Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Washabiki wa Chelsea tuanze kujichana kuku wa kienyeji tukishushia na juice za tende [emoji28]
Screenshot_2023-04-02-22-17-59-22_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Hatari sana, kati ya wote ni wawili tu ndo naona walistahili kufukuzwa mapema sana...Andre Villas Boas na G. Potter. Wengine walikuwa ni ajali kazini.
Kabisa Andre na Peter ni middle team gaffers sio demanding team kama Les Blue.

YNWA
 
Kabisa Andre na Peter ni middle team gaffers sio demanding team kama Les Blue.

YNWA
Unajiuliza Potter timu iliongoza dk 60 anafanya sub ya Either Denis Zakaria, Gallagher, Ekwechuku sijui, au Loftus...Sasa huyu kocha anataka kupata kitu gani? Wachezaji wanajigonga gonna tu.
Mara Loftus acheze beki na mabeki wapo nje...mpuuzi sana jamaa.

Villas yeye alikua mapepe asiyekuwa na mbinu kabisa...ngoja tuone, ila Chelsea isipojiangalia itapitia hali ya timua timua kama ya Real madrid...
Walimtimua Morinyo...mara Carlo mara Zidane...mara Lopegui...Mara Zidane....Carlo.
Kazi ipo....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom