naona babu kule Kyela ameshaanza kazi na one man down one to go🤣🤣🤣😏😏😏😏Kwa mbali naiona dinner 😋
Ahadi ni deni
Mkeka umetickNaona babu kule Kyela ameshaanza kazi na one man down one to go🤣🤣🤣😏😏😏😏
YNWA