fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 3,489
- 10,105
Kwa mambo yalivyo taiti msimu huu,kile kikombe kina maana kubwa sana kwetu.Naona ukitoa kile kikombe cha alkasusu mlichopewa,kombe lenu lingine ni liver kufungwa na Man city
Bado zile saba tulizowachapa ziko palepale
Unakumbuka mwaka jana kutoka kuwa na matarajio ya quadraple hadi kuishia kupata hiki kikombe na FA kisha mkakitembeza mitaa yote ya jiji lenu.
Imagine being Liverpool.