Huyu Mwingeleza naona anakuwa hyped tu ila sijawahi ona la maana uwanjani.Bellingham deal
Flopped
Milner Ox na Henderson wanatosha pale katiBellingham deal
Flopped
FSG took Klopp for a joy ride haha. Like serious FSG hawa hawa watoe 300m sokoni dhubutu. Hakika tujiadae kwa kusubiri ubingwa mwingine 2031 kama FSG hawatauza portion ya timu au mazima wauze yote basi huu ni mwanzo tu. Klopp kashashtuka mapema kaanza kumtumia Trent invented Right Midfield kwa kua sasa ni dhahiri hio June atapewa kiduchu sana.Bellingham deal
Flopped
Inakua aje mbona wengi wanasema ndio pengo lake Mane limesababisha yote haya tunayopitia sasa.LFC ilishtuka mapema sana kumuachia Mane.
UKweli kabisa MANE NI FLOPA kwasasa.
😂😂😂😂Hivi huyu Bald Baddest Samba Boy unasema aje tumtoe kwa Real Madrid ama abakie kama Milner.Toka timu yake ya taifa anakosa penati muhimu
Aendelee tu kutufungia magoli yasiyo ya penati.
Kwenye penati namuamini sana bald head Fabinho.
Conor Ghallagher ndio level yenu wazee, Belligham ni superstar Wakati Liverpool ni chama la mahustler, Marastafari kina King ngwaba [emoji3]FSG took Klopp for a joy ride haha. Like serious FSG hawa hawa watoe 300m sokoni dhubutu. Hakika tujiadae kwa kusubiri ubingwa mwingine 2031 kama FSG hawatauza portion ya timu au mazima wauze yote basi huu ni mwanzo tu. Klopp kashashtuka mapema kaanza kumtumia Trent invented Right Midfield kwa kua sasa ni dhahiri hio June atapewa kiduchu sana.
Belligham binafsi sijawai kua convinced na bei yake kua ana deserve zaidi ya £70m sababu kwangu ni bora Barela wa Inter au Pellegrin wa Roma na chini ya hio bei with loads of experience.
Muda utasema kama kweli hii tactic ya kumshusha bei ama kweli Klopp kaodoka mazima mpango wa Bellingham.
YNWA
alison kutoa pasi2 awezi sembuse kupiga penatBasi tumpe Allison jembe.
YNWA
Ila man unazingua kinoma, basi hujui......Milner aongezewe mkataba wa maisha [emoji1478]
Ni kiongozi na mtaalamu wa kupiga penati
Oyaaaaa, jiheshimu basi..Naona mnataka kupora haki ya Milner na Ox kupiga penati matata kama za Luis figo
Assist aote VVD halafu klopp aendoke kweli? [emoji23][emoji23]
Hiyo Bellingham ni wa kumlipa kwa installments tuFSG took Klopp for a joy ride haha. Like serious FSG hawa hawa watoe 300m sokoni dhubutu. Hakika tujiadae kwa kusubiri ubingwa mwingine 2031 kama FSG hawatauza portion ya timu au mazima wauze yote basi huu ni mwanzo tu. Klopp kashashtuka mapema kaanza kumtumia Trent invented Right Midfield kwa kua sasa ni dhahiri hio June atapewa kiduchu sana.
Belligham binafsi sijawai kua convinced na bei yake kua ana deserve zaidi ya £70m sababu kwangu ni bora Barela wa Inter au Pellegrin wa Roma na chini ya hio bei with loads of experience.
Muda utasema kama kweli hii tactic ya kumshusha bei ama kweli Klopp kaodoka mazima mpango wa Bellingham.
YNWA
😂 😂 😂 😂 Muache King Ngwaba yupo likizo mpaka msimu wa 2023 2024 ndio atarejea mubashara jukwaani.Conor Ghallagher ndio level yenu wazee, Belligham ni superstar Wakati Liverpool ni chama la mahustler, Marastafari kina King ngwaba![]()
😂 😂 😂 😂 Sancho anakula £300k kwa wiki hivi aafu tazama hakuna impact awepo na asiwepo yaaani...Hiyo Bellingham ni wa kumlipa kwa installments tu
Waingereza hawaaminiki ref, case ya Sancho na mifano mingine mingi
Mimi nachohitaji ni fresh legs tu za kutosha wanaweza kuingia kwenye mifumo
Na mifumo ikikubali, mzee 😂😂😂 watu watakula Sana chuma
Kwann unataka kupora haki ya Milner na OxOyaaaaa, jiheshimu basi..
Nenda jukwa lenu huko.....acha masimango
FSG mitano tena hakuna haja ya usajiri mpyaNdugu yangu ndo kuchanganyikiwa huko....hakuna anaependa matokeo mabaya....ile game dakika 30 zilichanganya sana.....
Lakini bado kama Hawa wapumbavu FSG wasipobadilika lazima Klop Out iwe #