Mama Debora
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 1,481
- 2,609
Acha ujinga kaka.klop ni muda sahihi wa kuondoka hata wakija wachezaji anaowahitaji yeye hii timu haiwezi kuperfom tena chini yake
timu inahitaji kocha mpya kuliko wachezaji wapya chini ya klop.
time is up for klop
Mbona hamkusema haya tulivowafunga Man U 7-0
Tukishinda mnasifia, tukipoteza mechi mnabwatuka