Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

together
Im comfortable with Europe. Hii njia inaweza leta quadruple (im dreaming)

Saint Anne anataka tufungwe. Gari limewaka hili. Tunashinda zote zilizobaki. Japo timu yenyewe inaweza kukupa presha usiyoitarajia
Klopp ana nyota kali sana, penye hamna yeye ndio pananjia.
Tufungwe tu hakuna namna
Ni katika harakati za wale maboss walafi kujifunza adabu
 
Hapo kasoro Salah na Alison tu, wengine dk 45 kurudi chini zinawatosha.

Klopp akiharibu anaharibu kweli na akipatia mnasahau yooooote
Say that to Klopp 😂😂😂yeye ana waona kama miracle workers kumbe they are past thier prime they need supplement ya damu changa angalau below 27yrs hivi kama Caicedo, Rise, Barella nk waja kuwapa a shot in the arm ili timu irudishe competitive edge.

Nimekua nikimfuatilia Rise wa Westham dogo is moulding himself as a big game player anatufaa kama bei rafiki. Pamoja na usajili kuhitajika we need elite players wa ku decide big games. Someone like Barella or Rise.

YNWA
 
Ila kununua kama Chelsea bila kuzingatia uwiano wa mahitaji nako ni tatizo kubwa sana aisee.

Klopp tangu atue Liverpool kwenye usajili nampa 8 out 10. Ukiachana na hawa last minute panick buy kama Kabak, Melo nk na ukiachana Keita, Thiago, Ox.. Kwingine amejitahidi sana kupata value for money kwa mfano kwa Robertson kwa £8m, Salah £36m, Mane 34m, Jota £40m, Matip free, Gini £25m, nk nk... Hivyo utaona amepata maximum returns kwa hawa wachezaji wake in terms of trophies won na kukuza brand ya Liverpool.

Sasa ndio nashangaa sana FSG hua tunaangalia mechi sawa? Maana mahitaji ya Liverpool yapo wazi wazi tuna pedestrian Midfield na tuna over played back line bila back up ya maana kwa misimu mingi tu na wao wapo wametulia tuli. Kuumia kwa VVD msimu ule ilikua wake call kwa kufanya extensive search ya CM na CBL wenye umri wa chini waje wawe under study ya hawa wakongwe. Lakini kwa kuishi kwa kukopi yamewakuta sasa.

YNWA
Melo na kabak sio buy mzee
 
Say that to Klopp yeye ana waona kama miracle workers kumbe they are past thier prime they need supplement ya damu changa angalau below 27yrs hivi kama Caicedo, Rise, Barella nk waja kuwapa a shot in the arm ili timu irudishe competitive edge.

Nimekua nikimfuatilia Rise wa Westham dogo is moulding himself as a big game player anatufaa kama bei rafiki. Pamoja na usajili kuhitajika we need elite players wa ku decide big games. Someone like Barella or Rise.

YNWA

Yeah..!! Nafikiri kati ya Carragher au Neville walisema kwa kipindi kirefu kudogo walikosa players aina ya Jude and Rice.

Yes Rice mzuri akizungukwa na good players na mbinu murua za mwl.

Nunes
Barella
Rice
Caicedo

Hawa na makamanda kabisa wanamfaa Klopp.
 
ded42088-40f9-4f9c-a625-7a38ec623559.jpg

Fsg wajiandae huu ni mwiba mchungu kwao. Hii taarifa Liverpool echo hawakubaliani nayo.
Watasakamwa na Top reds

YNWA

WHERE is brother MosDef tupate andiko kutoka kwake kidogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom