Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Spoils shared. Hongereni Liverpool. Sisi tunapaswa kuendelea kupmbana tuone mwisho wake. Nyie njooni mumtoe nyumbu pale nafasi ya nne Ili akiingia champions league iwe ni kwa kubebwa europa
 
"Trent has just not improved defensively but other traits.. Yaani defense inamwangusha Sana mwanangu ila vitu vingine

Ana dribble, passing abilities sio za nchi hii
Na kwa nini mchezaji kama huyu asihamishiwe kwenye midfield?Mid yenye Tiago,fabinho na TAA kwa nini isiwe ndo trio yetu for the time being?Huko full back acheze Gomez...Ifike mahali Trent achukue namba na kitambaa cha hendo permanently
 
Na kwa nini mchezaji kama huyu asihamishiwe kwenye midfield?Mid yenye Tiago,fabinho na TAA kwa nini isiwe ndo trio yetu for the time being?Huko full back acheze Gomez...Ifike mahali Trent achukue namba na kitambaa cha hendo permanently
Upo sahihi na klopp kaliongelea hilo
 
uzuri ii timu ni mbovu ila inajua kunyamazisha washabiki wenye midomo[emoji111][emoji109]
20220612_232011.jpg
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Je Salah aliekosa penati inakua aje.

Tuna msimu mbaya sana huo ndio ukweli hakuna cha yule wala huyu.l wote kasoro Alisson hakuna mwenye afadhali

YNWA
Nimeshangaa jamaa kuachiwa tena Penati wakati mechi tu iliyopita ametuchomesha hivihivi

Mara mia awe anaachiwa Fabinho..
Kwanza mechi za Penati ndio huwa nauona umuhimu wa Milner.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom