Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

klop ni muda sahihi wa kuondoka hata wakija wachezaji anaowahitaji yeye hii timu haiwezi kuperfom tena chini yake
timu inahitaji kocha mpya kuliko wachezaji wapya chini ya klop.

time is up for klop
Acha ujinga kaka.

Mbona hamkusema haya tulivowafunga Man U 7-0

Tukishinda mnasifia, tukipoteza mechi mnabwatuka
 
Miracle haifanyi kazi siku zote

Miracles haziwezi zikawa zinakukuta wewe tu

Umeokota ef kumi juzi ukala ukapona njaa unasubiria Tena uokote ef kumi upoze njaa dadeki utafurahishwa

Hicho kitu ndo kimemkuta klopp hakuna maajabu Kila siku

Na Hawa world class players washalelewa Sana na klopp

He is a good and loyal man lakini now ina m bite back dadeki
😂 😂 😂 😂 😂 😂 Alisema yeye sio too loyal lakini we all can see bila chenga he is damn loyal... Kwa kua FSG nao wanacha kupoteza in terms of UCL income hii imekaa fresh kabisa... Hivi Dokta iweje channel inayokupa ma milioni ya pesa uipuzie hivi hivi ukiwa na nafasi ya kuboresha ambayo ilikua dirisha la January 2023 na ikipita hivi hivi.. FSG wameyataka wenyewe wasilaumu Klopp wala wachezaji kwa sababu data wanazo kwamba ubora wa kikosi umeshuka mnooo hivyo uwekezaji haukwepekeki lakini wao wakaona powaa tuuu Klopp will carry us... Haha Klopp is no magician guys ana limit kama hana zana na yeye atapigika tu.

YNWA
 
Ukitaka uamini hilo angalia dortmund walivyofungwa na bayern they kept pushing mwanangu walipush kinoma

Mpaka wakafunga goal mbili lakini unaona players gave their all

Halafu Kuna wachezaji wetu wamechoka wanakula tu mshahara na soseji pale AXA training Ona Trent mishavu imejaa tu Sasa hivi

Hii ya kuchoka hata siielewi mbona kisheria wachezaji huwa wanafanya mazoezi mara mbili kwa siku kila siku sasa hiyo kuchoka ikoje?
 
Uwezo wa wachezaji ni mdogo....tuanze upya kujenga timu ya kugombea titles...hii iliyopo ni level za Leicester City..Hawachagui mechi wala hawana shida na Klopp.Ni hawana uwezo wa kutoa kinachotakiwa ili washinde mechi consistently.Kusema hawa players wanachagua au wanamkomoa Klopp ni kuwapa heshima wasiostahili.Hawana uwezo period...Na wanaposhinda inakuwa fluke manina zao...,
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
FB_IMG_1680436284777.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom