Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kuhusu kila mtu ashinde mechi zake wala sio shida ndio maana jana tumetoa kichapo.
Arsenal tuna mechi nae ambayo tutampiga pia wala haina ubishi, zitabaki point 2 (kiporo tutashinda pia) hapo tunakua tumesha play part yetu.
Hizo point 2 tunahitaji msaada nje ya etihad na msaada huo unaanza leo.

YNWA
[emoji1787]
 
Wanangu wa liverpool ndio huyu VVD mlikuwa mkituambia wakina

John Terry
Nemanja Vidic
Rio Ferdinand

Hiyo miamba Inasubiri?

Kacheza misimu mitatu tu kwisha habari yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom