Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huyo biligamu hana nafasi
Henderson
Ox mtaalumu
Milner wanatosha hakuna sababu ya usajiri mwingine
 
Screenshot_20230412_225723.jpg

Duuh Mane ni kama kuna tatizo kubwa sana alipo nwa hope ni mapito tu....

Mpaka anamtia za uso Sane lazima atakua kammdiss vimbaya sana kwa kua Mane hua ni mpenda amani.

YNWA
 
Screenshot_20230412_231324_com.android.chrome~2.jpg


🤣 🤣 🤣 Nyie haya.

Tetesi ni kwamba Klopp anakwenda mazima kwa
Declan Rice wa Westham
Mount wa Chelsea
Caiceido wa Brighton
Nunes wa Wolverhampton
Barella wa Inter Milan.
Teun Koopmeiners wa Atalanta

Muda utasema

YNWA
 
Kuna makubwa jinga yanasulubiwa huko na Ostaz Benzema
Walisema wao wanamchapa Madrid nje ndani,sisi wabovu tumeshindwa.

Bangi ni mbaya jamaa yangu OllaChuga Oc
 
Ila man unazingua kinoma, basi hujui......

Ungejua vile simpend Babu Milner na huyo Henderson usingekaa unatusimanga kila mara Milner hivi Milner vile
Sasa taarifa zinasema hamna mpango na Jude kwanini Milner asiongezewe mkataba wa miaka mitano mingine?
 
Liverpool ni moja ya vilabu vinaisubiri summer hasa zaidi mashabiki na wanachama wake.

Tetesi ni nyingi na zitakuwepo tu. Ila deal litakaloshangaza ni Madrid kukubali kumuuza tchoumeni kwa LFC, ikiwa ndio msimu wake wa kwanza pale Santiago. Ikumbukwe LFC walikua favorite kuseal deal kabla ya kuwa hijacked na bwana Perez.

Jude (huenda kweli Klopp amelower interest kwa Jude au ni kujaribu kupunguza bei au itategemeana na season imeishaje).

Nunes (huyu alikua heavely linked na lfc kutoka Benfica baadae Klopp akajitoa baada ya kuona wolves wanamtaka (indirect loan [emoji28])). Sasa Klopp amerudi kumuwania tena Nunes (Nunes to Nunez Gooooooooal.!)

Barella tetesi zinaonesha Klopp anamhitaji Barella LFC kufanya nae kazi.

Najua Klopp na ward wana list yao on the table watakaoachwa na wanaofukuziwa.

Kwa vyovyote itakavyokua Mbinu za Klopp bado zitawatesa wengi ikiwa tu atapata fresh legs. Bado Klopp ana mvuto haijalishi atamaliza wapi msimu ila atasajili wachezaji wazuri tu.

Kuna wachezaji wapo njia panda hawajui hatima zao zitakuaje na Klopp amewaacha njia panda makusudi ili wampiganie amalize msimu atleast top six kwa mechi zilizosalia.

Ila ni wazi
Ox
Keita
Adrian
Milner

Hawa ni bye bye…!!!

Kuna
Matip
Jones
Kelleher
Carvalho

Ama (Mkopo au kuuzwa)
Bobby tayari.

Bado mimi ni miongoni mwa ninaomuamini sana Klopp na ataturejesha kwenye ramani ya mpira licha ya misimamo yake inayokera. Kidoooogo ameanza kukubaliana na hali TAA is no more a defender. Ameanza kupunguza loyalty kwa watoto wake pendwa akifanikiwa kuacha baaaaasi watu wataumia.

Msimu mbaya sana huu, bora ule wa 2020/2021 japo nao haukuleta matumaini mpka dakika za mwisho.
YNWA.
 
View attachment 2585853
Duuh Mane ni kama kuna tatizo kubwa sana alipo nwa hope ni mapito tu....

Mpaka anamtia za uso Sane lazima atakua kammdiss vimbaya sana kwa kua Mane hua ni mpenda amani.

YNWA

Klopp anapaswa kupongezwa.
Alijua kudeal na temper ya Mane.

Ile sub alifanyiwa baada ya Salah kumbania pasi akamkwepa Klopp hakutaka hand shake game vs Burnley.

Ile mechi ya 5-0 vs utd Mane alimkataa Klopp kwa kumsusia handshake na hug.

Kwa incident hizi watu walimuona Klopp mjinga badala amwege bench anadharauliwa n.k.

Yalimkuta Nagelsmann dhidi ya Mane.
Juzi yamemkuta Sane dhidi ya Mane.

Mane ni temper hasa kwa baadhi ya maeneo kujizuia as proffesional ni ngumu. Kama Klopp asingedeal naye labda yeye na Salah yangetokea vinginevyo.

Huko Bayern Mane yupo kinyume na matarajio yake especially nafasi ya kucheza. Mane aliamini kuondoka kwa Lewandowski ni fursa kubwa kwake kua regular starter. Mwanzo ilikua hivyo baada ya injury mambo yanamuendea kombo.
 
NEW: In the summer of 2021, some of Liverpool's recruitment team were flagging that the squad was veering away from the 'right football age.’ #lfc [melissa reddy - sky]


They felt blanket new contract extensions were not the best strategy for a spine that had multiple seasons of exacting football taking its toll on their bodies and minds, as per @MelissaReddy_
 
Liverpool ni moja ya vilabu vinaisubiri summer hasa zaidi mashabiki na wanachama wake.

Tetesi ni nyingi na zitakuwepo tu. Ila deal litakaloshangaza ni Madrid kukubali kumuuza tchoumeni kwa LFC, ikiwa ndio msimu wake wa kwanza pale Santiago. Ikumbukwe LFC walikua favorite kuseal deal kabla ya kuwa hijacked na bwana Perez.

Jude (huenda kweli Klopp amelower interest kwa Jude au ni kujaribu kupunguza bei au itategemeana na season imeishaje).

Nunes (huyu alikua heavely linked na lfc kutoka Benfica baadae Klopp akajitoa baada ya kuona wolves wanamtaka (indirect loan [emoji28])). Sasa Klopp amerudi kumuwania tena Nunes (Nunes to Nunez Gooooooooal.!)

Barella tetesi zinaonesha Klopp anamhitaji Barella LFC kufanya nae kazi.

Najua Klopp na ward wana list yao on the table watakaoachwa na wanaofukuziwa.

Kwa vyovyote itakavyokua Mbinu za Klopp bado zitawatesa wengi ikiwa tu atapata fresh legs. Bado Klopp ana mvuto haijalishi atamaliza wapi msimu ila atasajili wachezaji wazuri tu.

Kuna wachezaji wapo njia panda hawajui hatima zao zitakuaje na Klopp amewaacha njia panda makusudi ili wampiganie amalize msimu atleast top six kwa mechi zilizosalia.

Ila ni wazi
Ox
Keita
Adrian
Milner

Hawa ni bye bye…!!!

Kuna
Matip
Jones
Kelleher
Carvalho

Ama (Mkopo au kuuzwa)
Bobby tayari.

Bado mimi ni miongoni mwa ninaomuamini sana Klopp na ataturejesha kwenye ramani ya mpira licha ya misimamo yake inayokera. Kidoooogo ameanza kukubaliana na hali TAA is no more a defender. Ameanza kupunguza loyalty kwa watoto wake pendwa akifanikiwa kuacha baaaaasi watu wataumia.

Msimu mbaya sana huu, bora ule wa 2020/2021 japo nao haukuleta matumaini mpka dakika za mwisho.
YNWA.
Milner bado yupo saana na akistaafu apewe ukocha hapo
 
Klopp anapaswa kupongezwa.
Alijua kudeal na temper ya Mane.

Ile sub alifanyiwa baada ya Salah kumbania pasi akamkwepa Klopp hakutaka hand shake game vs Burnley.

Ile mechi ya 5-0 vs utd Mane alimkataa Klopp kwa kumsusia handshake na hug.

Kwa incident hizi watu walimuona Klopp mjinga badala amwege bench anadharauliwa n.k.

Yalimkuta Nagelsmann dhidi ya Mane.
Juzi yamemkuta Sane dhidi ya Mane.

Mane ni temper hasa kwa baadhi ya maeneo kujizuia as proffesional ni ngumu. Kama Klopp asingedeal naye labda yeye na Salah yangetokea vinginevyo.

Huko Bayern Mane yupo kinyume na matarajio yake especially nafasi ya kucheza. Mane aliamini kuondoka kwa Lewandowski ni fursa kubwa kwake kua regular starter. Mwanzo ilikua hivyo baada ya injury mambo yanamuendea kombo.
Mbona hata Salah huwa ananuna sana tu.
Tusimuonee Mane,,lazima alikorofishwa kiasi cha kushindwa kuzuia hasira yake.
Mane ni mtu poa sana.
 
Klopp anapaswa kupongezwa.
Alijua kudeal na temper ya Mane.

Ile sub alifanyiwa baada ya Salah kumbania pasi akamkwepa Klopp hakutaka hand shake game vs Burnley.

Ile mechi ya 5-0 vs utd Mane alimkataa Klopp kwa kumsusia handshake na hug.

Kwa incident hizi watu walimuona Klopp mjinga badala amwege bench anadharauliwa n.k.

Yalimkuta Nagelsmann dhidi ya Mane.
Juzi yamemkuta Sane dhidi ya Mane.

Mane ni temper hasa kwa baadhi ya maeneo kujizuia as proffesional ni ngumu. Kama Klopp asingedeal naye labda yeye na Salah yangetokea vinginevyo.

Huko Bayern Mane yupo kinyume na matarajio yake especially nafasi ya kucheza. Mane aliamini kuondoka kwa Lewandowski ni fursa kubwa kwake kua regular starter. Mwanzo ilikua hivyo baada ya injury mambo yanamuendea kombo.
Klopp always act like an Italian godfather to this bunch of kids...

Lets hope issue of Mane and Sane will be sorted amicably.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom