Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Naona ukitoa kile kikombe cha alkasusu mlichopewa,kombe lenu lingine ni liver kufungwa na Man city

Bado zile saba tulizowachapa ziko palepale
Kwa mambo yalivyo taiti msimu huu,kile kikombe kina maana kubwa sana kwetu.

Unakumbuka mwaka jana kutoka kuwa na matarajio ya quadraple hadi kuishia kupata hiki kikombe na FA kisha mkakitembeza mitaa yote ya jiji lenu.

Imagine being Liverpool.
 
Naona Wachezaji Hawataki KU Work Tena Under klopp
Klopp alitakiwa apewe vikosi 3 vyenye quality sawa ili aweze kushindana msimu hadi msimu kulingana na intensity anayotaka toka kwa vijana wake.
Itachukua muda sana liverpool ku recover hii fatigue ya misimu 3 nyuma,au la basi end of an era inawafuata te
 
Liverpool vs Chelsea Jumanne hii tarehe 4/4/23 itajulikana nani mwenye afadhali

YNWA
Liverpool vs Chelsea hua inakuaga ni mechi ya kiume sana, sijui awamu hii hali itakua vipi, ila misimu iliyopita hizi timu mbili zikikutana ni kama vile inachezwa fainali.
Pamoja na ubovu wa timu zote mbili ila nategemea mechi hii nyasi zitachimbika na tutapata burudani ya kutosha.
 
Liverpool vs Chelsea hua inakuaga ni mechi ya kiume sana, sijui awamu hii hali itakua vipi, ila misimu iliyopita hizi timu mbili zikikutana ni kama vile inachezwa fainali.
Pamoja na ubovu wa timu zote mbili ila nategemea mechi hii nyasi zitachimbika na tutapata burudani ya kutosha.
Kabisa Chelsea vs Liverpool hua ni cracker yaaani full intensity na mkata umeme Kante na Mateo pale kati hua ndio kabisa wananivuruga....

Angalau wiki hii sisi kama Liverpool tunamalizana na wakongwe na inatupa picha halisi kabisa msimamo tutakua nafasi ya 8,9,10 mpaka ligi inainsha..

YNWA
 
Kwa jinsi mnavyocheza ,nachelea kusema tatizo la Liverpool sio MF tu Ni tatizo kubwa zaidi ya Hilo

Liverpool mmefikia hatua hata kukaa na mpira hamuwezi Tena

VVD amebaki kutuma wenzie,

Kuna uwezekano mkubwa ikawachukua hata misimu miwili kurejea kwenye ubora
 
Kama tunawaza katika kichwa kimoja mkuu na mie niliwaza hivyo hivyo sema weee umeechambua vizuri
Ukitaka uamini hilo angalia dortmund walivyofungwa na bayern they kept pushing mwanangu walipush kinoma

Mpaka wakafunga goal mbili lakini unaona players gave their all

Halafu Kuna wachezaji wetu wamechoka wanakula tu mshahara na soseji pale AXA training Ona Trent mishavu imejaa tu Sasa hivi
 
Klopp alitakiwa apewe vikosi 3 vyenye quality sawa ili aweze kushindana msimu hadi msimu kulingana na intensity anayotaka toka kwa vijana wake.
Itachukua muda sana liverpool ku recover hii fatigue ya misimu 3 nyuma,au la basi end of an era inawafuata te
Tazama Pep bila Foden, Bernado na Erling na bado wamekutukimbiza haswa in fact hata hizo goli 4 niseme we are lucky....

Klopp haya mambo wakati mwingine amejitakia mwenyewe amekua too loyal kuelewa hawa wachezaji ni binadamu watachoka tu kwa kua wametumika non stop misimu mitano iliyopita bila kua na benchi la kueleweka.. Yaaani hizi fununu kwamba Klopp anapenda kikosi kiduchu basi yamemkuta maana haya ya sasa ni kikosi dhaifu hana benchi la kumsaidia hawa wakongwe wakizidiwa anabaki kutoa macho tu..

Kwa staili hii Klopp asipopambana apewe wachezaji usajili ujao wa kumsaidia kurudisha makali yake basi na msimu ujao ni maumivu tu...

Ishu sio umri mbali wachezaji wengi wanacheza mechi 40+ kila msimu dakika 80+ kuanzia kaja Klopp with high intensity lazima ingefika mahali wakachoka tu hakuna namna.. Ingekua ana benchi la kueleweka mbona hata sasa angekimbiza maana kama ni umri hata Manchester City anao wazee Gundogan 32, Kevin 31 , Walker 32, Mahrez 32 nk na bado wanacheza top level kwa kua wanapewa sapoti na benchi la nguvu.

YNWA
 
Yaani niko pamoja naww, maana nakumbuka kipindi tunacheza na Man U ule mpira tulio cheza siuoni kabisa saivi. Na pale walionesha kabisa wanaweza ila saivi morale iko chini sijui kwann tu.
Wanachagua mechi Hawa sio kwamba wanakaa Wanachagua Hamna ila individually Kila mchezaji Kuna mechi anachagua ya kucheza kwamba hii nika give my all

So collectively wanakuja kufanya vizuri

Ila mechi ndogo ndogo na mechi zingine watu mwamko unakua Hamna so collectively performance inakua ndogo Sana
 
Kwa mara ya kwanza Dokta nakumbaliana na hili yaaani there is no way wachezaji wanarudia makosa yale yale kila tukifungwo.. Its like they are programed to be pathetic loosers same result same script same mistakes same response same culprit game after game no new issue, Brighton, Brentford, Manchester City nk utaona hizo game the players went AWOL hivi hivi Klopp akaja ba na maneno mengi mengi lakini mpaka sasa ameishiwa kwa sababu hatupi jipya...

Tujiadae kushiriki Conference League if we are lucky msimu ujao. Sasa FSG wataelewa kwa nini kila dirisha wangekua wanawekeza na sio kutarajia maajabu ya Klopp kuwavusha. Hapa wanapata hasara kubwa sanaaaa kuanzia msimamo wa EPL, kukosa UCL, wadhamini na nk. Yaaani FSG watatoa macho hawataamini wanachapwa na kitu kizito sana kichwani kujikuta nafasi ya 7 au 8.

Unavuna unachopanda hakuna bahati mbaya hapa.

YNWA
Miracle haifanyi kazi siku zote

Miracles haziwezi zikawa zinakukuta wewe tu

Umeokota ef kumi juzi ukala ukapona njaa unasubiria Tena uokote ef kumi upoze njaa dadeki utafurahishwa

Hicho kitu ndo kimemkuta klopp hakuna maajabu Kila siku

Na Hawa world class players washalelewa Sana na klopp

He is a good and loyal man lakini now ina m bite back dadeki
 
Tazama Pep bila Foden, Bernado na Erling na bado wamekutukimbiza haswa in fact hata hizo goli 4 niseme we are lucky....

Klopp haya mambo wakati mwingine amejitakia mwenyewe amekua too loyal kuelewa hawa wachezaji ni binadamu watachoka tu kwa kua wametumika non stop misimu mitano iliyopita bila kua na benchi la kueleweka.. Yaaani hizi fununu kwamba Klopp anapenda kikosi kiduchu basi yamemkuta maana haya ya sasa ni kikosi dhaifu hana benchi la kumsaidia hawa wakongwe wakizidiwa anabaki kutoa macho tu..

Kwa staili hii Klopp asipopambana apewe wachezaji usajili ujao wa kumsaidia kurudisha makali yake basi na msimu ujao ni maumivu tu...

Ishu sio umri mbali wachezaji wengi wanacheza mechi 40+ kila msimu dakika 80+ kuanzia kaja Klopp with high intensity lazima ingefika mahali wakachoka tu hakuna namna.. Ingekua ana benchi la kueleweka mbona hata sasa angekimbiza maana kama ni umri hata Manchester City anao wazee Gundogan 32, Kevin 31 , Walker 32, Mahrez 32 nk na bado wanacheza top level kwa kua wanapewa sapoti na benchi la nguvu.

YNWA
Msimu ujao utaona Calvin Philips atakavyowaka dadeki hamataamini na huyu dias mnaona kappa aisee mtashangazwa Sana.

Na yule dogo juao Alvarez yule ni dangerous zaidi ya haaland Ile ni kitu ingine pale

And that's pep
 
Klopp has been speaking haya mauzauza kwamba we will learn from this defeat we come back stronger next game sasa unajiuliza has Klopp lost the dressing room labda hawa wachezaji wamechoka kuwabeba akina Milner na Henderson 😂😂wameacha mambo yajiedee kama yalivyo kwa sasa maana Dokta hii mechi ya 9 EPL tunapoteza msimu huu na Klopp atasema we learn from this defeat and respond next game yaaani msimu mzima we are learning wakati pointi za Big 4 zinatupiga chenga lol... Klopp need his glasses back aone mambo clear n direct maana tumechoka timu haina passion, hakuna cohesion...

Unajua football is about transition that th whole concept sasa ipo divided in 3 main dynamics defending, joinery na attacking ambapo kwa sasa unaona hakuna popote penye utulivu kwa kua hio joinery ni center of the park panapitwa kama hawapo na wakishapitwa mara nyingi tumeona defence hawawezi kuzuia mashambulizi kumbuka magoli ya Brentford walivyotu harass tukaharibu haoo wakatufunga chap na leo ni hivyo hivyo tuna MF kibogoyo mara ngapi umewaona Jota na Gakpo wakija nyuma kabisa kusaka mipira kwa kua haiwafikii mbele... We are really poor aidha boys are playing just for payday au kuna behind the scenes zinaedelea klabuni maana there is no way same mistakes zinarudiwa na senior players game after game yaaani hawaleweki.

YNWA
Eti unamwingiza milner abadili matokeo

Klopp must be sick for real milner huyu huyu fabinho Jana Kuna vitu nlkua naviona individually kajitahidi

Ila kuna mdogo wake Trent kule nyuma Aloo

Na kaka ake Robertson anakuja kukabia katikati anaacha upande wake empty na simlaumu anajaribu kufanya kazi za mid Maana hawakabi Sasa
Hendo yule mzee namchukia maisha yangu yote na sijui Ana Uchawi gani
 
Kwa jinsi mnavyocheza ,nachelea kusema tatizo la Liverpool sio MF tu Ni tatizo kubwa zaidi ya Hilo

Liverpool mmefikia hatua hata kukaa na mpira hamuwezi Tena

VVD amebaki kutuma wenzie,

Kuna uwezekano mkubwa ikawachukua hata misimu miwili kurejea kwenye ubora
MF ni kisingizio tu lakini matatizo ni makubwa ajabu kiasi hata Klopp sasa ameishiwa maeneo hana tena la kutuambia maana ikija siku ya mechi tunashindwa kuelewa kama huko mazoezini wanafanya drills kila mmoja kivyake ama namna gani..

Impact ya ma fighter who used to give thier all Mane, Firmino na Gini ndio inaonekana sasa... Hawakufanya proper replacement na bado mfumo ni ule ule hakika yametukuta... Mfumo wa Klopp upo designed kwamba 1st line of defence ni washambuliaji kwamba wakipokonywa mpira then wana harass opponent mpaka anaachia na kuanza quick attack hapo hapo hii ndio ilikua nguzo kuu ya Klopp na muda mrefu ilifanikiwa sana mpaka ikafaika mahala wachambuzi wakawapachika majina wachezaji wa Liverpool kama vile Intensity Monsters nk lakini kwa sasa hio attack hata wakipokonywa mpira wamepoa kabisa hawajui wafanya aje na timu pinzani sasa washatusoma kwa kua Trent na Robertson wanasongea kushambulia basi tukiponywa mpira zinapigwa diagonal pass kutushambulia na kufanya Konate na VVD washindwe kwenda kukaba au vipi, mfano goli la kwanza jana la Manchester City ilikua hivyo hivyo MF yetu inakua bypassed kama haipo...

Klopp is a confused man. His players are in dreams wanacheza kama tupo pre seaon, no passion, no hunger to win, no nothing

YNWA
 
Eti unamwingiza milner abadili matokeo

Klopp must be sick for real milner huyu huyu fabinho Jana Kuna vitu nlkua naviona individually kajitahidi

Ila kuna mdogo wake Trent kule nyuma Aloo

Na kaka ake Robertson anakuja kukabia katikati anaacha upande wake empty na simlaumu anajaribu kufanya kazi za mid Maana hawakabi Sasa
Hendo yule mzee namchukia maisha yangu yote na sijui Ana Uchawi gani

Klopp is a pathetic loser yaani akishakua amezidiwa na mbinu zake hua zina evaporate pale pale anabaki anang'aka na wachezaji don't give a damn wamezoea kelele zake na wanajua next game watacheza tu kwa kua hana mbadala kwa benchi maskin Klopp hivi kwa mfano ana kufua cha kumwazisha Jones huku Henderson ni mzima kabisaa au je anaweza kumwazisha Philips na VVD ale bench akiwa mzima.. Well huyo sio Klopp yeye hata Henderson au VVD nk wakiwa 80% fit basi wataanzishwa tu kwa kua Klopp anaishi maisha ya ku kopi na ku pasti...

Jana Pep alicheza kwa mara nyingine tena bila mabeki wake wa kushoto na kulia yaaani mabeki wote jana wa Kipara ni Ma CB
Stones beki wa kati ,
Akanji beki wa kati ,
Dias beki wa kati,
Ake beki wa kati,
Hawa ndio walicheza pale nyuma na kutuzima kabisa.. Inaonyesha Kipara sio muoga wa kujaribu jipya kama mengine hayampa anachokitaka jambo ambalo Klopp hata kaa afanye ije mvua ije jua yaaani anakomaa ni mambo yale yale na ambayo yashajuliwa na ma kocha wengine hivyo tunavyokutana nao inakua easy kwao tena Ancelot alisema laivu Liverpool ni 1 sided team wanatumia RB na LB ku attack zima hao na Liverpool wanakua toothless haha so true and tupo April Klopp still expecting out of form Trent na Robbo kuleta maajabu aise hayaji.

YNWA
 
Ukitaka uamini hilo angalia dortmund walivyofungwa na bayern they kept pushing mwanangu walipush kinoma

Mpaka wakafunga goal mbili lakini unaona players gave their all

Halafu Kuna wachezaji wetu wamechoka wanakula tu mshahara na soseji pale AXA training Ona Trent mishavu imejaa tu Sasa hivi
Acheni ujinga nyie.

Mbona hamkusema haya tulivowafunga Man U 7-0
 
Kwa jinsi mnavyocheza ,nachelea kusema tatizo la Liverpool sio MF tu Ni tatizo kubwa zaidi ya Hilo

Liverpool mmefikia hatua hata kukaa na mpira hamuwezi Tena

VVD amebaki kutuma wenzie,

Kuna uwezekano mkubwa ikawachukua hata misimu miwili kurejea kwenye ubora
Acha ujinga wewe.

Mbona hamkusema haya tulivowafunga Man U 7-0

Tungeshinda mechi ya jana ungebwatuka hivi?
 
Msimu ujao utaona Calvin Philips atakavyowaka dadeki hamataamini na huyu dias mnaona kappa aisee mtashangazwa Sana.

Na yule dogo juao Alvarez yule ni dangerous zaidi ya haaland Ile ni kitu ingine pale

And that's pep
😂 😂 😂 Alvarez ni moto na Pep hakutaka mambo mengi sana kasema dogo aongezewe mshahara na mkataba mpaka 2027/28 kwa sababu kampa Pep anachokihitaji... Pep hua hana brake ya maneno alisema laivu bila chenga kama Grealish anahitaji kua na uhakika wa namba basi lazima ajitume kuanzia kushambulia na defence na jana dogo kampa MOTM ya nguvu sana kuna ile block alitoa kwa Salah na ingepita ile pasi Jota huyoo kashafunga lakini Grealish alikimbia kuhakikisha sio Liverpool 2 na wao 0 hii inatokana na Kipara kua mkali na kuwatia bench underperformers regardless ya bei.. Hayo yalimkuta Mahrez na Grealish na mwishowe wakaelewa kwamba chini ya Kipara hakuna mzaha ni working hard pale hakuna ustaa hata KDB hua anakula bench hii ndio tofauti ya Klopp na Kipara... Klopp muda wote hawezi kuwapa wachezaji positive criticism yaaani anawa pamper muda wote anatakiwa aseme bila kupepesa macho as long as ni healthy criticism mchezaji anaelewa tu...

YNWA
 
Gundogan yuko free msimu huu
Ila kocha anawaamini kina milner na Ox.


Hii timu tuna safari ndefu.
Acha ujinga kaka.

Mbona hamkusema haya tulivowafunga Man U 7-0

Tukishinda mnasifia, tukipoteza mechi mnabwatuka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom