Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,460
- 32,906
🤣 🤣 🤣 🤣 We are back but to no where....
YNWA
Maisha haya 🤣🤣🤣🤣🤣
Spare my ribs 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💔
Pengo lake libaki tu wazi🤣🤣🤣Duh Saint Anne mmefikia huku mnataka kumvunja milner mguu hafu nani hataziba pengo lake.View attachment 2574147
Unajua ingekua usajili ndio ushindi mpaka sasa Chelsea wangeshatangaza ubingwa wa EPL msimu huu na uhakika wa kucheza fainali UCL angekua nao.Maisha haya 🤣🤣🤣🤣🤣
Maisha yanabadilika jamani🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Don't crack em 9 games to play haha many more em moments await.Spare my ribs 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💔
Msimu ujao Kelleher hayupo kuna uwezekano mkubwa sana akauzwa June 2023 kupata zaidi za usajili na hio ikitokea nitamtakia mema aedako kwa kua sasa amekua kabisa hili la kuchaguo la pili sio mahala pake tena ana deserve kuanza gemu na kwa Liverpool akiwemo fully fit Alisson haliwezekani kabisa...Nitaangalia marudio kesho kwenye channel ya liver.
Siwezi poteza bando langu kuitazama mikubwa jinga inabwabwaja uwanjani Bure hadi tunafungwa mabao manne.
Mimi nasimama na Kalleher.
Kwa sasa ni kuzuia status damage zaidi lakini hakuna tunachoweza kupata hakuna kombe wala Big 4 kwa mentality ile angalau Chelsea wana one shot UCL vs Real Madrid...Natabiri sare nyengine hii.
Bora aondoke Allison.Msimu ujao Kelleher hayupo kuna uwezekano mkubwa sana akauzwa June 2023 kupata zaidi za usajili na hio ikitokea nitamtakia mema aedako kwa kua sasa amekua kabisa hili la kuchaguo la pili sio mahala pake tena ana deserve kuanza gemu na kwa Liverpool akiwemo fully fit Alisson haliwezekani kabisa...
Hopefully atabakia EPL ili Miss Liverpool uedelee kumuona akifanya yake.
YNWA
Don't crack em 9 games to play haha many more em moments await.
YNWA
Tuchel anawaangalia anasema hiiiUnajua ingekua usajili ndio ushindi mpaka sasa Chelsea wangeshatangaza ubingwa wa EPL msimu huu na uhakika wa kucheza fainali UCL angekua nao.
Lakini sasaaaaaaaa hao kumaliza 10 bora kushuka chini na hii kwa kweli ni fundisho kubwa kwao kuwatema pale Marina, Peter na Tuchel ilikua disaster kwa wamiliki wapya.
YNWA
Tuliingia fainali zote 4Kwa mambo yalivyo taiti msimu huu,kile kikombe kina maana kubwa sana kwetu.
Unakumbuka mwaka jana kutoka kuwa na matarajio ya quadraple hadi kuishia kupata hiki kikombe na FA kisha mkakitembeza mitaa yote ya jiji lenu.
Imagine being Liverpool.